Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hiyo sasaNadhani kwa muda huu wana kagera wanahitaji faraja..!
Unafikiri hatujui alifanyaje mpaka akaupata urais? 2020 sio mbali panapo uhaiHahaha 2020 ufanye maamuz sahihi japo goli LA kisigino km kawa
Mnataka atoe ahadi hewa?Hii yote shauri ya Pasco kung'ang'ania eti "sema neno moja tuu na roho yangu itapata ahueni"
Ona sasa neno gani hilo? Kwani nani kasema tetemeko limeletwa na Ccm?
Halafu hata hilo la kusema watu wafanye kazi wasibweteke hata kama ni ukweli sio wakati wake huu wakiwa msibani.
Mzee aendelee kukaa kimya inatosha
Mani anataka ahadi wakati huu? Kuna misiba Kule, watu wanalala nje watoto na kina mama, hata chakula ni shida.Mnataka atoe ahadi hewa?
Sio kuwapa matumain hewa watu wanashda saaana mkuu kama jana umechek taarfa ya (H) nadhan umeona wazeeee wakilia kuhus ishu nzima,Hio ndio inapaswa kuwa kauli ya kiongozi...sio kuwapa watu matumaini hewa...
Nilitegemea kusikia serikali imetenga kiasi gani kwa ajiri ya wahanga wa tetemeko badala yake anaongelea juu ya hela iliyochangwa na wasamaria wema wa ndani na nje ya nchi.
Ambazo serikali imeshindwa kuzipeleka Kagera kusaidia matatizo ya awali wakati rehabilitation ikifuatia baadae.
Kwenye taarifa hiyo hiyo ya saa mbili wahanga wamelalamika kwa mwandishi ya ITV Audax Mutiganzi kuwa siku 7 zimepita bado wanalala nje bila msaada wowote kila kukicha wanapita watu wa kutathimini madhara as if huo ndio msaada.
Wanasubiria michango kwanzaKenya Uganda wameguswa wametoa msaada serikal ya Tanzania bado haijaguswa