Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Na bado utatokwa povu hadi ufe aliyetangulia katangulia tu wakati tukisoma nyie mlikuwa wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshangaa sana kwa Rais wa nchi kutamka jambo mithili ya Msela wa Manzese kwa mfuga mbwa !
Ulitaka atamke kama anatoka mbinguni au? Mbona sisi mnatuita washamba.wala hatumind tunaendelea kuwanyoosha tu! Ni kweli wachanga kwa pesa ni shida mimi nawajua ni shemeji zangu nimeoa dada yao mweupe peeee!!
 
Wachaga=Wayahudi(antisemitisim). Wachagga jibidiisheni kujiajiri, huko serikali na mashirika ya umma hamna chenu.
Ikifika december msiache kwenda Moshi kumshukuru na kumlilia Mwenyezi Mungu na kutoa fungu la kumi.
Hakuna idara au sekta ktk serikali iliyokosa wachaga tupo Sana tu uzuri wa kusoma huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Mimi nakuunga mkono..ukabila ni Jambo baya mno...Ila wakati mwingi huwa siwaelewi baadhi ya watu wa Kilimanjaro ambao hupenda kujiita wa kaskazini kuwaponda watu wa makabila mengine kuwa hawajaendelea na kwamba eti wanakaa kwenye nyumba za tende na kwamba eti hawajasoma na kwamba eti ndiyo maana wanaichagua CCM...watu hao husahau kuwa kwa kufanya hivyo wanajenga chuki...
 
Hahahah tukiacha masihara ila ndugu zetu wachaga kwenye hela sio wa kuaminika nakazia🏃🏃🏃🏃🏃
 
Ninamjuwa jamaa wa Kichaga mfanyabiashara anaitwa Mushi pia, huyu jamaa hawezi dhulumu hata senti tano yako moja aisèe! Namuamini huyu kuliko hata mchungaji wa Kisukuma
Basi na wewe utakuwa ni mchaga ( mushi mwaminifu labda kwa wachaga wenzie)
 
Ukweli unauma lkn
 
Kusema kweli jamaa zetu wanasifa ya wizi
 
Ila uongozi wa juu muusahau nyie endeleeni kudunda dunda tu
 
Mlichanga pesa za wizi
 
Na mkoa ambao haujatoa kiongozi wa wa juu tanzania
 
Mkauze madukani nafasi serikalini na taasisi za kifedha hamtopata labda ubadili jina
 
Kwani kumwambia mtu sifa yake ni kumnanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…