Rais Magufuli upo sahihi kwa 100% unapothubutu kuhoji ubora wa Chanjo ya Corona

Rais Magufuli upo sahihi kwa 100% unapothubutu kuhoji ubora wa Chanjo ya Corona

Tufanyaje chanjo hazifai basi yeye amefanya juhudi gani kutafuta chanjo?
 
Mleta hoja acha kuandika mipasho na kejeli ktk jambo la afya za watu!

Acheni siasa za maji taka, people are dying my friend!

Vua shuka la ujinga ulilojifunika labda utaona ukweli uliopo!
 
Sasa kama hamtaki chanjo za Mabeberu, si mtengeneze za kwenu!! Au ndiyo ile ya KUJIFUKIZA ndiyo chanjo mliyo igundua?..
Hapa umeandika kisiasa kuliko kiuhalisia, hakuna aliyekataa chanjo, kinachojataliwa ni kupokea chanjo na kuwapa wananchi bila ya sisi wenye kujiridhisha na ubora wa hiyo chanjo.

Hakuna chanjo inayotumika Tanzania ambayo haijapata mikononi mwa wataalamu wetu na kujiridhisha.
 
01: Chanjo zimepitia hatua zote za Kisayansi ikiwemo majaribio na ikathibitika inafaa kwa matumizi ya wanadamu.

02: Wazungu tayari wameshaanza kuitumia na wameendelea kuagiza kwa wingi. Haulazimishwi, lakini pia usilazimishe kwenda kwenye nchi zao kama haujachanjwa.

03: Chanjo siyo tiba.
Sisi watanzania hatuziamini over
 
Naomba nijue wapi nitapata research yako uliyofanya kuhusu chanjo hata moja!
 
Umejiuliza kwanini chanjo za USA,CANADA na EU ni tofauti na zinazopangwa kuletwa Africa?, Unajua zao zinacost sio chini ya $200?, Kama unakumbukumbu nzuri mwaka jana mwezi wa nne WHO,CNN na vyombo vyote vya habari vilisema itachukua sio chizi ya miezi 18 kupata chanjo ya CORONA, miezi 8 baadae wanasema wana chanjo tayari, unasemaje kuhusu hilo!?... Nakupa homework moja ARV kabla hazijaboreshwa ziligawiwa dawa zinaitwa AZT zifatilie uzisome,zilikuwa ni sumu zimechorwa kabisa danger na walikuwa wanagawiwa hadi watoto na zimewanyonga wengi hadi wazungu hao hao. Hii dunia ina siri kubwa sema wengi mnaendeshwa na chuki dhidi ya JPM.
Na kama sisi wafanyakazi, tutamchukia milele!! Haiwezekani ni mwaka wa sita huu hakuna kupanda daraja!! Hakuna nyongeza ya mshahara, nk. Na tutamchukia sana tu. Hakuna namna.
 
Salaam Wana JF.

Nianze andiko hili kwa kurejea usemi huu usemao "Africa consumes what it does not produce and produces what it does not consume" Kuna mantiki pana juu ya usemi huu na kinachoendelea kwa sasa dhidi ya chanjo ya Covid 19...​
Njaa itakuuwa wewe usipopata uteuzi
 
Salaam Wana JF.

Nianze andiko hili kwa kurejea usemi huu usemao "Africa consumes what it does not produce and produces what it does not consume" Kuna mantiki pana juu ya usemi huu na kinachoendelea kwa sasa dhidi ya chanjo ya Covid 19...​
Umesahau kuweka na nambari yako ya rununu
 
Na kama sisi wafanyakazi, tutamchukia milele!! Haiwezekani ni mwaka wa sita huu hakuna kupanda daraja!! Hakuna nyongeza ya mshahara, nk. Na tutamchukia sana tu. Hakuna namna.
Hapa tunaongelea Corona anzisha uzi wa wafanyakazi. Kama umeongeza familia kubwa na majukumu ukitegemea nyongeza ya mshahara toka kwa JPM huna akili. Je, ungefukuzwa kazi ungefanyaje?.. kwahiyo kwasababu ya chuki ukiletewa chanjo feki utakubali kuchanjwa kumkomoa Magufuli!??.. narudia huna akili wewe.
 
Chanjo/tiba za kisayansi ambayo watu wameumiza vichwa vyao, pesa nyingi, huwezi zingumzia kimipasho vile, kwani alishindwa nini kusema tu, zitatumika nchini baada ya wataalam wetu kuzizibitisha(kama huo uwezo wanao lakini)ilikuwa inatosha tu, na angeeleweka tu!..
Ubarikiwe sana mkuu
 
.....lakini huyo anayejiita mwendawazimu hakuona shida kupanga foleni kupata kikombe cha Babu ambacho hakikufanyiwa utafiti wa aina yoyote ile!!!! Nileteeeeeeeeni gwajimaaaaaaaaa
View attachment 1689519
Daaa watu mna kumbu kumbu za kutosha, namuona mzee Baba anapiga kikombe
 
Hapa tunaongelea Corona anzisha uzi wa wafanyakazi. Kama umeongeza familia kubwa na majukumu ukitegemea nyongeza ya mshahara toka kwa JPM huna akili. Je, ungefukuzwa kazi ungefanyaje?.. kwahiyo kwasababu ya chuki ukiletewa chanjo feki utakubali kuchanjwa kumkomoa Magufuli!??.. narudia huna akili wewe.
Wewe na mimi nani akipimwa atagundulika mapema kutokua na akili, bila shaka ni wewe unayemtukuza na kumtetea mtu ambaye unafanana naye kwa kila kitu.

Mwambie asihamishie magoli kwenye corona! Kama nchi imemshinda, awakabidhi wenye nchi yao waiendeleze.

Umenielewa wewe Mataga? Unakataa chanjo kutoka kwa mabeberu ili watu wajifukize!! Mnataka mtuletee maafa kwa ukaidi wenu tu!! Hovyo kabisa. By the way, na yale madawa mliyotuletea kutoka Madagascar, yaliishia wapi?
 

Thanks a mega times Dk. Mumba, you are dead right Dk. Mumba - some Africa corrupt leaders are gonna be conduit used by white supremist to wipe out black race off the Earth by using untested, unproven vaccines.

Make no mistakes, these crooks are well organised and hell bent to see to it that their evil plan shall come to pass.
 
Thanks a mega times Dk. Mumba, you are dead right Dk. Mumba - some Africa corrupt leaders are gonna be conduit used by white supremist to wipe out black race off the Earth by using untested, unproven vaccines.

Make no mistakes, these crooks are well organised and hell bent to see to it that their evil plan shall come to pass.
👍😍🥂💪
 
Mkuu usifikiri kila anae support tahadhali zilizo tolewa na JPM kuhusu chanjo, basi mtu kama huyo anaganga njaa - msichukulie kila kitu ni siasa siasa tu.
Kama wewe ndiyo kabisaaa unaganga njaaa kwa kujipendekeza
 
Habari wakuu!!! Nichukue mda huu kumpongeza Mh Rais magufuli kwa kuwa na msimamo ambao hauyumbishwi na mtu Yoyote, tunaojua kilichopo nyuma ya chanjo ya corona, tunakupongeza kwa kutoiruhusu kabisa!! Tatizo watu badala ya kujiamini kuwa wao wenyewe wanaweza wanawaamini wazungu, ni jambo la kutisha sana, kama ni swala la chanjo tutengeneze ya kwetu! Hii ya kulazimishwa ndugu zangu kuna kitu kipo nyuma yake!

Swala la kuchukua hatua ni la mtu binafsi sio mpaka mh raisi aseme, sasa nawashangaa wanaopiga kilele eti Rais achukue hatua sijui ni hatua zipi mnazihitaji zaidi ya hizi! Kwani ninyi watanzania mnatakiwa Msikilize sauti ya mh Rais tu, sio kusikiliza sauti kutoka nje zitawaharibu ninyi vipofu!

Asubuhi njema, tuwahi makazini!
 
mkuu tupe anwani yako ili ukidondoka tuje tukiage vizuri,bahati nzuri iyo misiba huko mitaani 90% ya wanaokufa ni wanaume!
 
Back
Top Bottom