Rais Magufuli upo sahihi kwa 100% unapothubutu kuhoji ubora wa Chanjo ya Corona

Rais Magufuli upo sahihi kwa 100% unapothubutu kuhoji ubora wa Chanjo ya Corona

Sasa kama hamtaki chanjo za Mabeberu, si mtengeneze za kwenu!! Au ndiyo ile ya KUJIFUKIZA ndiyo chanjo mliyo igundua?...
ungemuuliza kuhusu zile anazokunywa kila siku (EIARAVII) ubora wake vipi
 
Habari wakuu!!! Nichukue mda huu kumpongeza Mh Rais magufuli kwa kuwa na msimamo ambao hauyumbishwi na mtu Yoyote, tunaojua kilichopo nyuma ya chanjo ya corona, tunakupongeza kwa kutoiruhusu kabisa!...
Naishauri serikali kupitia wizara ya afya iagize dozi walau milioni moja hawa vibaraka wa hiyari wa ubeberu wachanjwe sasa. Maana tumechoka na kelele zao.
 
Kuna bwege mmoja humu huyu atakuwa ni zwazwa wa lumumba kazi yake ni kufuta tu jumbe zangu sijui zinachokonoa sehemu yake fulani hivii inawezekana ni bwabwa huyu
Hojini na ARV halafu mzikatae muone matokeo yake. Mzungu akitaka kutuumiza ni rahisi kwake kama kuswitch on umeme taa ziwake. Kama angekuwa na nia ya kutuangamiza si mnakataa chanjo ,anaewka sumu kwenye vya ARV hapo tuna ujajnja gani wakati tuna wapendwa wetu maisha yao ya kesho yanategemea ARV ya mbeberu Marekani kama mnavyopenda kumwita .

let us not play politics kwenye maisha ya watu. Uingereza wameripoti kuwa chanjo imepunguza wananchi dhaifuwabaolazwa hospitali wenye umri mkubwa kwa asilimia 80% hatuoni kuwa hata wanaopna watakuwa wameongezeka zaidi. Sisi ni sikio LA kufa halisikii dawa?

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama hamtaki chanjo za Mabeberu, si mtengeneze za kwenu!! Au ndiyo ile ya KUJIFUKIZA ndiyo chanjo mliyo igundua?...
Kwa kiasi kikubwa nakubaliana na hoja zako.

Kwa muda mrefu sasa wanasiasa wa nchi hii wamepuuza tafiti za sayansi na tiba. Kuanzia sasa serikali ilichukulie suala la uwekezaji katika tafiti za kisayansi kuwa ni suala la kufa na kupona. Vinginevyo tuwe tayari afya zetu zitegemee solutions za wanasayansi wa kwingineko huko.

Hii jeuri ya Magufuli kutilia shaka chanjo za kutoka ubeberuni (by the way mie naunga mkono jeuri hio, maana huwezi kuendelea bila kuwa na jeuri ya "sasa basi") isiishie kuwa jeuri ya kisiasa. Iende mbele hadi kujipanga katika kumobilize forces za wanasayansi wazawa walio ndani na nje ya nchi, na kutenga resources za kuwezesha nchi katika tafiti za sayansi na zenye kuleta tija katika maeneo yote yanayohusu maisha bora ya wananchi.

Jeuri bila vitendo itabaki hivyo hivyo, jeuri. Ila kuna watanzania wenzetu wasio hata na hako kajeuri alikonako Jiwe. Hao ndio mi sitaki hata kuwasikia.
 
Kwa hiyo mtu akitumia mamilioni pesa zake lakini mwisho wa siku anakuja kuvuna mabilioni kutoka kwako hiyo kwako ni sawa.

Kampuni za kutengeneza chanjo hazikupi muda wa kuzikagua chanjo zao, wanachokupa ni makaratasi ya utafiti tu na kukwambia uwachome watu wako mara baada kupokea hizo chanjo. "No questions asked"

Tena kama likitokea janga, huwezi kushitaki hizo kampuni ili kulipwa fidia, unashitaki serikali yako iliyoruhusu hizo dawa zitumike.
Kazi ya TFDA ni ipi
 
Chanjo/tiba za kisayansi ambayo watu wameumiza vichwa vyao, pesa nyingi, huwezi zingumzia kimipasho vile, kwani alishindwa nini kusema tu, zitatumika nchini baada ya wataalam wetu kuzizibitisha(kama huo uwezo wanao lakini)ilikuwa inatosha tu, na angeeleweka tu!..
✓White Wizard
 
Ebola ipo
Chanjo/tiba za kisayansi ambayo watu wameumiza vichwa vyao, pesa nyingi, huwezi zingumzia kimipasho vile, kwani alishindwa nini kusema tu, zitatumika nchini baada ya wataalam wetu kuzizibitisha(kama huo uwezo wanao lakini)ilikuwa inatosha tu, na angeeleweka tu!...
 
Chanjo ni kinga
01: Chanjo zimepitia hatua zote za Kisayansi ikiwemo majaribio na ikathibitika inafaa kwa matumizi ya wanadamu.

02: Wazungu tayari wameshaanza kuitumia na wameendelea kuagiza kwa wingi. Haulazimishwi, lakini pia usilazimishe kwenda kwenye nchi zao kama haujachanjwa.

03: Chanjo siyo tiba.
 
Chanjo ni kinga
01: Chanjo zimepitia hatua zote za Kisayansi ikiwemo majaribio na ikathibitika inafaa kwa matumizi ya wanadamu.

02: Wazungu tayari wameshaanza kuitumia na wameendelea kuagiza kwa wingi. Haulazimishwi, lakini pia usilazimishe kwenda kwenye nchi zao kama haujachanjwa.

03: Chanjo siyo tiba.
 
Kazi ya TFDA ni ipi
Kwa chanjo hizo za covid, TFDA ni kama hawana kazi. Kazi yao inafanywa na Africa CDC. Unaletewa chanjo, unapewa makaratasi ya utafiti wao na kuambiwa wachache watu wenu haraka iwezekanavyo. Chanjo yenye haina muda mrefu kabla haijaharibiaka. (Short shelf life).
 
Ebola ipo
Ni kweli imerudi tena, lakini kwa sasa sio tishio tena kama 2018!!wazungu tuwape heshima zao tu, hapa mwanasayansi anamuogopa anashindwa kusema ukweli juu ya jambo linalohusu taaluma yake kwa kumuogopa mwenyekiti wa shina wa ccm!!!
 
01: Chanjo zimepitia hatua zote za Kisayansi ikiwemo majaribio na ikathibitika inafaa kwa matumizi ya wanadamu.

02: Wazungu tayari wameshaanza kuitumia na wameendelea kuagiza kwa wingi. Haulazimishwi, lakini pia usilazimishe kwenda kwenye nchi zao kama haujachanjwa.

03: Chanjo siyo tiba.
Chanjo hizi hazijapitia hatua zote!! Zimekuwa fast-tracked!! Zingepitia hatua zote zingetumia miaka 10 kukamilika. Lakini sasa zimetumia miezi 10 tu.
Kwa sababu hiyo maswali yafuatayo hayana majibu:
1. Nini athari za muda mrefu za chanjo hizi?

2. Je Kinga inayotokana na chanjo hizi itadumu katika miwili wa mwanadamu kea muda gani?

3. Je chanjo hizi zinaweza kumkinga mtu dhidi ya aina nyingine ya kurudi cha corona? Ikumbukwe kuwa kila siku aina nyingine ya virusi vya korona vinatokea kama matokeo ya mutation (mabadiliko katika mpangilio amino acids kwenye vinasaba vya virusi vya Corona). Mfano chanjo iliyoagizwa mwanzo na Afrika ya kusini haikuweza kudhibiti aina mpya ya corona iliyotokea Afrika ya kusini. Wamepata hasara na inabidi watafute nchi ya kuiuzia!

4. Corona ni lengo linalotembea yaani it is the moving target! Je virus vya Corona vina kasi ipi ya kujibadilisha?
 
Mkuu usifikiri kila anae support tahadhali zilizo tolewa na JPM kuhusu chanjo, basi mtu kama huyo anaganga njaa - msichukulie kila kitu ni siasa siasa tu.

..kama umesikiliza hotuba ya Magufuli basi hutakuwa na shaka kwamba hapendi chanjo.

..Magufuli pia hapendi barakoa na kila anapopata nafasi anawabeza wanaozitumia.

..msimamo wa Magufuli unawachanganya wataalamu wetu na unahujumu tahadhari za kujikinga.

..tukirudi kwenye chanjo, kwanini wanasayansi wetu wa ndani hawafanyi utafiti wa chanjo ya covid-19?

..pia kwanini wanasayansi wetu hawatengenezi dawa ya covid-19 badala yake wanatengeneza "smoothie" kama ilivyokuwa demonstrated na waziri wa afya.
 
Chanjo hizi hazijapitia hatua zote!! Zimekuwa fast-tracked!! Zingepitia hatua zote zingetumia miaka 10 kukamilika. Lakini sasa zimetumia miezi 10 tu..
Majibu ya maswali uliyouliza yanatakiwa yatolewe na serikali ya Tanzania kwa kutumia wataalamu wetu.

Hatutakiwa kusikiliza wataalamu wa nje wanaosema chanjo ni nzuri. vilevile hatutakiwa kuwasikiliza wataalamu wa nje wanaosema chanjo hazifai.

Serikali ya Tanzania na wataalamu wetu ndio wanaopaswa kusema chanjo zinafaa au hazifai.
 
Kwa hiyo mtu akitumia mamilioni pesa zake lakini mwisho wa siku anakuja kuvuna mabilioni kutoka kwako hiyo kwako ni sawa..
Si utengeneze chanjo zako sasa? Maneno meengi ya nini? Huna capacity ya kutengeneza chanjo zako au tatizo ni nini hasa??

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom