Rais Magufuli upo sahihi kwa 100% unapothubutu kuhoji ubora wa Chanjo ya Corona

Rais Magufuli upo sahihi kwa 100% unapothubutu kuhoji ubora wa Chanjo ya Corona

Kwenda zako na mawazo mgando hayo..kuna siku watakubebea mke wakwambie wanakuletea wa kizunguzu nyambafu.

Huku mtaani Corona iko wapi? Mnaiona nyinyi tu? Mbona hamjawahi kuomba chanjo ya Malaria?

Hovyo kabisa
Sasa nibishane na mtu ambaye hajui hata kutofautisha, kati ya parasites na virus?!!kama hutojali secondary ulisoma kweli?daaa pathetic!!ndio tatizo la kumeza kauli bila ku digest kwa ubongo wako!!eti malaria nayo inatakiwa iwe na chanjo!!!ila sikulaumu sana kwani jina tu li akisi uwezo wako hata hivyo umejitahidi
 
Vipi zile juisi mlizofata madagaska mlihoji kwanza?
 
Juzi waziri Jafo kazindua program ya tohara mikoa ya kanda ya ziwa
Kwa hiyo wanaume wote wanaenda kutahiriwa Kwa msaada wa watu Wa Marekani a.k.a mabeberu
 
Ukiwa na mtu anayependa pesa kuliko utu wa mtu uwe na hakika hata jali kama u mzima au laa anachojua ni pesa kwanza ili mishe zake zitengemae bila kujali hali halisi. Watu wa jinsi hiyo si kitu kwao wewe kuangamia lkn anachotaka akichungulia mkoba azione pesa bado zipo.

CC: wapare
CC: wakinga
 
Sasa nibishane na mtu ambaye hajui hata kutofautisha, kati ya parasites na virus?!!kama hutojali secondary ulisoma kweli?daaa pathetic!!ndio tatizo la kumeza kauli bila ku digest kwa ubongo wako!!eti malaria nayo inatakiwa iwe na chanjo!!!ila sikulaumu sana kwani jina tu li akisi uwezo wako hata hivyo umejitahidi
Nyie wa kiswaenglish hua ni wapumbavu kupita kiasi,hakuna mnalojua zaidi ya kuiga mnachoona kwenye tv.

Taifa lina hasara kubwa kwa watu kama ninyi,ni afadhari wakati wa uumbaji wenu mngeumbiwa kua viumbe wa porini

Kuna baadhi ya watu hapa nchini nadhani ndo kina nyinyi mnaojifanyaga eti "NIMESOMA" mmesababisha ujinga ujinga nchini hapa na umasikini wa ufinyu wa kufikiri kujikomboa kiuchumi,hamjiulizi hata ni kwa nini mna umasikini mwingi kuliko wale wa mitaani,nyie ndiyo mnao dhani kila cha mzungu ni chema maishani eti kwa sababu mnaongea kingereza[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16](Nyambafu) ,lugha hiyo tunaongea wengi lakini haitufanyi tukajikweza au kuukataa uhalisia wa tuliko toka kwa uzao wetu
 
Nyie wa kiswaenglish hua ni wapumbavu kupita kiasi,hakuna mnalojua zaidi ya kuiga mnachoona kwenye tv...
Inshu hapa sio lugha, bali ujinga, kutojua chanjo inatumika kwenye magonjwa yanayoambukizwa na virus , sasa unaposema eti chanjo ya malaria!!malaria inaambukizwa na virus?

AIBU YAKO! kwani kama ungekuwa umefika japo form 2, ungelijua hilo!uliandika insha ndefu kumbe hata chanjo tu hujui matumizi yake!!
 
Suala la afya ni ishu binafsi utaki chanjo piga nyungu
 
Back
Top Bottom