Rais Magufuli upo sahihi kwa 100% unapothubutu kuhoji ubora wa Chanjo ya Corona


Maendeleo ya teknolojia leo huyaoni kulinganishwa na siku hizo za polio.

Kwa hiyo mnataka kwanza watu wafe kama walivyokufa enzi hizo na zipite siku kama zile zile za nyakati hizo kabla ya kupata chanjo?

Eboo!

Kukariri kumbe kubaya ndiyo maana kutwa kucha mmekalia kukariri kilomita za urefu wa mabarabara na jumla ya madaraja.

Dunia haiko stagnant mtapwelewa!
 
Acha uongo hawawezi ingilia sovereign ya nchi, mbona Tanzania ilizigomea na hawajaletewa chanjo na ni mwanachama wa WHO
 
Jiwe amekataa chanjo several times unataka useme nin
 
Kwani waliowekeza unafikiri hawakujua watarudisha kwa njia hipi? Why Bill anatajwa sana kwenye issue ata huko kwao kiasi katoka kukanusha?
Wangekuwa wanatoa msaada bila malipo hapo sawa, lakini nchi iingie gharama kununua chanjo ambayo haijathibitishwa rasmi Kama ndo suluhisho la Covid-19 ni utahira.

Ukiangalia leo kuna makampuni mengi yanadhalisha hizo chanjo za covid lakini muda uliotumika kutengeneza chanjo hizo ni chini ya mwaka mmoja na utengenezaji wake haujapitia taratibu zote za kisayansi kuwa approved Kama chanjo rasmi ya covid-19, hakuna data za kutosha za majaribio yaliyofanyika kujiridhisha Kama hazina madhara kwa binadamu na effectiveness yake katika kuzuia maambikizi ya covid.

Kwa hiyo kinachofanyika leo ni kwamba chanjo inatolewa kwa watu ikiwa ni sehemu ya majaribio ya kuangalia ubora wake na madhara kwa binadamu. Usishangae baada ya muda kutakuwa na evidence nyingi za side effects kwa baadhi ya chanjo na nyingine zitaonekana hazina ubora wa kuzuia maambukizi. Hadi Sasa hakuna chanjo maalumu ambayo imekuwa approved kuzuia covid_19.
 
Aliyetuepushia athari mwaka jana anaweza hata mwaka huu
Sa chanjo ya nn
Me nadhani wao wangekuwa na akili na nia njema wangepeleza wajue siri ya nchi kama Tanzania kutopata athar za Corona sio kuleta chanjo
 
Wangekuwa wanatoa msaada bila malipo hapo sawa, lakini nchi iingie gharama kununua chanjo ambayo haijathibitishwa rasmi Kama ndo suluhisho la Covid-19 ni utahira....
Kwanini hatutengenezi chanjo hapa Tz na kuziuzia nchi zinazougua corona?

Uthubutu ni kutengeneza chanjo na dawa ya corona, siyo kupinga na kuzodoa jitihada za wengine.
 
Sasa kama hamtaki chanjo za Mabeberu, si mtengeneze za kwenu!! Au ndiyo ile ya KUJIFUKIZA ndiyo chanjo mliyo igundua?....
Korona ni spesho case,usibwabwaje tu, fungueni bongo zenu mfikiri nje ya boksi.
 
Acha uongo hawawezi ingilia sovereign ya nchi, mbona Tanzania ilizigomea na hawajaletewa chanjo na ni mwanachama wa WHO
Nadhani unasema kile kile nachosema mimi, Tanzania imegomea mfumo huo wa kulazimishwa chanjo tusio ijuwa madhara yake ya mbeleni. Kenya wameletewa chanjo juzi, leo wameshaanza kudunga watu wao. Hawana uhuru wa kuuliza nini implication ya hiyo chanjo au ni chanjo ngapi mtu anatakiwa kutumia mpaka mwisho wa maisha yake.
 

..kwanini Tz hatutengenezi chanjo zetu na kuziuzia nchi zinazougua corona?

..Magufuli hapendi barakoa, unategemea kiongozi wa namna hiyo ataunga mkono chanjo?
 
..kwanini Tz hatutengenezi chanjo zetu na kuziuzia nchi zinazougua corona?

..Magufuli hapendi barakoa, unategemea kiongozi wa namna hiyo ataunga mkono chanjo?
HIvi kwa mtazamo wako chanjo ndio njia pekee ya kupambana na Corona? Mbona wenye chanjo bado Corona inawasubwa?
 
Mwongozo wa serikali ni lazima chanjo zikaguliwe ndani ya nchi kabla ya kuruhusiwa kutumika.
John Mnyika anawata mtoe majibu ya ile chanjo yenu mliyo ifuata kule Madagascar tena kwa ndege ya Serikali. Au ndiyo inawapa viburi baada ya kuinywa kimya kimya?
 
Kwenda zako na mawazo mgando hayo..kuna siku watakubebea mke wakwambie wanakuletea wa kizunguzu nyambafu.

Huku mtaani Corona iko wapi? Mnaiona nyinyi tu? Mbona hamjawahi kuomba chanjo ya Malaria?

Hovyo kabisa
 



Fanya maamuzi kuongea tu kila siku watu wamechoka na wanakufa. Chadema wakulaumu hayupo mwaka huu!. Kama kuna wanasayansi tuambiwe ni nani anafanya uchunguzi isije ikawa ni maneno tu kila siku. Je wameanza kuchunguza chanjo na wamefikia wapi!! sasa kuandika historia za ajabu ajabu hazisaidii watu wanataka maamuzi.
 
Reactions: BAK
Chanjo hizi hazijapitia hatua zote!! Zimekuwa fast-tracked!! Zingepitia hatua zote zingetumia miaka 10 kukamilika. Lakini sasa zimetumia miezi 10 tu.
Kwa sababu hiyo maswali yafuatayo hayana majibu:.
Tutajie hatua ipi imerukwa.
 
HIvi kwa mtazamo wako chanjo ndio njia pekee ya kupambana na Corona? Mbona wenye chanjo bado Corona inawasubwa?

..hatutaki kujikinga.

..hatutaki dawa.

..hatutaki chanjo.
 
Reactions: BAK
Another moron
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…