Ha ha ha Mungu yupi Mkuu, Kwani Tanzania wote ni dini moja, ebu nenda taratibu.Wewe ni mjinga wa kiwango cha kumzidi shetani kabisa. Serikali kama serikali ule ni ufalme uliosimikwa na Mungu, mambo yote unayoyaona usije dhani yapo kwa bahati mbaya, ni calculated. Uzuri rais wetu anahofu ya Mungu na anamuamni Mungu ndiye mponyaji wa taifa, so ujinga wenu wala si kitu kwake.
Kiasi gani unaelewa ukubwa wa maambukizo ya korona nchini na jinsi unavyoambukizwa zaidi yaliyosemwa na Rais?Maana yake serekali ilipaswa iwe imetoa miongozo kadhaa kuhusiana na kadhia hii ya Corona pamoja na kuisimamia kwa nguvu zote ila wao wanachofanya sasa hivi ni kuziponda barakoa,kuiponda social distancing na kuweka msisitizo katika maombi(Soma paragraph ya 5 katika waraka wao hapo juu).Yaani Tanzania imekuwa ni Taifa la maruwani linaloongozwa na viongozi maruwani!
ameongea kweli ,ndio maana alimpitiaga CEO wa ile taasisi binafsi ya madecha bwana wembo,maana amedhurumu Sana vibarua wake.
Hilo unaweza kulitofautisha na pigeni nyungu? Ni yaleyale kodi kwa ubabe bila kulinda walipaji,nani anapima watu na wanaokufa wanazikwaje?Haya sasa waliokua wanasubiri tamko ndio wajikinge watafute sababu nyingine ya kuwafanya wasijikinge.
Aliyekuambia maelfu ya watu wanaokufa walikuwa hawali vizuri au walikuwa hawafanyi mazoezi ni nani? Namna sahihi ya kupambana na hivi virusi ni kuzuia maambukizi sababu maradhi yake hayana tiba rasmi, Magufuri amekuwa kinara wa kupinga hatua zote za kuzuia maambukizi huku akihubiri tiba za kujifukiza.Kama wewe umezoea kuwa free rider kwa viongozi hilo ni tatizo lako halihusiani na mimi. Na inaonekana ulizoea kuwa free rider ndo maana umejenga chuki binafsi.
Kuwaombea mabaya wengine hakukufanyi wewe kuwa salama. Bahati mbaya zaidi wewe siyo Mungu unaweza omba wenzako wafe kwa huo ugonjwa ukatangulia wewe.
Fuata miongozo unayopewa, kula vizuri kama una uwezo, fanya mazoezi na acha chuki binafsi.
Ukisema hivyo unawasuta viongozi wa serikali, hataivyo nadhani wamekusikia na wamemsikia pengine kuanzia kesho tutaanza kuona wakivaa barakoa baada ya kuruhusiwaKwahiyo mmeridhika, hadi muambiwe mvae barakoa ndio mfurahi. Vaeni sasa baba yenu kasema
Lakini hiyo serikali ya rais inalipwa kodi na wanaidai kwa mitutu na kupewa kesi halafu nguvu kama hiyo haipo kwa corona?Kiasi gani unaelewa ukubwa wa maambukizo ya korona nchini na jinsi unavyoambukizwa zaidi yaliyosemwa na Rais?
Unayoyajua wewe jielekeze mwenyewe na wale unawaowapenda na kuwasisitizia wadharau ya Rais na Serikali yake
Jibu maswali yangu mzee baba.Hapa huwa tunabishana kwa hoja tu.Narudia tena swali langu,yeye huo ufanisi ameupimaje?Hujaelewa na hautaelewa.
Ni haki yako kuwa na mawazo kama hayo.Mkuu, nimesikiliza clip alichosema tofauti na kilichoandikwa naomba nenda kasikilize. Amewasifu wale ambao hawajavaa barakoa na kuwasifu waziri mkuu na makamu wa rais kutovaa barakoa kwa kuwa wanamuamini Mungu.
Amesema barakoa sawa ila tununue za hapa na kushonesha lakini walizozileta hizo barakoa anazosema kila leo zina corona ziliingia vipi nchini na madukani?
Hotuba ukiisikia kwa kweli ni ya kebehi kwa ugonjwa na wavaa barakoa. Naomba kamsikilize mwenyewe m, iko YouTube ni hotuba fulani hujui anataka kusema nini anaacha watu grey zone, hakuna message moja anauma na kupuliza. Inasikitisha kiongozi kuongea vile.
Kuna sehemu kasema “Hawa wasaidizi wangu hawajavaa barakoa na mimi sijavaa, kwani siogopi kifo? Wala sijui wamekutana na nani lakini naamini Mungu. Nchi nyingi waliovaa barakoa ndio wamekufa maelfu.” Sasa ni ujumbe gani kapeleka?
Hiyo statement wame soft baadhi ya maneno, kamsilize mwenyewe halafu uta comment.
Lockdown na social distancing imesaidia huko Italia? Umezoea kukariri makatuni.Jibu maswali yangu mzee baba.Hapa huwa tunabishana kwa hoja tu.Narudia tena swali langu,yeye huo ufanisi ameupimaje?
Mwaka jana wakati majirani wote wamefunga mipaka yao, na dunia nzima ukisitisha usafiri wa anga hivyo kupunguza kama sio kuondoa kabisa maambukizi kati ya mataifa na mataifa, waziri mkuu majariwa alichukua pro active actions na kutoa maelekezo ambayo yalisaidia sana kuzua maambukizi nchini.Kama wewe umezoea kuwa free rider kwa viongozi hilo ni tatizo lako halihusiani na mimi. Na inaonekana ulizoea kuwa free rider ndo maana umejenga chuki binafsi.
Kuwaombea mabaya wengine hakukufanyi wewe kuwa salama. Bahati mbaya zaidi wewe siyo Mungu unaweza omba wenzako wafe kwa huo ugonjwa ukatangulia wewe.
Fuata miongozo unayopewa, kula vizuri kama una uwezo, fanya mazoezi na acha chuki binafsi.
Katika siku ambayo ametoa upotoro ni leo. This is unbelivable. Sikutegemea kuwa kuna mtu anayeongoza nchi yuko kwenye level ya thinking capacity ya aina hii!Ameongea vizuri mno kwa kusema kuwa uvaaji wa barakoa pamoja na social distancing havina maana?Au umesoma taarifa ipi?
Hilo ndilo swali nililokuuliza?Jibu swali langu,yeye huo ufanisi ameupimaje?Lockdown na social distancing imesaidia huko Italia? Umezoea kukariri makatuni.
Wapumbavu ni wengi. Na wewe ni mmoja wapo. Imesaidia sana sana. Ila kwa sababu hujui kiingereza kama baba yako huweza kusoma na kuelewa.Lockdown na social distancing imesaidia huko Italia? Umezoea kukariri makatuni.
Mzee Kingunge alisema kweli kiutawala Jiwe ni ZeroAnasema kuwa hajazuia matumizi ya barakoa wakati ameziponda barakoa kwenye paragraph ya 5 ya waraka wake!🚶🚶🚶
Numbe of fatalities caused by covid 19 in Italy? Kenya? Though lockdown and social distance measures were implemented.Wapumbavu ni wengi. Na wewe ni mmoja wapo. Imesaidia sana sana. Ila kwa sababu hujui kiingereza kama baba yako huweza kusoma na kuelewa.