Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

Wewe ni mjinga wa kiwango cha kumzidi shetani kabisa. Serikali kama serikali ule ni ufalme uliosimikwa na Mungu, mambo yote unayoyaona usije dhani yapo kwa bahati mbaya, ni calculated. Uzuri rais wetu anahofu ya Mungu na anamuamni Mungu ndiye mponyaji wa taifa, so ujinga wenu wala si kitu kwake.
Ha ha ha Mungu yupi Mkuu, Kwani Tanzania wote ni dini moja, ebu nenda taratibu.

Pia kuna viongozi wengine duniani hawawekwi na Mungu au huyu wetu tu.
 
Maana yake serekali ilipaswa iwe imetoa miongozo kadhaa kuhusiana na kadhia hii ya Corona pamoja na kuisimamia kwa nguvu zote ila wao wanachofanya sasa hivi ni kuziponda barakoa,kuiponda social distancing na kuweka msisitizo katika maombi(Soma paragraph ya 5 katika waraka wao hapo juu).Yaani Tanzania imekuwa ni Taifa la maruwani linaloongozwa na viongozi maruwani!
Kiasi gani unaelewa ukubwa wa maambukizo ya korona nchini na jinsi unavyoambukizwa zaidi yaliyosemwa na Rais?

Unayoyajua wewe jielekeze mwenyewe na wale unawaowapenda na kuwasisitizia wadharau ya Rais na Serikali yake
 
Haya sasa waliokua wanasubiri tamko ndio wajikinge watafute sababu nyingine ya kuwafanya wasijikinge.
Hilo unaweza kulitofautisha na pigeni nyungu? Ni yaleyale kodi kwa ubabe bila kulinda walipaji,nani anapima watu na wanaokufa wanazikwaje?
 
Kama wewe umezoea kuwa free rider kwa viongozi hilo ni tatizo lako halihusiani na mimi. Na inaonekana ulizoea kuwa free rider ndo maana umejenga chuki binafsi.

Kuwaombea mabaya wengine hakukufanyi wewe kuwa salama. Bahati mbaya zaidi wewe siyo Mungu unaweza omba wenzako wafe kwa huo ugonjwa ukatangulia wewe.

Fuata miongozo unayopewa, kula vizuri kama una uwezo, fanya mazoezi na acha chuki binafsi.
Aliyekuambia maelfu ya watu wanaokufa walikuwa hawali vizuri au walikuwa hawafanyi mazoezi ni nani? Namna sahihi ya kupambana na hivi virusi ni kuzuia maambukizi sababu maradhi yake hayana tiba rasmi, Magufuri amekuwa kinara wa kupinga hatua zote za kuzuia maambukizi huku akihubiri tiba za kujifukiza.

Ameonywa na uongozi wa WHO, Ameonywa na ofisi za barozi mbalimbali, ameonywa na watanzania wengi sana lakini hakusikia, ameona dodoma kumechafuka kakimbilia dar es salaam, na hapo alipo utakuta anafikiria kukimbilia chato huku akiacha watu wanaambukizana kwa visingio vya serikali haina hela ya kulisha yetu, yaani yeye anaona hela ni muhimu kuliko uhai
 
Kwahiyo mmeridhika, hadi muambiwe mvae barakoa ndio mfurahi. Vaeni sasa baba yenu kasema
Ukisema hivyo unawasuta viongozi wa serikali, hataivyo nadhani wamekusikia na wamemsikia pengine kuanzia kesho tutaanza kuona wakivaa barakoa baada ya kuruhusiwa
 
Kiasi gani unaelewa ukubwa wa maambukizo ya korona nchini na jinsi unavyoambukizwa zaidi yaliyosemwa na Rais?

Unayoyajua wewe jielekeze mwenyewe na wale unawaowapenda na kuwasisitizia wadharau ya Rais na Serikali yake
Lakini hiyo serikali ya rais inalipwa kodi na wanaidai kwa mitutu na kupewa kesi halafu nguvu kama hiyo haipo kwa corona?
 
Mkuu, nimesikiliza clip alichosema tofauti na kilichoandikwa naomba nenda kasikilize. Amewasifu wale ambao hawajavaa barakoa na kuwasifu waziri mkuu na makamu wa rais kutovaa barakoa kwa kuwa wanamuamini Mungu.

Amesema barakoa sawa ila tununue za hapa na kushonesha lakini walizozileta hizo barakoa anazosema kila leo zina corona ziliingia vipi nchini na madukani?

Hotuba ukiisikia kwa kweli ni ya kebehi kwa ugonjwa na wavaa barakoa. Naomba kamsikilize mwenyewe m, iko YouTube ni hotuba fulani hujui anataka kusema nini anaacha watu grey zone, hakuna message moja anauma na kupuliza. Inasikitisha kiongozi kuongea vile.

Kuna sehemu kasema “Hawa wasaidizi wangu hawajavaa barakoa na mimi sijavaa, kwani siogopi kifo? Wala sijui wamekutana na nani lakini naamini Mungu. Nchi nyingi waliovaa barakoa ndio wamekufa maelfu.” Sasa ni ujumbe gani kapeleka?

Hiyo statement wame soft baadhi ya maneno, kamsilize mwenyewe halafu uta comment.
Ni haki yako kuwa na mawazo kama hayo.

Rais katika hotuba yake, kwa lugha rahisi, ameeleza matumizi ya barakoa na madhara yake. Akatoa mifano ya nchi ambazo kuvaa barakoa ni sheria bado maambukizi yapo na wanakufa kwa wingi. Wataalam wa afya pia wanatoa angalizo la matumizi ya barakoa.

Hata vile amemwachia kila mtu kufanya uamuzi. Nawe rukhusa kufanya unaloona litakupitisha salama kwenye janga hili mradi huwi mmoja wa watakao ambukizwa au kuambukiza kwa sababu ya ujuaji na/au ujeuri
 
Jibu maswali yangu mzee baba.Hapa huwa tunabishana kwa hoja tu.Narudia tena swali langu,yeye huo ufanisi ameupimaje?
Lockdown na social distancing imesaidia huko Italia? Umezoea kukariri makatuni.
 
Kama wewe umezoea kuwa free rider kwa viongozi hilo ni tatizo lako halihusiani na mimi. Na inaonekana ulizoea kuwa free rider ndo maana umejenga chuki binafsi.

Kuwaombea mabaya wengine hakukufanyi wewe kuwa salama. Bahati mbaya zaidi wewe siyo Mungu unaweza omba wenzako wafe kwa huo ugonjwa ukatangulia wewe.

Fuata miongozo unayopewa, kula vizuri kama una uwezo, fanya mazoezi na acha chuki binafsi.
Mwaka jana wakati majirani wote wamefunga mipaka yao, na dunia nzima ukisitisha usafiri wa anga hivyo kupunguza kama sio kuondoa kabisa maambukizi kati ya mataifa na mataifa, waziri mkuu majariwa alichukua pro active actions na kutoa maelekezo ambayo yalisaidia sana kuzua maambukizi nchini.

mwaka huu, mipaka yote iko wazi, yeye anasema mara corona haipo, mara Mungu kaiondoa huku vibaraka wake wakidai magufuri aliishinda corona.

sasa ni wazi maambukizi ni makubwa Tanzania kuliko maeneo mengi sana Africa. lakini mpaka kafariki swaiba wake ndo anashtuka.
 
Wapumbavu ni wengi. Na wewe ni mmoja wapo. Imesaidia sana sana. Ila kwa sababu hujui kiingereza kama baba yako huweza kusoma na kuelewa.
Numbe of fatalities caused by covid 19 in Italy? Kenya? Though lockdown and social distance measures were implemented.
 
Back
Top Bottom