Rais Magufuli: Wengine wanasema nipo Chato, kwani waliambiwa Chato sitakiwi kuwepo? Hapa si ndio nilipozaliwa na hata nikifa nitazikwa?

Rais Magufuli: Wengine wanasema nipo Chato, kwani waliambiwa Chato sitakiwi kuwepo? Hapa si ndio nilipozaliwa na hata nikifa nitazikwa?

Rais Magufuli si mtu wa anasa tumpongeze kwa hili
Kweli kabisa maana kukaa Ikulu sijui Dar Es Salaam au Dodoma ni anasa sana.Sioni aje ya Mh.Rais kutimiza majukum yake nje na nyumbani kwake ....kwenda Ikulu ni anasa kubwa.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Sio kwamba napingana na hoja za watu wengine, ambao wamekuwa wakitoa shinikizo la Rais kutoka Chato na kurudi Ikulu ya Dar es salaam au Dodoma. Ila najaribu kujiuliza haya maswali;

i) Je, utendaji wa Rais unapimwa kwa mambo anayofanya au unapimwa kwa mahali alipo?

ii) Je, Rais akiwa tu Chato au sehemu ingine yoyote Tanzania ambapo hakuna Ikulu, atakuwa anakosa moja kwa moja nguvu ya kuwa Rais?

iii) Kuna umuhimu gani haswa wa kuwa na shinikizo la kutaka Rais atoke Chato na aje ikulu?


Mi nahisi vitu vingine hivi ni kufuata tu mkumbo wa nani anasema kitu gani, iihali kuna wana harakati wanasema kwamba Rais atoke Chato aje ikulu, basi imekuwa kama hoja ya kujadiliwa, wakati ukiangalia kwa jicho la tatu, hakuna mantiki haswa nyuma ya hili jambo.

Kwangu mimi kwa kweli, sioni kama kungekuwa na tofauti yoyote kwenye hili janga la Corona hata kama Magufuli angekuwa huko ikulu watu wanapotaka awepo. Magufuli ni mtu yule yule akiwa Dodoma, Dar, Chato na popote pale.

Yaani watu wanavolalamika Rais arudi Ikulu, utasema kuna chochote kitachobadilika.
ww fala unajua ikulu imewekwa kwa sababu gani pale si nyunbani kwa rais ni ofisini je unaweza kukaa nje ya ofisi mdamrefu ivyo ??Acha kufikiria karibu kama ikulu ingekuwa haina maana zisingekuepo wangeongoza toka nyumbani kwaanzia nyerere angeongoza akiwa butiama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwani huko Chato anafanya nini? Kwamba huko ndo ilipo Ikulu, yupo kwa ziara ya kikazi au yupo yupo tu?
Wote walioapishiwa Chato ...wameapishwa vichochoroni, kiapo chao sio Rasmi ......kama kulikuwa na ulazima wa kuapisha akiwa mafichoni , angeenda kwenye ikulu ndogo ,Geita .
 
Dalili za mtu aliyechanganyikiwa na kukata tamaa ni hizi
kutokuwa consistency
kushindwa kukumbuka aliyosema
•corona hakuna tunatishana
•ligi iendelee tu
•huku shule umefunga
•natuma ndege ikalete dawa za corona Madagascar- sasa hakuna corona, halafu dawa za kumtibu mamako au?
hilo neno ktk sentensi ya mwisho sio sahihi kuambiwa kiongozi wa nchi mkuu
 
Sio kwamba napingana na hoja za watu wengine, ambao wamekuwa wakitoa shinikizo la Rais kutoka Chato na kurudi Ikulu ya Dar es salaam au Dodoma. Ila najaribu kujiuliza haya maswali;

i) Je, utendaji wa Rais unapimwa kwa mambo anayofanya au unapimwa kwa mahali alipo?

ii) Je, Rais akiwa tu Chato au sehemu ingine yoyote Tanzania ambapo hakuna Ikulu, atakuwa anakosa moja kwa moja nguvu ya kuwa Rais?

iii) Kuna umuhimu gani haswa wa kuwa na shinikizo la kutaka Rais atoke Chato na aje ikulu?


Mi nahisi vitu vingine hivi ni kufuata tu mkumbo wa nani anasema kitu gani, iihali kuna wana harakati wanasema kwamba Rais atoke Chato aje ikulu, basi imekuwa kama hoja ya kujadiliwa, wakati ukiangalia kwa jicho la tatu, hakuna mantiki haswa nyuma ya hili jambo.

Kwangu mimi kwa kweli, sioni kama kungekuwa na tofauti yoyote kwenye hili janga la Corona hata kama Magufuli angekuwa huko ikulu watu wanapotaka awepo. Magufuli ni mtu yule yule akiwa Dodoma, Dar, Chato na popote pale.

Yaani watu wanavolalamika Rais arudi Ikulu, utasema kuna chochote kitachobadilika.
Hivi kila mtu akifanyia kazi nyumbani kwake itakuwa na impact gani ?

Anyway kwa kuunga mkono kauli ya rais katika kipindi hiki cha korona kila mtumishi arudi huko ambako atazikiwa kwa mujibu wa Magufuli akafanyie kazi huko itakuwa sawa?

Je ilikuwa sahihi rais kumuapishia waziri kibarazani Kwake ?

Je watumishi wote wa umma wakifanyia kazi vibarazani mwao kama alivyofanya rais jana ni sahihi ?

Tujaribu kupima haya mambo kwa uzito wake siyo kutetea hata utoto.

Rais kakimbia ofisi fullstop.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
“Wengine wanasema nipo Chato, kwani waliambiwa Chato sitakiwi kuwepo?, hapa si ndio nilipozaliwa na hata nikifa nitazikwa hapa kuna ubaya gani nikiwa Chato? , nikienda Moshi watasema nipo Moshi nimekimbia sijui wapi!, tuache siasa za ajabu” -JPM

“Wengine wako DSM wanasema Watu wasiende Bungeni, na nimeagiza wasilipwe posho maana utalipwa kwa kazi uliyofanya, kuna mambo ya ajabu yanafanyika, sina imani na Mkuu wa Mabaara ya Taifa maana haiwezekani tupeleke sampuli za papai zioneshe zina corona” -JPM

arudi kazini basi na yeye asilipwe mshahara mana hayupo kazini. au kila mtu akakae alipozaliwa afanye kazi akitokea huko.
 
Dalili za mtu aliyechanganyikiwa na kukata tamaa ni hizi
kutokuwa consistency
kushindwa kukumbuka aliyosema
•corona hakuna tunatishana
•ligi iendelee tu
•huku shule umefunga
•natuma ndege ikalete dawa za corona Madagascar- sasa hakuna corona, halafu dawa za kumtibu mamako au?
Duuuu! Hiyo kauli ya mwisho hapo
 
“Wengine wanasema nipo Chato, kwani waliambiwa Chato sitakiwi kuwepo?, hapa si ndio nilipozaliwa na hata nikifa nitazikwa hapa kuna ubaya gani nikiwa Chato? , nikienda Moshi watasema nipo Moshi nimekimbia sijui wapi!, tuache siasa za ajabu” -JPM

“Wengine wako DSM wanasema Watu wasiende Bungeni, na nimeagiza wasilipwe posho maana utalipwa kwa kazi uliyofanya, kuna mambo ya ajabu yanafanyika, sina imani na Mkuu wa Mabaara ya Taifa maana haiwezekani tupeleke sampuli za papai zioneshe zina corona” -JPM
Ofisi ya Reis wa JMT ipo Magogoni Dar na Chamwino Dodoma asijitoe ufahamu.Aseme tu ,I am working from home
 
Dalili za mtu aliyechanganyikiwa na kukata tamaa ni hizi
kutokuwa consistency
kushindwa kukumbuka aliyosema
•corona hakuna tunatishana
•ligi iendelee tu
•huku shule umefunga
•natuma ndege ikalete dawa za corona Madagascar- sasa hakuna corona, halafu dawa za kumtibu mamako au?
Na ofisi amekimbia Sasa anatetea kufanyia kazi za nchi sebureni kwake
 
Na wabunge wa Chadema wameamua kwenda kwao mbona mnawanyima posho
Mkuu bila kuwa na phD ya ujinga na upumbavu ni ngumu kumuuelewa Magu.wanaccm wanamuelewa vizuri sana ndo maana unaona akina Bia Yetu wanajivunia kuwa nae
 
Sio kwamba napingana na hoja za watu wengine, ambao wamekuwa wakitoa shinikizo la Rais kutoka Chato na kurudi Ikulu ya Dar es salaam au Dodoma. Ila najaribu kujiuliza haya maswali;

i) Je, utendaji wa Rais unapimwa kwa mambo anayofanya au unapimwa kwa mahali alipo?

ii) Je, Rais akiwa tu Chato au sehemu ingine yoyote Tanzania ambapo hakuna Ikulu, atakuwa anakosa moja kwa moja nguvu ya kuwa Rais?

iii) Kuna umuhimu gani haswa wa kuwa na shinikizo la kutaka Rais atoke Chato na aje ikulu?


Mi nahisi vitu vingine hivi ni kufuata tu mkumbo wa nani anasema kitu gani, iihali kuna wana harakati wanasema kwamba Rais atoke Chato aje ikulu, basi imekuwa kama hoja ya kujadiliwa, wakati ukiangalia kwa jicho la tatu, hakuna mantiki haswa nyuma ya hili jambo.

Kwangu mimi kwa kweli, sioni kama kungekuwa na tofauti yoyote kwenye hili janga la Corona hata kama Magufuli angekuwa huko ikulu watu wanapotaka awepo. Magufuli ni mtu yule yule akiwa Dodoma, Dar, Chato na popote pale.

Yaani watu wanavolalamika Rais arudi Ikulu, utasema kuna chochote kitachobadilika.
moja awe muwazi aseme, he is working from home na atoe sababu why he's working from home.mbili mazingira ya ofisini ni more effective than working from home,ndo maana kila mtu anaenda kuchapa kazi ofisini kwake and not sebuleni.Tatu Kama mazingira ya Dar na Dodoma ni hatarishi aseme na siyo yeye ajifungie harafu asukumie wengine ndo wakafe
 
Wanaotaka Rais atoke Chato ni hao wanaoagizana kujifungia ndani. Imekula kwao
Mkuu actions speak thousands of words.Chadema wameamua kufanya kile rais anachofanya kwa matendo na si kwa mdomo.Sasa wewe Kama unataka kufata maneno yake fata sisi tutawafukia tu maana hatutakuwa na namna nyingine
 
Ukitaka kuishi maisha ya kiutofauti katika nchi hii achana na siasa kabisa.

Kuachana na siasa inamaanisha hata kufutilia habari zake uache. Mambo ya siasa ni magumu sana afu ni mabaya yana tia hasira.

Leo unamnyima mtoto kuvuta sigara ili hali wewe unavuta,unakata watu kupiga ramli wakati wewe mwenyewe ni mpiga ramli. Sidhani kama utakua unamaanisha

Je ikulu iko Chato kwa sasa?
Kama umezaliwa Chato na utafia Chato vip na wabunge wakirudi majimboni walikozaliwa ili wakifia huko wazikwe huko mana ni kwao?
 
Back
Top Bottom