#COVID19 Rais Magufuli yupo sahihi sana kuhusu COVID-19

#COVID19 Rais Magufuli yupo sahihi sana kuhusu COVID-19

Jamani tuache kuua story huyo inabidi ajibiwe tu,mshana yuko wapi kwanza,MTU Wa nguvu za giza,ngoja mimi na elimu Yangu ya darasa LA saba nimjibu ,kwanza shule si Mali kitu,cha msingi akili,akili ilikuepo kabla ya shule,akili ndo iliyobuni shule,mimi naamini mungu yupo kwa kuwa mimi nipo,yaani simu ya mkononi IPO kwa kuwa kiwanda kipo,ni ukweli MTU bila kiwanda au MTU anaezitengeneza kuwepo Basi simu zisingekuepo,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiranga ili tukuthibitishie uwepo wa Mungu hebu thibitisha wewe kwanini unaamini kuwa Mungu hayupo. Maana you are just one in a million.Isije ikawa elimu yako unayozani ni sahihi kumbe pengine ss tulishaisoma na kuipuuza.





Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha eti 1 in a million. Hata statistics hujui. Watu tusioamini uwepo wa mungu tupo wengi mno. Nchi za kimasikini tu ndo mmejaa mnaoamini huu upuuzi. Nchi nyingi zilizoendelea ukifuatilia utakuta 50% hawaamini uwepo wa mungu. Ondoa za waarabu za kiislamu maana na zenyewe wamejaa ukilaza wao.

Alafu kuprove mlivyo vibaya kichwani, we ndiyo unasema mungu yupo wewe si ndiyo unayetakiwa kuprove kua yupo? Kwa nini asiyeimini aprove kua hayupo? Kwani umemuona? Hahaha akili ndogo mnashangaza toka lini mtu anaprove kitu kutokuwepo?

Nikija kwako umekaa sebuleni nikakwambia kuna simba sebuleni we ukasema hayupo kwa sababu hujamuona anayetakiwa aprove kua simba yupo si ni mimi? Umezaliwa na ubongo utumie.

Alafu nyie waamini mungu jifunzeni spelling mbona hua mnachanganya sana h, r,l, dh, z. Wengi akili ndogo naona. Hata mi nasubiri siku mtu aprove mungu yupo, kuanzia siku hiyo nitakua muumini namba moja.
 
Ndugu zangu

kwanza niwape pole waathirika wote na wafiwa wa ugonjwa wa corona ndo mapito tuwe na imani corona itaondoka, ila itaondoka pale tu sisi binadamu tutakapokuwa wanyenyekevu mbele ya Mungu

Hii corona ni pigo kutoka kwa Mungu kwa sababu sisi wanadamu ni washenzi tumezidi maasi na machafu tumeifanya dunia uwanja wa vita ushoga mauaji na ufedhuli mwingi, hili janga la corona ilibidi lazima lije tumemsahau sana Mungu katika matendo yetu na shetani amekuwa ni rafiki yetu na sasa shetani kama kawaida yake ametuacha na tunazidi kupotoka kwa kuendeleza mambo yasiompendeza Mungu

Baada ya Rais Magufuli kusema tumrudie Mungu atusaidie kwa hili janga la corona watu wengi walimkejeli sana, ila kiukweli alikuwa sahihi iwe kwa lock down isiwe kwa lock down corona itaendelea na ingeendelea kututesa sana, sababu corona haijaletwa na mchina wala mmarekani wala popo isipokuwa ni adhabu kutoka kwa Mungu kwa sababu ya matendo yetu, wanasayansi waendelee kukesha maabara kutafuta dawa ila wasisahau dawa ya corona ni sisi binadamu kumrudia Mungu

Tulipoombwa na Rais tufanye maombi watu walibeza ndo hao hao sasa corona imetamalaki wanapiga kelele wakati siku za maombi walikuwa juu ya vinena vya malaya!! mtu anafikia hadi kusema dini haina umuhimu kwa sababu haijatusaidia kuondoa corona, corona iondoke hali ya kuwa mmeasi??subirini ya Nabii Nuhu na Luti yatufike ndo mtajua hamjui

Na nyie mnaoenda mbali zaidi na kusema Mungu hakuna, mkishikwa na haja mbona mnaenda vyooni kuchutama, mnachutama for what?????gomeni basi na kuchutama kama nyie ni vidume kweli!!! ndo nyie mmesababisha kutuletea corona, kwani kawaida ya Mungu kosa la mtu mmoja anaweza akaleta janga katika jamii nzima Kiranga aretasludovick Retired Father of all Snipers The only nusuhela na wafuasi wenu wote mnaopotosha watu ni mda wenu wa kutubu ile saa imekaribia TUKIENDELEA KUMBEZA NA KUMDHIHAKI MUNGU CORONA ITAENDELEA KUTUTAFUNA

View attachment 1435930

Dawa ya corona ni kuendelea kuomba sana wote kwa umoja Mungu atatusamehe na kutuonyesha njia sahihi ya kukabiliana na haya maradhi na tena tuombe majumbani kwetu tuepuke mikusanyiko isiyo na lazima,
Source? Naona umeharisha tu ilimradi umsifie jiwe...pumbafuuuuuu
 
nuhu.jpg
 
Sina lengo zaidi ya kutenganisha ukweli na uongo.

Narudia.

Sina kengo zaidi ya kutemganisha ukweli na uongo.

Na katika hili, niko tayari kufundishwa ukweli kutoka wale ambao sikubaliani nao.

Nina maana kwamba, niko tayari kukubali Mungu yupo kama nitathibitishiwa kwamba yupo.

Wewe je, upo tayari kukubali kwamba Mungu hayupo kutokana na habari za watu ambao wanasema Mungu hayupo?

Kitu gani kitakufanya ukubaliane na watu ambao hukubaliani bao kwa sasa?

Mimi nikipewa facts zenye logical consiatency kunionesha kwamba nimekosea katika mawazo yangu, siwezi kuzikataa, nitajisahihisha.

Naweza kukubali kwamba maoni yangu yalikuwa na makosa.

Wewe je?

Unaweza kukubali kujisahihisha?

Unaweza kujubali kwamba imani yako kwamba Mungu yupo yana makosa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla sijakuthibitishia uwepo wa Mungu kwamba yupo,
Wewe binafsi unatafsiri namna gani unaposikia watu wakisema Mungu yupo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliyoyaandika hapa ata bible inapingana na wewe
Napita tu mpwa nisije nikatoa lugha chafu
kwa andiko gani??

toa tu lugha si ndo mawazo yako?maneno hayaunguzi nyumba
 
Mimi naweza kusema kwamba Covid-19, Coronavirus outbreak haijatokana na watu kukosa unyenyekevu kwa Mungu.

Kwa sababu Mungu hayupo. Kama unabusha, thibitisha factually, factually, the emphasis is on factyually, kwamba Mungu yupo in the first place.

Ila, nataka niseme, pamoja na kuwa mtu nisiyeamini habari za uwepo wa Mungu, nakubali kwamba habari ya Mungu kuwapo ina currency.

Si lazima kitu kiwepo, au kiwe kweli, ili kiwe na umuhimu. Mengine tunajiwekea tu watu.

Ile noti ya Sh 10,000 au USD 100 ina thamani swa na vitu inavyonunua?

Ikija kuwepo lockdown ya nguvu ya kuodnoa umuhimu wa central bank na national economies, kiasi kwamba hela inageuka karatasi tu, noti ya 10,000 Sh itakuwa na thamani tena?

Magufuli akisema leo tunawapa mwezi mmoja kubadili noti, baada ya mwezi mmoja, noti ya 10,000 itakuwa haitumiki, baada ya mwezi mmoja, hiyo noti ya 10,000 itakuwa na thamani tena?

Jibu ni wazi. Noti ya 10,000 sh ina thamani kwa sababu tumekubaliana iwe na thamani, tukikataa mkataba huu, thamani yake itashuka na kutoweka.

Can anyone prove that the 10,000 banknote actually has the value of the goods it buys?

Can anyone prove that an all knowing, all good and all capable God exists?

Inawezekana kwamba dhana ya kuamini Mungu ina maana kubwa tu.

Ukifuata kanuni za kula vyakula zilizopo katika Biblia, kwenye vitabu kama vya Mambo ya Walawi, inawezekana ukapata busara za miaka na miaka za watu kuhusu chakula gani kinafaa kuliwa na hakifai kuliwa.

Hilo tu linaweza kukufanya ujue kwamba popo, anayesababisha Coronavirus, inayoleta Covid-19, hafai kuliwa.

Pengine wenzetu walishawai kujaribu kula wanyama jamii ya popo, mamia na mamia, maelfu na maelfu ya miaka huko, wakaona watu wakila popo wanakufa sana. Wakaweka sheria za kukataza kula popo. Au wakaweka sheria za kukataza kula vitu vigeni ambavyo havijajulikana madhara yake.

Na kwa kuwa hawakuwa na namna ya kuwapa watu hofu ya kutokula vitu hivi, wakasema tu kwamba "hii ni sheria ya Mungu".

Hiyo ni shortcut. Ni uongo unaotaka kwenda kwenye ukweli.

Ni uongo kwa sababu hakuna Mungu. Ni ukweli kwa sababu unakufanya usitende mabaya yatakayokudhuru.

Kuna sheria za Mungu zinazokataza kuzini. Mtu akizifuata hizi, ataepuka matatizo mengi sana katika maisha, mengi sana.

Napenda kuziheshimu sheria hizi, si kwa sababu naamini Mungu kaziweka.

La hasha, mimi siamini uwepo wa Mungu.

Naziheshimu kwa sababu, ni sheria ambazo zinaweza kuniepusha na magonjwa ya zinaa, na mifarakano ya kijamii, na mengine mengi kama hayo.

Kuna mambo mengi kama hayo, ambayo, kwa watu wa kawaida, kufuata shortcut ya kuamini Mungu na kuishi kwa sheria zake kunaweza kuwa kunatosha.

Lakini kuna wengine wabishi tunataka tuziangalie hizo shortcuts kama bado zina maana au zimepitwa na wakati?
Nakukumbusha ndugu yangu kiranga sababu nakupenda sana

Mungu yupo Mkuu tubu

Sijatoa hili bandiko sababu ya kubishana na yeyote kuhusu uwepo wa Mungu, kwanza sasa naona ni kufuru sababu watu washabishana sana humu jukwaani, mie naamini hutakubali hoja yeyote ntakayokueleza hapa utakuja na blah blah zako hapa za ubishi,binadamu anakishinda kila kitu/kiumbe kwa ubishi kwa maneno yake Mungu.
HAKUNA KULAZIMISHANA KATIKA DINI KAMA UNAENDELEA NA UBISHI WAKO ENDELEA LAKINI JUA UMEPOTEA

Nimekukumbusha tu mkuu huko uliko siko jitafakari
 
Kwanini unapenda kusema Mungu hayupo, malengo yako nini hasa kwenye jamii kuhusu hili jambo lako kusema Mungu hayupo?

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu msamehe tu bure tushamzoea sumu alizomezeshwa simeshakaa kwenye damu kutoka ni ngumu
ni wa kumhurumia anahitaji therapy ya hali ya juu
 
We ni mpumbavu kama wapumbaavu wengine... Na Mungu hawezi sikia maombi ya wapumbavu kama wewe majanga hayajaanza leo.. na wapi umeongea na Mungu kwamba hili ni pigo lake.. mlianza kwa kusema ni pigo kwa china walidhihaki Quran yakwapi sasa...

Sent using Jamii Forums mobile app
ulikuwa na point nzuri ya kuuliza lakini umekuja pia na matusi!!

asante ndugu yangu kwa kunitusi

nimeshindwa kuelewa nikujibu swali lako au matusi yako
 
Kiranga ili tukuthibitishie uwepo wa Mungu hebu thibitisha wewe kwanini unaamini kuwa Mungu hayupo. Maana you are just one in a million.Isije ikawa elimu yako unayozani ni sahihi kumbe pengine ss tulishaisoma na kuipuuza.





Sent using Jamii Forums mobile app
usibishane nae kuhusu Mungu tumeshamkumbusha inatosha
kiranga anajihisi ana akili nyingi kumshinda hata Mungu mwenyewe
 
Watu kama nyie ikiwapitia hata sisikitiki maana mmejaa ujinga sana kichwani, we kwako solution unaona ni kuomba? Si mliomba kabla haijaja? Mkafunga siku tatu kuomba iondoke? Mkaenda uwanja wa mpira kuomba uondoke? Kilitokea nini? Kasi inaongezeka hata haipungui.

Vilza kila kitu mungu mungu, kazi huwezi badala ya kutafuta skills nyingine unakaa mungu mungu, huna hela badala ha kutafuta mungu mungu. Huyo mungu angekuwepo kweli waafrika mnavyoomba hivi mngekua mbali sana ila mnakufa na njaa, wengi hamna akili, aggressive, vibaka kibao, yaani kuna sehemu ukienda unajiuliza wanaishi watu au wanyama.

Wakoloni waliwaletea dini wakaondoka sasa they don’t care kuhusu dini tena mmebaki vilaza mnajifanya mnajua dini kuliko wao waliowaletea 😂😂 endelea kuomba ikikukamata endelea kuomba acha walichokwambia wataalamu kua jitenge, endelea tu kuomba hadi wanakuja kukubeba usiku wakakuzike nyambaf. What a waste of brain and oxygen
igonorance at its best
 
Waziri mmoja ameshapukutika huko. Mapambio yaendelee. Ila kuna siku mtajua kuwa mlikuwa mnaandika ujinga.
Ndugu zangu

kwanza niwape pole waathirika wote na wafiwa wa ugonjwa wa corona ndo mapito tuwe na imani corona itaondoka, ila itaondoka pale tu sisi binadamu tutakapokuwa wanyenyekevu mbele ya Mungu

Hii corona ni pigo kutoka kwa Mungu kwa sababu sisi wanadamu ni washenzi tumezidi maasi na machafu tumeifanya dunia uwanja wa vita ushoga mauaji na ufedhuli mwingi, hili janga la corona ilibidi lazima lije tumemsahau sana Mungu katika matendo yetu na shetani amekuwa ni rafiki yetu na sasa shetani kama kawaida yake ametuacha na tunazidi kupotoka kwa kuendeleza mambo yasiompendeza Mungu

Baada ya Rais Magufuli kusema tumrudie Mungu atusaidie kwa hili janga la corona watu wengi walimkejeli sana, ila kiukweli alikuwa sahihi iwe kwa lock down isiwe kwa lock down corona itaendelea na ingeendelea kututesa sana, sababu corona haijaletwa na mchina wala mmarekani wala popo isipokuwa ni adhabu kutoka kwa Mungu kwa sababu ya matendo yetu, wanasayansi waendelee kukesha maabara kutafuta dawa ila wasisahau dawa ya corona ni sisi binadamu kumrudia Mungu

Tulipoombwa na Rais tufanye maombi watu walibeza ndo hao hao sasa corona imetamalaki wanapiga kelele wakati siku za maombi walikuwa juu ya vinena vya malaya!! mtu anafikia hadi kusema dini haina umuhimu kwa sababu haijatusaidia kuondoa corona, corona iondoke hali ya kuwa mmeasi??subirini ya Nabii Nuhu na Luti yatufike ndo mtajua hamjui

Na nyie mnaoenda mbali zaidi na kusema Mungu hakuna, mkishikwa na haja mbona mnaenda vyooni kuchutama, mnachutama for what?????gomeni basi na kuchutama kama nyie ni vidume kweli!!! ndo nyie mmesababisha kutuletea corona, kwani kawaida ya Mungu kosa la mtu mmoja anaweza akaleta janga katika jamii nzima Kiranga aretasludovick Retired Father of all Snipers The only nusuhela na wafuasi wenu wote mnaopotosha watu ni mda wenu wa kutubu ile saa imekaribia TUKIENDELEA KUMBEZA NA KUMDHIHAKI MUNGU CORONA ITAENDELEA KUTUTAFUNA

View attachment 1435930

Dawa ya corona ni kuendelea kuomba sana wote kwa umoja Mungu atatusamehe na kutuonyesha njia sahihi ya kukabiliana na haya maradhi na tena tuombe majumbani kwetu tuepuke mikusanyiko isiyo na lazima,
 
igonorance at its best
Says a poor guy with a fucked up life 😂
Keep dreaming man, waziri mwingine kasepa leo. Ndiyo kwanza trailer subiri picha. Endeleeni kuomba stupid.
 
Ndugu zangu

kwanza niwape pole waathirika wote na wafiwa wa ugonjwa wa corona ndo mapito tuwe na imani corona itaondoka, ila itaondoka pale tu sisi binadamu tutakapokuwa wanyenyekevu mbele ya Mungu

Hii corona ni pigo kutoka kwa Mungu kwa sababu sisi wanadamu ni washenzi tumezidi maasi na machafu tumeifanya dunia uwanja wa vita ushoga mauaji na ufedhuli mwingi, hili janga la corona ilibidi lazima lije tumemsahau sana Mungu katika matendo yetu na shetani amekuwa ni rafiki yetu na sasa shetani kama kawaida yake ametuacha na tunazidi kupotoka kwa kuendeleza mambo yasiompendeza Mungu

Baada ya Rais Magufuli kusema tumrudie Mungu atusaidie kwa hili janga la corona watu wengi walimkejeli sana, ila kiukweli alikuwa sahihi iwe kwa lock down isiwe kwa lock down corona itaendelea na ingeendelea kututesa sana, sababu corona haijaletwa na mchina wala mmarekani wala popo isipokuwa ni adhabu kutoka kwa Mungu kwa sababu ya matendo yetu, wanasayansi waendelee kukesha maabara kutafuta dawa ila wasisahau dawa ya corona ni sisi binadamu kumrudia Mungu

Tulipoombwa na Rais tufanye maombi watu walibeza ndo hao hao sasa corona imetamalaki wanapiga kelele wakati siku za maombi walikuwa juu ya vinena vya malaya!! mtu anafikia hadi kusema dini haina umuhimu kwa sababu haijatusaidia kuondoa corona, corona iondoke hali ya kuwa mmeasi??subirini ya Nabii Nuhu na Luti yatufike ndo mtajua hamjui

Na nyie mnaoenda mbali zaidi na kusema Mungu hakuna, mkishikwa na haja mbona mnaenda vyooni kuchutama, mnachutama for what?????gomeni basi na kuchutama kama nyie ni vidume kweli!!! ndo nyie mmesababisha kutuletea corona, kwani kawaida ya Mungu kosa la mtu mmoja anaweza akaleta janga katika jamii nzima Kiranga aretasludovick Retired Father of all Snipers The only nusuhela na wafuasi wenu wote mnaopotosha watu ni mda wenu wa kutubu ile saa imekaribia TUKIENDELEA KUMBEZA NA KUMDHIHAKI MUNGU CORONA ITAENDELEA KUTUTAFUNA

View attachment 1435930

Dawa ya corona ni kuendelea kuomba sana wote kwa umoja Mungu atatusamehe na kutuonyesha njia sahihi ya kukabiliana na haya maradhi na tena tuombe majumbani kwetu tuepuke mikusanyiko isiyo na lazima,
Nyie ndio wapambe wake kutoka chattle?
 
Maisha yote yako hivyo.We are always supposed to be doing research and development.Unfortunately (or fortunately) we are all human, and we require resources and focus.

Corona ina intensify tu yote ya kawaida katika maisha.Kama Tanzania au Marekani tuna lack of leadership ambayo inafichika kirahisi under normal circumstances,Corona inakuja kufichua weaknesss zote. Kuanzia kuua wazee wenye kisukari, mpaka marais ambao hawana crisis management systems.

Swali kubwa zaidi ni hili.

Je, sisi huko Tanzania na Afrika tunaweza kuchambua, kugundua na kupambana na matatizo kivyetu ikibidi?

Waafrika shida kama hizi zitatuzindua maana bado tumelala fofofo
 
Back
Top Bottom