#COVID19 Rais Magufuli yupo sahihi sana kuhusu COVID-19

Jamani tuache kuua story huyo inabidi ajibiwe tu,mshana yuko wapi kwanza,MTU Wa nguvu za giza,ngoja mimi na elimu Yangu ya darasa LA saba nimjibu ,kwanza shule si Mali kitu,cha msingi akili,akili ilikuepo kabla ya shule,akili ndo iliyobuni shule,mimi naamini mungu yupo kwa kuwa mimi nipo,yaani simu ya mkononi IPO kwa kuwa kiwanda kipo,ni ukweli MTU bila kiwanda au MTU anaezitengeneza kuwepo Basi simu zisingekuepo,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha eti 1 in a million. Hata statistics hujui. Watu tusioamini uwepo wa mungu tupo wengi mno. Nchi za kimasikini tu ndo mmejaa mnaoamini huu upuuzi. Nchi nyingi zilizoendelea ukifuatilia utakuta 50% hawaamini uwepo wa mungu. Ondoa za waarabu za kiislamu maana na zenyewe wamejaa ukilaza wao.

Alafu kuprove mlivyo vibaya kichwani, we ndiyo unasema mungu yupo wewe si ndiyo unayetakiwa kuprove kua yupo? Kwa nini asiyeimini aprove kua hayupo? Kwani umemuona? Hahaha akili ndogo mnashangaza toka lini mtu anaprove kitu kutokuwepo?

Nikija kwako umekaa sebuleni nikakwambia kuna simba sebuleni we ukasema hayupo kwa sababu hujamuona anayetakiwa aprove kua simba yupo si ni mimi? Umezaliwa na ubongo utumie.

Alafu nyie waamini mungu jifunzeni spelling mbona hua mnachanganya sana h, r,l, dh, z. Wengi akili ndogo naona. Hata mi nasubiri siku mtu aprove mungu yupo, kuanzia siku hiyo nitakua muumini namba moja.
 
Source? Naona umeharisha tu ilimradi umsifie jiwe...pumbafuuuuuu
 
Kabla sijakuthibitishia uwepo wa Mungu kwamba yupo,
Wewe binafsi unatafsiri namna gani unaposikia watu wakisema Mungu yupo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliyoyaandika hapa ata bible inapingana na wewe
Napita tu mpwa nisije nikatoa lugha chafu
kwa andiko gani??

toa tu lugha si ndo mawazo yako?maneno hayaunguzi nyumba
 
Nakukumbusha ndugu yangu kiranga sababu nakupenda sana

Mungu yupo Mkuu tubu

Sijatoa hili bandiko sababu ya kubishana na yeyote kuhusu uwepo wa Mungu, kwanza sasa naona ni kufuru sababu watu washabishana sana humu jukwaani, mie naamini hutakubali hoja yeyote ntakayokueleza hapa utakuja na blah blah zako hapa za ubishi,binadamu anakishinda kila kitu/kiumbe kwa ubishi kwa maneno yake Mungu.
HAKUNA KULAZIMISHANA KATIKA DINI KAMA UNAENDELEA NA UBISHI WAKO ENDELEA LAKINI JUA UMEPOTEA

Nimekukumbusha tu mkuu huko uliko siko jitafakari
 
Kwanini unapenda kusema Mungu hayupo, malengo yako nini hasa kwenye jamii kuhusu hili jambo lako kusema Mungu hayupo?

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu msamehe tu bure tushamzoea sumu alizomezeshwa simeshakaa kwenye damu kutoka ni ngumu
ni wa kumhurumia anahitaji therapy ya hali ya juu
 
ulikuwa na point nzuri ya kuuliza lakini umekuja pia na matusi!!

asante ndugu yangu kwa kunitusi

nimeshindwa kuelewa nikujibu swali lako au matusi yako
 
usibishane nae kuhusu Mungu tumeshamkumbusha inatosha
kiranga anajihisi ana akili nyingi kumshinda hata Mungu mwenyewe
 
igonorance at its best
 
Waziri mmoja ameshapukutika huko. Mapambio yaendelee. Ila kuna siku mtajua kuwa mlikuwa mnaandika ujinga.
 
igonorance at its best
Says a poor guy with a fucked up life 😂
Keep dreaming man, waziri mwingine kasepa leo. Ndiyo kwanza trailer subiri picha. Endeleeni kuomba stupid.
 
Nyie ndio wapambe wake kutoka chattle?
 

Waafrika shida kama hizi zitatuzindua maana bado tumelala fofofo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…