#COVID19 Rais Magufuli yupo sahihi sana kuhusu COVID-19

Italia makao makuu ya Roman Catholic,, Mama Reakatale wa mlima wa moto!...Nenda kaombe hujazuiwa ,,,
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani ni contradiction.

Unaelewa hilo?
 
Nimeomba uthibitisho.

Wewe unahubiiri.
 
Waafrika shida kama hizi zitatuzindua maana bado tumelala fofofo
Inawezekana uko sahihi.

Ukiangalia maendeleo makubwa ya kisayansi Ulaya yalikuja baada ya watu kuzinduka kutokana na vifo vingi vya "The Black Death", watu wakapunguza imani za ajabu na kukimbilia kutafuta majibu ya kisayansi kutatua matatizo yao.

Kabla ya hapo hakukuwa na tofauti kubwa kimaendeleo kati ya Ulaya na Afrika.

Kuanzia hapo Ulaya ikaiacha sana Africa kimaendeleo.
 

And I believe we have many solutions around us as Africans. Shida yetu tuko kwenye dunia ya copy and paste. Hatutaki kujiongeza. Hatutaki kuhangaisha vichwa
 

Mkuu,
Pole sana kwa kuondokewa na Mzee wako Mahiga
 
Asante sana kwa kuona mwngi.

Mtu hata hana statistics anakuja na "alternate facts" zake hata kuanza kujadikiana naye tabu.

Maana haheshimu hata statistics, sasa unajadiliana naye vipi?

Anaweza kukulazimisha kwamba wewe unaamini Mungu, wakati huamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli binadamu tumezidi maasi na machafu na miongoni mwa wanaoongoza kwa machafu ni yeye mwenyewe. Hivyo aanze yeye kutubu na kuomba msamaha kwa aliowasababishia mateso ndipo tutaamini kweli anmanisha anachoongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani popo amekuwa akisingiziwa sana na binadamu hapa duniani. Ebola walisema alisababisha Popo sasa Corona naye wanasema Popo kwetu kijijini Popo wanasema ni mchawi. Jamani acheni kumsingizia Popo mrudieni Mungu mwache madhambi yaliyokithiri duniani kama vile kufanya mapenzi kinyume na maumbile ambalo ni kosa kubwa sana ndiyo maana hata SODONA NA GOMOLA zilifutwa! Huu ugonjwa wa corona utaisha kama binadamu tutamrudia Mungu tu Wanasayansi wameshindwa!
 
Acheni ufirauni ndiyo kosa kubwa sana ambalo limekuwa linawaangamiza binadamu duniani tangu zamani
 
Waziri mmoja ameshapukutika huko. Mapambio yaendelee. Ila kuna siku mtajua kuwa mlikuwa mnaandika ujinga.
wewe ulinadhani kuna mtu ataishi milele

sie tu tunaobaki tunakua na huzuni ila hatujui tu wakati mwingine kifo kwa marehemu ni bora kuliko karaha za ulimwengu

mahiga katangulia mimi ntafuata wewe utafuata hakuna kitakachobaki chini ya jua
 
Acheni ufirauni ndiyo kosa kubwa sana ambalo limekuwa linawaangamiza binadamu duniani tangu zamani
Magufuli lilikuwa chaguo la Mungu, ni imani ya hali ya juu Rais kuwataka watu wamrudie Mungu kwenye majanga

wapagani hawawezi kuelewa hili
 
Thibitisha Mungu yupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndipo ninapowaona buku 7 mapunguani. Yes hatuishi milele. Ila hilo halitufanyi tushindwe kujilinda.

Hao wabunge wameona posho ni tamu kuliko afya zao. Eti wanamuogopa jiwe.

Waendelee tu na vikao watapukutika wengi tu halafu watakuwa wanasema ni mipango ya mungu wakati ni ujinga wao.
wewe ulinadhani kuna mtu ataishi milele

sie tu tunaobaki tunakua na huzuni ila hatujui tu wakati mwingine kifo kwa marehemu ni bora kuliko karaha za ulimwengu

mahiga katangulia mimi ntafuata wewe utafuata hakuna kitakachobaki chini ya jua
 
hakuna mtu anakufa kwa ujinga wake wala hakuna anaebaki kwa werevu wake

mie imani yangu iko hivyo ila sikulazimish kuamin mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…