DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,396
- 2,598
- Thread starter
- #21
JapanKwani waziri mkuu alisafiri wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JapanKwani waziri mkuu alisafiri wapi?
1. Zitatamatika lini ? Siku gani ?Zitatamatika soon baada ya shughuli iliyowapeleka kumalizika.
Kila mmoja amekwenda kwa tukio muhimu, ila imetokea tuu matukio yamegongana.
Tuna kitu kinachoitwa hierarchy anaanza Rais, VP, Rais wa ZnZ, PM, Spika, JM,
Wale VP wawili wa Zanzibar, katiba ya JMT haiwatambui!. Ikitokea wote sita hawapo, anateuliwa most senior cabinet minister mmoja kukaimu urais.
Hakuna hatari yoyote!. Ulinzi wa nchi ni chini ya CinC, ambayo haikaimishwi, CinC asipokuwepo nchini, ulinzi wa nchi uko chini ya CDF.
Faida ni nyingi!.
P
Tuna tatizo kubwa sana katika taifa lenye kuhitaji utatuzi.Mkuu tuna matumizi ya hovyo ya Kodi zetu kwa ziara ambazo hazina kichwa Wala miguu.Nchi yetu bado masikini lakini matumizi ya viongozi wetu Ni makubwa ukilinganisha na matatizo yetu
Kwani wakibaki nyumbani hawa furahi uwepo wao hapa ?Acha viongozi wafurahi
Nani huyo ?Kula kwa zamu! na yeye asubiri muda wake
Lakini hiyo taasisi ipo chini ya watu[ Viongozi ]serikali ni taasisi na sio mtu mmojaaa -- tupo salama
Anhaa sawa.PM aliondoka wakati Rais kesharejea kutoka Maputo.hivyo siyo kweli kuwa kulikuwa na vacuum.
Wapi ?Nchi imerudi ilikokuwa..
Sielewi ulichoandika, kipitie kwanza wenda naweza kuelewa.Soma katina ta nchi kila kitu kitu kimepangwa
Mfumo wa kitaasisi ndio unaendesha nchi sio watu,wakiwa nje ni maelezo tuHabari za sasa wanajamii , natumai ni nzuri.
Nilikuwa na maswali kadhaa kuhusu ziara za viongozi wetu wakuu wa nchi wa tatu (Rais, Makamu wa Rais, na Waziri mkuu)
1. Je ziara za viongozi wetu hawa kwa mataifa waliyo enda kuzuru zitatamatika lini kwa kila mmoja?
2. Kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wote wakuu wa tatu wa nchi kwenda nje ya mipaka ya nchi yetu kwa wakati mmoja?
3. Kwa sasa kiongozi wa juu wa kiserikali ndani ya mipaka yetu ni nani (Cheo na jina lake)
4. Hatari ni ipi kwa nchi endapo viongozi wote watatu wa juu wa serikali wasipokuwepo ndani ya mipaka ya nchi yetu ?
5. Ni faida zipi taifa ina zipata kwa ziara za viongozi hawa watatu kwa mataifa waliyo zuru?
Hiyo taasisi si ipo chini ya watu[ viongozi ] ?Mfumo wa kitaasisi ndio unaendesha nchi sio watu,wakiwa nje ni maelezo tu
Ukijibiwa hoja hizi kwa masirahi ya nchi naomba unitag mkuuHabari za sasa wanajamii , natumai ni nzuri.
Nilikuwa na maswali kadhaa kuhusu ziara za viongozi wetu wakuu wa nchi wa tatu (Rais, Makamu wa Rais, na Waziri mkuu)
1. Je ziara za viongozi wetu hawa kwa mataifa waliyo enda kuzuru zitatamatika lini kwa kila mmoja?
2. Kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wote wakuu wa tatu wa nchi kwenda nje ya mipaka ya nchi yetu kwa wakati mmoja?
3. Kwa sasa kiongozi wa juu wa kiserikali ndani ya mipaka yetu ni nani (Cheo na jina lake)
4. Hatari ni ipi kwa nchi endapo viongozi wote watatu wa juu wa serikali wasipokuwepo ndani ya mipaka ya nchi yetu ?
5. Ni faida zipi taifa ina zipata kwa ziara za viongozi hawa watatu kwa mataifa waliyo zuru?
Babako ndio ameachiwa ofisi, unafahamu jina lake?Habari za sasa wanajamii , natumai ni nzuri.
Nilikuwa na maswali kadhaa kuhusu ziara za viongozi wetu wakuu wa nchi wa tatu (Rais, Makamu wa Rais, na Waziri mkuu)
1. Je ziara za viongozi wetu hawa kwa mataifa waliyo enda kuzuru zitatamatika lini kwa kila mmoja?
2. Kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wote wakuu wa tatu wa nchi kwenda nje ya mipaka ya nchi yetu kwa wakati mmoja?
3. Kwa sasa kiongozi wa juu wa kiserikali ndani ya mipaka yetu ni nani (Cheo na jina lake)
4. Hatari ni ipi kwa nchi endapo viongozi wote watatu wa juu wa serikali wasipokuwepo ndani ya mipaka ya nchi yetu ?
5. Ni faida zipi taifa ina zipata kwa ziara za viongozi hawa watatu kwa mataifa waliyo zuru?
Rais kesharudi.Japan
Wewe kuwa na kumbukumbu mama alirudi lini Msumbiji?na lini Kassim ameondoka?PM aliondoka wakati Rais kesharejea kutoka Maputo.hivyo siyo kweli kuwa kulikuwa na vacuum.
nchi itakua chini ya spikaHabari za sasa wanajamii , natumai ni nzuri.
Nilikuwa na maswali kadhaa kuhusu ziara za viongozi wetu wakuu wa nchi wa tatu (Rais, Makamu wa Rais, na Waziri mkuu)
1. Je ziara za viongozi wetu hawa kwa mataifa waliyo enda kuzuru zitatamatika lini kwa kila mmoja?
2. Kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wote wakuu wa tatu wa nchi kwenda nje ya mipaka ya nchi yetu kwa wakati mmoja?
3. Kwa sasa kiongozi wa juu wa kiserikali ndani ya mipaka yetu ni nani (Cheo na jina lake)
4. Hatari ni ipi kwa nchi endapo viongozi wote watatu wa juu wa serikali wasipokuwepo ndani ya mipaka ya nchi yetu ?
5. Ni faida zipi taifa ina zipata kwa ziara za viongozi hawa watatu kwa mataifa waliyo zuru?