Rais, Makamu wake na Waziri Mkuu wote wapo nje ya nchi?

Rais, Makamu wake na Waziri Mkuu wote wapo nje ya nchi?

Zitatamatika soon baada ya shughuli iliyowapeleka kumalizika.

Kila mmoja amekwenda kwa tukio muhimu, ila imetokea tuu matukio yamegongana.

Tuna kitu kinachoitwa hierarchy anaanza Rais, VP, Rais wa ZnZ, PM, Spika, JM,
Wale VP wawili wa Zanzibar, katiba ya JMT haiwatambui!. Ikitokea wote sita hawapo, anateuliwa most senior cabinet minister mmoja kukaimu urais.

Hakuna hatari yoyote!. Ulinzi wa nchi ni chini ya CinC, ambayo haikaimishwi, CinC asipokuwepo nchini, ulinzi wa nchi uko chini ya CDF.

Faida ni nyingi!.
P
1. Zitatamatika lini ? Siku gani ?

2. Faida ni nyingi , kama zipi hizo ? Zitaje

3. Kwani utaratibu wa ziara za viongozi wetu upoje ? [ Umesema zimetokea zime gongana ].
 
Mkuu tuna matumizi ya hovyo ya Kodi zetu kwa ziara ambazo hazina kichwa Wala miguu.Nchi yetu bado masikini lakini matumizi ya viongozi wetu Ni makubwa ukilinganisha na matatizo yetu
Tuna tatizo kubwa sana katika taifa lenye kuhitaji utatuzi.
 
Habari za sasa wanajamii , natumai ni nzuri.

Nilikuwa na maswali kadhaa kuhusu ziara za viongozi wetu wakuu wa nchi wa tatu (Rais, Makamu wa Rais, na Waziri mkuu)

1. Je ziara za viongozi wetu hawa kwa mataifa waliyo enda kuzuru zitatamatika lini kwa kila mmoja?

2. Kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wote wakuu wa tatu wa nchi kwenda nje ya mipaka ya nchi yetu kwa wakati mmoja?

3. Kwa sasa kiongozi wa juu wa kiserikali ndani ya mipaka yetu ni nani (Cheo na jina lake)

4. Hatari ni ipi kwa nchi endapo viongozi wote watatu wa juu wa serikali wasipokuwepo ndani ya mipaka ya nchi yetu ?

5. Ni faida zipi taifa ina zipata kwa ziara za viongozi hawa watatu kwa mataifa waliyo zuru?
Mfumo wa kitaasisi ndio unaendesha nchi sio watu,wakiwa nje ni maelezo tu
 
Habari za sasa wanajamii , natumai ni nzuri.

Nilikuwa na maswali kadhaa kuhusu ziara za viongozi wetu wakuu wa nchi wa tatu (Rais, Makamu wa Rais, na Waziri mkuu)

1. Je ziara za viongozi wetu hawa kwa mataifa waliyo enda kuzuru zitatamatika lini kwa kila mmoja?

2. Kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wote wakuu wa tatu wa nchi kwenda nje ya mipaka ya nchi yetu kwa wakati mmoja?

3. Kwa sasa kiongozi wa juu wa kiserikali ndani ya mipaka yetu ni nani (Cheo na jina lake)

4. Hatari ni ipi kwa nchi endapo viongozi wote watatu wa juu wa serikali wasipokuwepo ndani ya mipaka ya nchi yetu ?

5. Ni faida zipi taifa ina zipata kwa ziara za viongozi hawa watatu kwa mataifa waliyo zuru?
Ukijibiwa hoja hizi kwa masirahi ya nchi naomba unitag mkuu
 
Tukio hilo linafanyiwa spinning VIZURI kwa kuwaua vibaka au panyaroad!!

Hiyo inatosha kabisa kuonyesha the wheel is in motion kama kawa!

Halafu NAMBA moja anakwepa lawama za operation panyaroad Ndio Maana kwenda kula Bata!!wameachiwa washika chuma wafanye operation kali wakati boss was hayupo ILI anawe mikono kutohusika japo kahusika!

Pia kuna hii ya nccr mageuzi pia ni operation yenye malengo maalumu,kakwepa joto la mahakama kudharaulika na polisi kujichukulia SHERIA mkononi ya kuwaua panyaroad!!!

Mitazamo huru!
 
Nchi ipo chini ya viwavi jeshi waache waitafune na kuisukutua wanavyotaka
 
Habari za sasa wanajamii , natumai ni nzuri.

Nilikuwa na maswali kadhaa kuhusu ziara za viongozi wetu wakuu wa nchi wa tatu (Rais, Makamu wa Rais, na Waziri mkuu)

1. Je ziara za viongozi wetu hawa kwa mataifa waliyo enda kuzuru zitatamatika lini kwa kila mmoja?

2. Kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wote wakuu wa tatu wa nchi kwenda nje ya mipaka ya nchi yetu kwa wakati mmoja?

3. Kwa sasa kiongozi wa juu wa kiserikali ndani ya mipaka yetu ni nani (Cheo na jina lake)

4. Hatari ni ipi kwa nchi endapo viongozi wote watatu wa juu wa serikali wasipokuwepo ndani ya mipaka ya nchi yetu ?

5. Ni faida zipi taifa ina zipata kwa ziara za viongozi hawa watatu kwa mataifa waliyo zuru?
Babako ndio ameachiwa ofisi, unafahamu jina lake?
 
Mzazi unayeshinda kwenye sebule za jirani zako kwa kuwa wameziweka vizuri, huna maana.
Si utengeneze kwako nao wawe wanakuja ?
 
Habari za sasa wanajamii , natumai ni nzuri.

Nilikuwa na maswali kadhaa kuhusu ziara za viongozi wetu wakuu wa nchi wa tatu (Rais, Makamu wa Rais, na Waziri mkuu)

1. Je ziara za viongozi wetu hawa kwa mataifa waliyo enda kuzuru zitatamatika lini kwa kila mmoja?

2. Kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wote wakuu wa tatu wa nchi kwenda nje ya mipaka ya nchi yetu kwa wakati mmoja?

3. Kwa sasa kiongozi wa juu wa kiserikali ndani ya mipaka yetu ni nani (Cheo na jina lake)

4. Hatari ni ipi kwa nchi endapo viongozi wote watatu wa juu wa serikali wasipokuwepo ndani ya mipaka ya nchi yetu ?

5. Ni faida zipi taifa ina zipata kwa ziara za viongozi hawa watatu kwa mataifa waliyo zuru?
nchi itakua chini ya spika
 
Back
Top Bottom