Ushaanza zengwe 😄kwa maslahi mapana ya familia hii pana na muhimu sana ya JF, nadhani angebaki humu humu kwenye platform hii ili hatimae aendelee kuibua hisia zenu vizuri zaid kama ambavyo point yako ya pili inavyosema. Akiondoka nani atachochea hisia tena humu jukwaani?
au mbadala wake atakua nani kwa mfanao, na itapendeza zaidi
Mbadala ni wewe na Lucas, mnatububujisha machozi ya furahakwa maslahi mapana ya familia hii pana na muhimu sana ya JF, nadhani angebaki humu humu kwenye platform hii ili hatimae aendelee kuibua hisia zenu vizuri zaid kama ambavyo point yako ya pili inavyosema. Akiondoka nani atachochea hisia tena humu jukwaani?
au mbadala wake atakua nani kwa mfanao, na itapendeza zaidi
Same Guy looking for promotion.Joined september 10,2024
UMETUMWA?? au ndiye mwenyewe kwa ID nyingine???Rais, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pole na Kazi nzito ya kuliongoza Taifa letu pendwa hili la Tanzania. Mambo ni mengi sana ya kuendelea kusemezana na wewe kupitia jukwaa letu pendwa la Jamiiforums, muda ni
Why?ni kheri mala mia aajiriwe LUCAS MWASHAMBWA kuliko hii jamaa.
Swali la nyongeza huyo Robert unayempigia chapuo amezindikwaa usije ukamponza mtoto wa watu.
Watibeli wanaamini Mungu tu, hawaamini ushirikina yakiwemo hayo mazindiko. Robert Heriel Mtibeli
Niliahidi sitochangia chochote kabla Robert Heriel Mtibeli hajafika, ila sasa nimemwona hapo juu na bado sisemi kitu.
Kuhani wa Hekalu Jeusi, hivi huwa unakasirika'ga' kiasi cha kutaka kurusha ngumi? Unapenda ubabe?Nimepewa promo Mkuu.
NI Jambo la kumshukuru Sana Mungu
Dunia inaona kila hatua zako, wapo wanaosema na wengine hatusemi lolote..... kwa wivu ama chuki au bila sababu.Nimepewa promo Mkuu.
NI Jambo la kumshukuru Sana Mungu
Yupo Mwanza kwenye mwenge wameitwa UWT woteMbona kama mwandiko wa Lucas mwashambwa
the way anavyompamba rais samia,the way anavyo record,na kufuatilia matukio ya mh. rais samia na tunavyojua urais ni taasisi nyeti na haitakiwi kusemewa vibaya hata kama inafanya vibaya namna gani,luka yeye kiukweli anastahili cheo hiki.Why?