Cha kujifunza ni kuwa ama ana papara ama kuna 'kundi' lenye nguvu lililomuweka hapo na linataka afanye linavyotaka bila yeye kufikiria madhara yatakayompata na wananchi kwa ujumla. Kama na mihemuko aache...na kutulizana kwanza asubiri kimbunga kipite.
Wasio na akili ni pamoja na wewe unayetaka tujifunze mambo ya nchi nyingine wakati sisi ni sisi.
Alichofanya ni sahihi kabisa. Hilo ni somo kuwa usiwaonee wengine kutokana na madaraka yako. Kwa kuwa siku moja yanaweza kuondoka kutoka kwako. Na wengine wakatumia hayo madaraka vibaya kukulipa ubaya uliowafanyia wengine. Kama ulitenda vyema huna cha kuhofia siku ukiwa huna hayo madaraka.Cha kujifunza hapa ni kwamba viongozi wetu wa kiafrica wamejaa chuki na visasi... Angepeleka muswada bungeni iwe sheria kwa rais yeyote atakàeingia madarakani siyo kumtarget mpinzan wako tu
KIFUNGU cha 91 cha katiba ya malawi ndicho kinazuia raisi kushitakiwa humu ujue unaongea na watu wenye akili zao sio wajinga wajingaMkuu sheria siyo katiba na pia usikariri kuwa katiba za nchi zote zipo Kama hii ya kwenu msio na akili pia Lakini pia naomba nikukumbushe kwa Tanzania rais ni sehemu ya bunge
Naona unaparamia mambo yalikuzidi uwezo wa kichwa chako hiyo ya raisi kutoshitakiwa iko kwenye katiba ya malawi kifungu namba 91 CHA KATIBA ya malawiNdicho alichofanya Chakwera......
Yeye kaondoa sheria inayosema Rais anayeondoka madarakani ana "impunity" ya kutoshtakiwa popote katika mahakama za nchi hiyo
Angalau inamfanya Rais ajione ni mtumishi wa Umma, ambaye anatakiwa atekeleze majukumu yake kwa mujibu wa Katiba ya nchi
Sawa though kwenye hicho kifungu ulichoweka sijaona neno malawi,so yawezekana umequote JMT constitution tu but any way,wakati wa kesi ya uchaguzi yeye na Jane Ansha walileta lawyers kutoka SA.Akishitakiwa kwa Gate cash scandal nashauri uitwe wewe.KIFUNGU cha 91 cha katiba ya malawi ndicho kinazuia raisi kushitakiwa humu ujue unaongea na watu wenye akili zao sio wajinga wajinga
Kifungu hicho hapo cha katiba yao ambacho huyo raisi mpya WA MALAWI anataka kujaribu kukivunja hana ubavu huo anataka kuchezea katiba kifungu hicho hapo
91. Immunity
1. No person holding the office of President or performing the functions of
President may be sued in any civil proceedings but the office of President shall
not be immune to orders of the courts concerning rights and duties under this
Constitution.
2. No person holding the office of President shall be charged with any criminal
offence in any court during his term of office.
3. After a person has vacated the office of President, he or she shall not be
personally liable for acts done in an official capacity during his or her term of
office but shall not otherwise be immune.
hata wewe ku google tu uandike malawi constutions ili uhakiki kunakushinda aiseee mbona unatia huruma.Sawa though kwenye hicho kifungu ulichoweka sijaona neno malawi,so yawezekana umequote JMT constitution tu
Wao wanadhani watatawala milele?Ndugu haya mazumbukuku hawawez kukuelewa
Hujabalance stori yako. Ni kweli amemuondolea kinga Rais aliyepita, lakini ajabu kajiwekea yeye hiyo kinga kisa yuko madarakani. Na ajaye baada yake anamsubiria! Ahahahahahah!Tumepokea taarifa kutoka Malawi, kuwa kiongozi mpya aliyechaguliwa kwa kura nyingi katika kura za marejeo, Lazarus Chakwera, katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki, ndani ya saa 24, tokea aapishwe, ameondoa kinga ya kutoshtakiwa, aliyokuwa amejiwekea, kiongozi anayeondoka madarakani, Peter Mutharika.
Tunajifunza nini kwa hatua hiyo iliyochukuliwa na kiongozi huyo mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera?
Kama Taifa tunachopaswa kujifunza, ni kuona uongozi ni kama dhamana ambayo tumepewa na wananchi, ambapo tunapaswa tujinyenyekeze kwa wananchi wote na tuwatumikie kwa usawa, hao wananchi waliotupa dhamana hiyo tuliyo nayo na tunapaswa tutekeleze majukumu yetu, kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu, bila kuwaonea raia kwa kutumia vyombo vya dola, ambavyo tunaamini kuwa sisi ndiyo tunaovimiliki.
Viongozi wetu pia wanapaswa waache mara moja tabia wanayoiendekeza ya kila kukicha, kupeleka Bungeni miswada mipya ya sheria za ukandamizaji na kujiwekea kinga ya kutoshtakiwa, kama vile wao ndiyo watakaodumu milele madarakani!
Wanapaswa pia kufikiri upya, kama hatua yao ya kupeleka muswada kwa hati ya dharura, kwa viongozi kama vile kuwawekea kinga ya kutoshtakiwa, Spika wa Bunge, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu, kama uamuzi huo ulikuwa wa busara.
Ni lazima tujue kuwa ukandamizaji unaozidi kupita kiasi hapa nchini, hautadumu milele, kwa hiyo ni vyema viongozi wetu wakatekeleza majukumu yao kwa haki na kwa mujibu wa Katiba ya nchi, kwani ndiyo kinga pekee ya kudumu, itakayowaacha salama, hata watakapotoka madarakani.
Sisi tulikuwa tunayataka mambo kama haya upinzani ila tumeyapata tayar haina haja ya upinzani tenaIkiwa ni chini ya saa 24 tangu kuapishwa kwake, Rais mpya wa Malawi, Dkt. Lazarus Chakwera amemuondolea kinga ya kutoshtakiwa aliyekuwa Rais wa taifa hilo, Peter Mutharika ili aweze kushtakiwa.
Vilevile, ili kuhakikisha kuwa mizizi ya utawala katili uliojawa na rushwa uliopita inang’olewa na kuondoka kabisa serikalini, Rais Chakwera amemtimua kazi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini huko Duncan Mwapasa na kumteua Inspekta Jenerali Dkt. George Kainja kuchukua nafasi hiyo.
Rais Peter Mutharika hakupata muda wa kufuta baraza lake la mawaziri ingawa alitakiwa kufanya hivyo siku chache kabla ya uchaguzi kama ambavyo katiba ya Malawi inamtaka kufanya. Mawaziri waliokuwa katika baraza lake wametakiwa kurudisha mali zote za serikali wanazozishikilia ikiwamo magari waliyopewa na serikali kufikia siku ya kesho kabla ya saa tano asubuhi.
Wakati huohuo, kutakuwapo na mabadiliko makubwa katika Mamlaka ya Mapato ya Malawi yanayotarajiwa kufanywa na Makamu wa Rais Dkt. Chilima ikiwa ni juhudi za kukabiliana na rushwa katika ofisi kubwa za serikali.
**** Watawala wetu wana la kujifunza****
Former president Peter Mutharika has been stripped of his immunity from prosecution and that he can now face charges, a law expert has said.
University of Malawi’s Chancellor College dean of law Sunduzwayo Madise said following legal ritual of new leader Lazarus Chakwera being sworn in as President of Malawi after winning an election rerun, the immunity has been inherited by Chakwera while Mutharika has lost it.
“And just like that by operation of the law the immunity that the former president had against prosecution and suits is gone,” Madise wrote on his Facebook wall.
Saulos Chilima, the vice-president, during Mutharika regime and remains in that position as Chakwera’s deputy, accused Mutharika of high-level graft.
Mutharika’s Democratic Progressive Party (DPP) officials were involved in numerous graft scandals including former minister Ben Phiri and Chief Secretary to government Lloyd Muhara.
With law degrees from the University of London and Yale, Mutharika left Malawi in the 1960s to settle in the United States.
He returned to the country in 1993 to help draft its first democratic constitution after the fall of Hastings Banda’s dictatorship.
Mutharika went back to the US but returned home in 2004 when his brother came to power, serving as his informal advisor.
A widower for 30 years, Mutharika has three children. In 2014 he married his second wife Gertrude Maseko, a former member of parliament.
Mutharika has been defeated by Chakwera who secured the required majority, with 58.57% of the vote, the electoral commission said.
Ameondoa ya Rais kutoshitakiwaHivi ameondoa kinga ya APM kutokushitakiwa au ameondoa ya rais kutokushitakiwa?
Hivi nyinyi maccm ndiyo mnaitumia vibaya hiyo kinga ya kutoshitakiwa kwa kufanya maonezi ya wazi kwa wananchi wenu?YEHODAYA said:Mimi nilichojifunza ni kuwa huyu raisi mpaya kaanza kazi kwa kuvunja katiba ya malawi kifungu namba 91 hafai kuigwa.Kifungu alichovunja cha katiba hicho hapo
91. Immunity
1. No person holding the office of President or performing the functions of
President may be sued in any civil proceedings but the office of President shall
not be immune to orders of the courts concerning rights and duties under this
Constitution.
2. No person holding the office of President shall be charged with any criminal
offence in any court during his term of office.
3. After a person has vacated the office of President, he or she shall not be
personally liable for acts done in an official capacity during his or her term of
office but shall not otherwise be immune.