Rais Mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera amuondolea Kinga ya kutoshtakiwa Rais wa zamani, Peter Mutharika

Rais Mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera amuondolea Kinga ya kutoshtakiwa Rais wa zamani, Peter Mutharika

Cha kujifunza ni kuwa ama ana papara ama kuna 'kundi' lenye nguvu lililomuweka hapo na linataka afanye linavyotaka bila yeye kufikiria madhara yatakayompata na wananchi kwa ujumla. Kama na mihemuko aache...na kutulizana kwanza asubiri kimbunga kipite.

Asubiri ili iweje labda, huyo muhuni atupwe ndani haraka ili somo liwakute mabaradhuli wote.
 
Wasio na akili ni pamoja na wewe unayetaka tujifunze mambo ya nchi nyingine wakati sisi ni sisi.

Sisi tuna tofauti gani na Malawi? Ngoja tu siku kibao kigeuke, hutaamini macho yako. Unadhani watu wanafurahi sana kuumizwa na kudhalilishwa kwa sababu za itikadi? Ikifika huko mtatema hirizi lazima.
 
Ukiwa unafuata katiba iliyokuapisha huna sababu kuogopa
 
Waafrika tuna matatizo lukuki na mambo mengi ya msingi tunayotakiwa kufanya. Hii michezo haina maana ya kujifanya tunalilia demokrasia wakati kiuhalisia hatuamini katika demokrasia.
 
Cha kujifunza hapa ni kwamba viongozi wetu wa kiafrica wamejaa chuki na visasi... Angepeleka muswada bungeni iwe sheria kwa rais yeyote atakàeingia madarakani siyo kumtarget mpinzan wako tu
Alichofanya ni sahihi kabisa. Hilo ni somo kuwa usiwaonee wengine kutokana na madaraka yako. Kwa kuwa siku moja yanaweza kuondoka kutoka kwako. Na wengine wakatumia hayo madaraka vibaya kukulipa ubaya uliowafanyia wengine. Kama ulitenda vyema huna cha kuhofia siku ukiwa huna hayo madaraka.
 
Mkuu sheria siyo katiba na pia usikariri kuwa katiba za nchi zote zipo Kama hii ya kwenu msio na akili pia Lakini pia naomba nikukumbushe kwa Tanzania rais ni sehemu ya bunge
KIFUNGU cha 91 cha katiba ya malawi ndicho kinazuia raisi kushitakiwa humu ujue unaongea na watu wenye akili zao sio wajinga wajinga

Kifungu hicho hapo cha katiba yao ambacho huyo raisi mpya WA MALAWI anataka kujaribu kukivunja hana ubavu huo anataka kuchezea katiba kifungu hicho hapo

91. Immunity
1. No person holding the office of President or performing the functions of
President may be sued in any civil proceedings but the office of President shall
not be immune to orders of the courts concerning rights and duties under this
Constitution.
2. No person holding the office of President shall be charged with any criminal
offence in any court during his term of office.
3. After a person has vacated the office of President, he or she shall not be
personally liable for acts done in an official capacity during his or her term of
office but shall not otherwise be immune.
 
Ndicho alichofanya Chakwera......

Yeye kaondoa sheria inayosema Rais anayeondoka madarakani ana "impunity" ya kutoshtakiwa popote katika mahakama za nchi hiyo

Angalau inamfanya Rais ajione ni mtumishi wa Umma, ambaye anatakiwa atekeleze majukumu yake kwa mujibu wa Katiba ya nchi
Naona unaparamia mambo yalikuzidi uwezo wa kichwa chako hiyo ya raisi kutoshitakiwa iko kwenye katiba ya malawi kifungu namba 91 CHA KATIBA ya malawi

raisi mpya kaapa kulinda katiba maana yake hatakiwi avunje katiba aliyoapa kuilinda

kifungu cha katiba ya malawi hicho hapo ambacho raisi mpya wa Malawi anataka kuvunja katiba

91. Immunity
1. No person holding the office of President or performing the functions of
President may be sued in any civil proceedings but the office of President shall
not be immune to orders of the courts concerning rights and duties under this
Constitution.
2. No person holding the office of President shall be charged with any criminal
offence in any court during his term of office.
3. After a person has vacated the office of President, he or she shall not be
personally liable for acts done in an official capacity during his or her term of
office but shall not otherwise be immune.
 
KIFUNGU cha 91 cha katiba ya malawi ndicho kinazuia raisi kushitakiwa humu ujue unaongea na watu wenye akili zao sio wajinga wajinga

Kifungu hicho hapo cha katiba yao ambacho huyo raisi mpya WA MALAWI anataka kujaribu kukivunja hana ubavu huo anataka kuchezea katiba kifungu hicho hapo

91. Immunity
1. No person holding the office of President or performing the functions of
President may be sued in any civil proceedings but the office of President shall
not be immune to orders of the courts concerning rights and duties under this
Constitution.
2. No person holding the office of President shall be charged with any criminal
offence in any court during his term of office.
3. After a person has vacated the office of President, he or she shall not be
personally liable for acts done in an official capacity during his or her term of
office but shall not otherwise be immune.
Sawa though kwenye hicho kifungu ulichoweka sijaona neno malawi,so yawezekana umequote JMT constitution tu but any way,wakati wa kesi ya uchaguzi yeye na Jane Ansha walileta lawyers kutoka SA.Akishitakiwa kwa Gate cash scandal nashauri uitwe wewe.
 
Sawa though kwenye hicho kifungu ulichoweka sijaona neno malawi,so yawezekana umequote JMT constitution tu
hata wewe ku google tu uandike malawi constutions ili uhakiki kunakushinda aiseee mbona unatia huruma.
 
Mzee wetu wa chama cha mgomba ajipange...amuandae Rais ajae kama alivyofanya Nkurunziza,bila hivyo analo tena kubwa sana
 
Ndugu haya mazumbukuku hawawez kukuelewa
Wao wanadhani watatawala milele?

Lazima itokee siku ambayo ni lazima watatoka madarakani..........

Ndipo hapo sheria zote zilizotungwa kwa ajili ya kujiwekea kinga ili wasishtakiwe, zitakapoondolewa mara moja
 
Tumepokea taarifa kutoka Malawi, kuwa kiongozi mpya aliyechaguliwa kwa kura nyingi katika kura za marejeo, Lazarus Chakwera, katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki, ndani ya saa 24, tokea aapishwe, ameondoa kinga ya kutoshtakiwa, aliyokuwa amejiwekea, kiongozi anayeondoka madarakani, Peter Mutharika.

Tunajifunza nini kwa hatua hiyo iliyochukuliwa na kiongozi huyo mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera?

Kama Taifa tunachopaswa kujifunza, ni kuona uongozi ni kama dhamana ambayo tumepewa na wananchi, ambapo tunapaswa tujinyenyekeze kwa wananchi wote na tuwatumikie kwa usawa, hao wananchi waliotupa dhamana hiyo tuliyo nayo na tunapaswa tutekeleze majukumu yetu, kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu, bila kuwaonea raia kwa kutumia vyombo vya dola, ambavyo tunaamini kuwa sisi ndiyo tunaovimiliki.

Viongozi wetu pia wanapaswa waache mara moja tabia wanayoiendekeza ya kila kukicha, kupeleka Bungeni miswada mipya ya sheria za ukandamizaji na kujiwekea kinga ya kutoshtakiwa, kama vile wao ndiyo watakaodumu milele madarakani!

Wanapaswa pia kufikiri upya, kama hatua yao ya kupeleka muswada kwa hati ya dharura, kwa viongozi kama vile kuwawekea kinga ya kutoshtakiwa, Spika wa Bunge, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu, kama uamuzi huo ulikuwa wa busara.

Ni lazima tujue kuwa ukandamizaji unaozidi kupita kiasi hapa nchini, hautadumu milele, kwa hiyo ni vyema viongozi wetu wakatekeleza majukumu yao kwa haki na kwa mujibu wa Katiba ya nchi, kwani ndiyo kinga pekee ya kudumu, itakayowaacha salama, hata watakapotoka madarakani.
Hujabalance stori yako. Ni kweli amemuondolea kinga Rais aliyepita, lakini ajabu kajiwekea yeye hiyo kinga kisa yuko madarakani. Na ajaye baada yake anamsubiria! Ahahahahahah!
 
Ikiwa ni chini ya saa 24 tangu kuapishwa kwake, Rais mpya wa Malawi, Dkt. Lazarus Chakwera amemuondolea kinga ya kutoshtakiwa aliyekuwa Rais wa taifa hilo, Peter Mutharika ili aweze kushtakiwa.

Vilevile, ili kuhakikisha kuwa mizizi ya utawala katili uliojawa na rushwa uliopita inang’olewa na kuondoka kabisa serikalini, Rais Chakwera amemtimua kazi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini huko Duncan Mwapasa na kumteua Inspekta Jenerali Dkt. George Kainja kuchukua nafasi hiyo.

Rais Peter Mutharika hakupata muda wa kufuta baraza lake la mawaziri ingawa alitakiwa kufanya hivyo siku chache kabla ya uchaguzi kama ambavyo katiba ya Malawi inamtaka kufanya. Mawaziri waliokuwa katika baraza lake wametakiwa kurudisha mali zote za serikali wanazozishikilia ikiwamo magari waliyopewa na serikali kufikia siku ya kesho kabla ya saa tano asubuhi.

Wakati huohuo, kutakuwapo na mabadiliko makubwa katika Mamlaka ya Mapato ya Malawi yanayotarajiwa kufanywa na Makamu wa Rais Dkt. Chilima ikiwa ni juhudi za kukabiliana na rushwa katika ofisi kubwa za serikali.

**** Watawala wetu wana la kujifunza****

Former president Peter Mutharika has been stripped of his immunity from prosecution and that he can now face charges, a law expert has said.

University of Malawi’s Chancellor College dean of law Sunduzwayo Madise said following legal ritual of new leader Lazarus Chakwera being sworn in as President of Malawi after winning an election rerun, the immunity has been inherited by Chakwera while Mutharika has lost it.

“And just like that by operation of the law the immunity that the former president had against prosecution and suits is gone,” Madise wrote on his Facebook wall.

Saulos Chilima, the vice-president, during Mutharika regime and remains in that position as Chakwera’s deputy, accused Mutharika of high-level graft.

Mutharika’s Democratic Progressive Party (DPP) officials were involved in numerous graft scandals including former minister Ben Phiri and Chief Secretary to government Lloyd Muhara.

With law degrees from the University of London and Yale, Mutharika left Malawi in the 1960s to settle in the United States.

He returned to the country in 1993 to help draft its first democratic constitution after the fall of Hastings Banda’s dictatorship.

Mutharika went back to the US but returned home in 2004 when his brother came to power, serving as his informal advisor.

A widower for 30 years, Mutharika has three children. In 2014 he married his second wife Gertrude Maseko, a former member of parliament.

Mutharika has been defeated by Chakwera who secured the required majority, with 58.57% of the vote, the electoral commission said.
Sisi tulikuwa tunayataka mambo kama haya upinzani ila tumeyapata tayar haina haja ya upinzani tena
 
Mimi nilichojifunza ni kuwa huyu raisi mpaya kaanza kazi kwa kuvunja katiba ya malawi kifungu namba 91 hafai kuigwa.Kifungu alichovunja cha katiba hicho hapo

91. Immunity
1. No person holding the office of President or performing the functions of
President may be sued in any civil proceedings but the office of President shall
not be immune to orders of the courts concerning rights and duties under this
Constitution.
2. No person holding the office of President shall be charged with any criminal
offence in any court during his term of office.
3. After a person has vacated the office of President, he or she shall not be
personally liable for acts done in an official capacity during his or her term of
office but shall not otherwise be immune.
 
Huyo Prof. Peter Mutharika arudi Tanzania maana alishawahi kuishi na kufundisha chuo kikuu cha UDSM jijini Dar es Salaam, Tanzania kufuatana na wasifu wake uliopo ktk intaneti:

Prof. Peter Mutharika -" Tanzania Oyee"

Early career
Mutharika received his law degree from the University of London in 1965. He then received his LL.M and JSD degrees from Yale University in 1966 and 1969 respectively.

As a professor, he has taught at University of Dar es Salaam (Tanzania), Haile Selassie University (Ethiopia), Rutgers University (USA), the United Nations Institute for Training and Research Program for Foreign Service Officers from Africa and Asia at Makerere University (Uganda), and for 39 years at Washington University (USA), and has served as an Academic Visitor at the London School of Economics (UK).

He also served as advisor to the American Bar Association's Rule of Law initiative for Africa. He was also the chair of the Institute for Democracy and Policy Studies in Malawi.

US citizenship controversy
Peter Mutharika's candidacy for position as a government minister and his eligibility for presidency had been controversial because of speculation and doubt over his Malawian citizenship.

A senior Political and Administrative lecturer at the University of Malawi, Mustapha Hussein has stated that his "eligibility should be viewed in the context of his being Malawian, he would be above 35 years of age by 2014, and he has not been convicted of any criminal activities for the past seven-year.".

Malawi's laws however, do not allow dual citizenship and it is widely speculated that he obtained US citizenship whilst living in the US and hence, had renounced his Malawian citizenship as is required by law.

Nonetheless, the US embassy in Lilongwe confirmed that he is not a citizen but a Green card holder. The ruling DPP has stated that Mutharika is a Malawian citizen and would run for president as a Malawian citizen and not an American one. There was controversy that, as the holder of a US Greencard, he owes an allegiance to the United States. Therefore, people on the street are of the view that a nation cannot be run by someone who will be spending the minimum of three months in the US annually required to retain permanent resident status. In February 2014, he relinquished his green card and permanent resident status.

Read More : Peter Mutharika: President of Malawi (born: 1940)
 
YEHODAYA said:
Mimi nilichojifunza ni kuwa huyu raisi mpaya kaanza kazi kwa kuvunja katiba ya malawi kifungu namba 91 hafai kuigwa.Kifungu alichovunja cha katiba hicho hapo

91. Immunity
1. No person holding the office of President or performing the functions of
President may be sued in any civil proceedings but the office of President shall
not be immune to orders of the courts concerning rights and duties under this
Constitution.
2. No person holding the office of President shall be charged with any criminal
offence in any court during his term of office.
3. After a person has vacated the office of President, he or she shall not be
personally liable for acts done in an official capacity during his or her term of
office but shall not otherwise be immune.
Hivi nyinyi maccm ndiyo mnaitumia vibaya hiyo kinga ya kutoshitakiwa kwa kufanya maonezi ya wazi kwa wananchi wenu?

Lazima ujue kuwa unapopewa uongozi wa nchi, ni dhamana ambayo tumekupa ili utekekeze majukumu yako kwa misingi ya haki na unyenyekevu kwa wananchi wako na kutovunja sheria za nchi........

Lakini huyu Jiwe amejisahau kabisa na anaendelea kuisigina Katiba ya nchi waziwazi kabisa, akijidai kuwa yeye ndiye anayelimiliki Jeshi la Polisi

Hakika kwa yale yaliyotokea Malawi, Jiwe akae mguuu sawa, kwa kuwa hata yeye hilo linaweza mtokea, wakati wowote kuanzia sasa
 
Back
Top Bottom