Yaap, hata Mzee baba yule mweusi hataweza kuachana naeKumbe mzee alichomoka na walinzi wake wale wale tokea akiwa madarakani?
Pole kwa mbunge na wanakigamboni kwa ujumla kwa msiba unaomhusu muwakilishi wao.
Siasa ikae pembeni kidogo mambo mengine yaendelee. Kuna watu watachukia kwanini kaenda kwenye huu msiba.
Yaap, hata Mzee baba yule mweusi hataweza kuachana nae
Poleni na msiba, je huyu mmama mwenye gauni jeusi lenye vidoti vyeupe ni nani kapendeza sana.
Umekuja kumcheka au😱Mie sitaki uraibu wa mitandao Kama drone camera😀😀..kifupi Bashite ndo.alinifanya nirudi😀😀.napotea Tena soon
Ni Mjukuu wa Mkurugenzi wa kwanza wa Usalama ambaye jina lake ni hospitali ya kule ndani MakumbushoYule anae tokea enzi za push up!
Ni Mjukuu wa Mkurugenzi wa kwanza wa Usalama ambaye jina lake ni hospitali ya kule ndani Makumbusho
😀😀😀Sijamcheka..nimehuzunika naye pamoja...kwan we unaogopa rona mkuu? Lols..Umekuja kumcheka au😱
Nami napotea soon maana upepo wa koona ushaisha.😅
Kwakweli ilizizimaPole kwa msiba ushindi wa ndugulile kigamboni ulifanya nchi itetemeke hivi
Sometimes furaha na huzuni huja pamojaRais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete alipowasili eneo la msiba nyumbani kwa marehemu mzee Gabriel Ndugulile Ferry Kigamboni Jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia kwa msiba huo.
Wamepata wasaa wa kuteta kuhusu jimbo na kura za maoniRais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete alipowasili eneo la msiba nyumbani kwa marehemu mzee Gabriel Ndugulile Ferry Kigamboni Jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia kwa msiba huo.
Member familySorry
Nauliza tu, hivi huyu mzee Aliyefariki alikuwa na cheo gani serikalini
Inawezekana wengi wasilielewe swali lako.Muulize kuwa mkewe kakosa nini Hadi anahangaika na siasa?
Siiogopi.Naogopa nikiipata nikasambazia watu upendo.😀😀😀Sijamcheka..nimehuzunika naye pamoja...kwan we unaogopa rona mkuu? Lols..
DC wa Kigambonj huyo.Huyo mama kulia ni mke wa Ndugulile? Umbo lake zuri, Ohho nilitaka kusahau poleni wafiwa
Haya bossSiiogopi.Naogopa nikiipata nikasambazia watu upendo.Sio Tz lakn.
Maneno yako haya yananipa fikra chonganishi.Hapo kuna watu watafura kwa nn JK aende kwenye huo msiba
Poleni wafiwa.
Japo sijaelewa tunachojadili hapa.