Rais mstaafu Jakaya Kikwete amehitimisha mapumziko yake kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti

Rais mstaafu Jakaya Kikwete amehitimisha mapumziko yake kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti

Mzee Kikwete bado ananguvu,yuko fit alafu ana nuru.hana tofauti na mzee Mwinyi maisha marefu yenye baraka na afya nzuri.
namtakia kila la heri Rais wetu mstaafu mzee Kikwete🙏
Siyo kama yule. Muda wote alikuwa amefura kama kifutu. Uso ulijaa giza. Mtu akimuangalia anahisi kufa. Sijui alitokea wapi mtu yule??? Agggrrr! Tusirudie tena!
 
Rais Mstaafu Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha mapumziko yake mafupi ya mwisho wa mwaka kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Dkt Kikwete, ambaye ameongozana na Mkewe Mama Salma Kikwete katika ziara hiyo, pia alipata wasaa wa kupita katika Kituo cha Makumbusho ya Bonde la Olduvai na Hifadhi ya Ngorongoro.
View attachment 2451585View attachment 2451586View attachment 2451587View attachment 2451588View attachment 2451589View attachment 2451592View attachment 2451593
Watafunaji nchi
 
Rais Mstaafu Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha mapumziko yake mafupi ya mwisho wa mwaka kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Dkt Kikwete, ambaye ameongozana na Mkewe Mama Salma Kikwete katika ziara hiyo, pia alipata wasaa wa kupita katika Kituo cha Makumbusho ya Bonde la Olduvai na Hifadhi ya Ngorongoro.
View attachment 2451585View attachment 2451586View attachment 2451587View attachment 2451588View attachment 2451589View attachment 2451592View attachment 2451593
JK kwa Kupiga Pamba huwa yupo vema ila sababu huu ni utalii na ili kuvutia zaidi made in Tanzania hapo angeweza kupiga open shoes ya katambuga au safari buti bila kusahau bucket hat ya khaki au hata kofia ya mkeka (hizo Adidas Nike, Puma n.k. tungeziweka pending kwanza)....
 
iyo ni mada kabisa embu ianzishie uzi wake twende nayo,tupate kujuzana ni Rais wa nchi ipi Duniani aliwai kutawala au kuongoza bila kuumiza watu.
Wapo kwenye Nchi za wenzetu lakini kwenye nchi zinazoitwa dunia ya tatu walioumizwa ni wengi tu !! Ndio maana unapompamba mstaafu yeyote uweke na akiba ya maneno maana wapo wengi tu wanaendelea kuuguza majeraha yao !! Karma. !!
 
Wapo kwenye Nchi za wenzetu lakini kwenye nchi zinazoitwa dunia ya tatu walioumizwa ni wengi tu !! Ndio maana unapompamba mstaafu yeyote uweke na akiba ya maneno maana wapo wengi tu wanaendelea kuuguza majeraha yao !! Karma. !!
umeshindwa kutaja nchi au viongozi ambao kwenye utawala wao awajaumiza mtu au watu?,taja basi?
 
Back
Top Bottom