Rais mstaafu Jakaya Kikwete amehitimisha mapumziko yake kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti

Rais mstaafu Jakaya Kikwete amehitimisha mapumziko yake kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti

CODED: Yupo Mapumzikoni

KNOWN: Mstaafu

REALITY:-
Mstaafu jina. Lakini yupo mzigoni kama kawa ndo backbone ya mfulani ndo maana mambo mengi ya ajabu ajabu yanaendelea chini ya vijana wake aliowapenyeza huko.

Mstaafu (ambaye kagoma kustaafu) yupo mapumzikoni na ameyahitimishia mbugani.

Nashukuru kwa taarifa
Wivu na uzushi wa namna hii mkikuta mmeletewa posa nyumbani kwa ajili ya kuolewa msilalamike.
 
Rais Mstaafu Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha mapumziko yake mafupi ya mwisho wa mwaka kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Dkt Kikwete, ambaye ameongozana na Mkewe Mama Salma Kikwete katika ziara hiyo, pia alipata wasaa wa kupita katika Kituo cha Makumbusho ya Bonde la Olduvai na Hifadhi ya Ngorongoro.
View attachment 2451585View attachment 2451586View attachment 2451587View attachment 2451588View attachment 2451589View attachment 2451592View attachment 2451593
Inapendeza Sana..💘💘
 
Malipo ni hapa hapa kama ni kweli !! Lakini kama si kweli ndio imeisha hiyo !! Na uzee nao ndio umeshaingia !! Kila kiungo kinakuwa hoi !!
Mtabaki mnamuombea mabaya milele na ndo kwanza yanaweza kuanza kuwakuta nyie......tangu muanze kumsema na kumuombea mabaya, kwa sababu mlizozibuni kutokana na wivu na chuki zenu kwa huyo jamaa, mmeshapatwa na mangapi mabaya huku yeye akiwa salama tu? Na bado, endeleeni tu.
 
Jamaa wakati wake alitujali Sana aiseh!

Alijua kula na kipofu!

Alifanya yake lakini akahakikisha KILA MWAKA anatupa chetu!!

Sasa huyu aliepo anatangaza kuwania 2025 HUKU anatudanganya na huyo madeluu!halfu mfumuko wa bei Hadi unajiuliza anajipanga na urais KWELI!!?au anaachia njiani !Mi sioni dalili za mtu anaetaka madaraka bali anaeaga kabisaaaa!!
 
Rais Mstaafu Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha mapumziko yake mafupi ya mwisho wa mwaka kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Dkt Kikwete, ambaye ameongozana na Mkewe Mama Salma Kikwete katika ziara hiyo, pia alipata wasaa wa kupita katika Kituo cha Makumbusho ya Bonde la Olduvai na Hifadhi ya Ngorongoro.
View attachment 2451585View attachment 2451586View attachment 2451587View attachment 2451588View attachment 2451589View attachment 2451592View attachment 2451593
Yaan anazidi kuwa barobaro
Achana na pesa aiseh
Mungu azidi kumlinda na kumpa afya njema mtu wa watu J
Mzee Kikwete bado ananguvu,yuko fit alafu ana nuru.hana tofauti na mzee Mwinyi maisha marefu yenye baraka na afya nzuri.
namtakia kila la heri Rais wetu mstaafu mzee Kikwete🙏
Huyu ni mtu mchafu asiyestahili hata kushabikiwa, lakini naona umati wa watu wabovu wakishangilia hata raba za mguuni. Alifanya nini taifa hili? Nini tumkumbuke leo hii?
 
Huyu ni mtu mchafu asiyestahili hata kushabikiwa, lakini naona umati wa watu wabovu wakishangilia hata raba za mguuni. Alifanya nini taifa hili? Nini tumkumbuke leo hii?
Mkuu ipo hivi HAKUNA mtu alie msafi au mkamilifu

Kwakuwa sisi hatuwa na kile kifaa cha 'uchafumeter' tumemuangalia tumeona amependeza sana

Sasa nyie wenye hivyo vifaa vya uchafumeter, ufisadimetric, wiziologymeasure n.k ndio mje mseme

Sisi tunasema amependeza na bado anaonekana anadai mathalani 2025 akirushia ndoano ya kuomba kura pale kati mzee wa kazi nakuhakikishia panaweza kuchimbika mbaya kabisa

Huo ndio ukweli
 
Mkuu ipo hivi HAKUNA mtu alie msafi au mkamilifu

Kwakuwa sisi hatuwa na kile kifaa cha 'uchafumeter' tumemuangalia tumeona amependeza sana

Sasa nyie wenye hivyo vifaa vya uchafumeter, ufisadimetric, wiziologymeasure n.k ndio mje mseme

Sisi tunasema amependeza na bado anaonekana anadai mathalani 2025 akirushia ndoano ya kuomba kura pale kati mzee wa kazi nakuhakikishia panaweza kuchimbika mbaya kabisa

Huo ndio ukweli
Hayo ni mahaba ya kizembe tu! Kupendeza na kuomba kura kuna uhusiano gani? Tufikie hatua watu kama wewe musipewe hata nafasi ya kupiga kura.
 
Hayo ni mahaba ya kizembe tu! Kupendeza na kuomba kura kuna uhusiano gani? Tufikie hatua watu kama wewe musipewe hata nafasi ya kupiga kura.
Kiongozi sijajua tatizo ni mimi au maoni yangu?

Sasa hata tukimchukia kwani itabadilisha ukweli kuwa hajapendeza??

Kwani hata kama tusipokuwa na hayo unayoyaita 'mahaba ya kizee' akigombea kura zetu mimi na wewe zinatosha kweli kumpa au kutompa urais kwa mara ya 3??

Acha ukweli uenee na uongo upuuzwe
 
Back
Top Bottom