Khee, sasa JF ndo state affairs?😅😅Thats his private life plz, have nothing to do with the state affairs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khee, sasa JF ndo state affairs?😅😅Thats his private life plz, have nothing to do with the state affairs
Mzilankende ni mshamba sana
Publicity ! Peoples attention or peoples reactions !! But all in all nothing serious !! Just having a good time !!😁Mbona mapumziko yana promo kubwa sana? Why its a big deal?
Shall be killed, au rule inasemajeThe killer
Life iko hivyo leo tupo kesho bye bye!! Duniani ni mapito tu !! Tujitahidi kutendeana mema !!
1. Wanaume huwa tunajikita katika kutafuta na sio majungu na wivu miaka nenda miaka rudi.......kwetu hayo mambo ni ya dada zetu au wake walioolewa na mume mmoja a.k.a matala.1.
Tuambie kwa kina mapumziko ya mtu ambaye ameshastaafu hana majukumu ya kitaifa anakuwa na likizo ya nini ndani ya ustaafu. Kwa nini isiwe ni utalii wa ndani?
2.
Kama kwenu wanaume wanatolewa posa, haiyumkiniki baba alikaa leba miezi tisa ukazaliwa.
3.
Jifunze adabu mvulana wa kike
Kumbe na wewe umeiona eehHayo mengine nimewaachia🙌
Mimi nimeielewa hiyo Raba mguuni🧐
Safi, ingependeza kama ungemuuliza na yeye swali hilohilo. Usione kujikweza kwiiingi humu, hamna kitu.......tabu tu!Mi nipo fresh Sana we jamaa
Unafikiri njaa kali!!?
Movement zangu ni very calculated Sana!?
Utafutaji ni akili sio mshahara!!
Life iko hivyo leo tupo kesho bye bye!! Duniani ni mapito tu !! Tujitahidi kutendeana mema !!
Sure!..tenda wema na haki bila kubagua.
..kuwa na kauli zenye utu na heshima kwa watu wote.
Anajibu matokeo ya kamati kuu,Mbona mapumziko yana promo kubwa sana? Why its a big deal?
Nimeona atiiiKumbe na wewe umeiona eeh
mependa hiyo raba, ivi ka bei gani?
Kuna comment moja niliona mahali
Huyounayempigia uchawa pro max ndo binvwa wa majungu kuliko wanaume wote.1. Wanaume huwa tunajikita katika kutafuta na sio majungu na wivu miaka nenda miaka rudi.......kwetu hayo mambo ni ya dada zetu au wake walioolewa na mume mmoja a.k.a matala.
2. Kwani habari ya kuwa huko serengeti imetolewa na serikali au mdau mwenzetu tu humu JF? Vipi km alikuwa tu katika huo utalii wa ndani isipokuwa namna ya kuripoti tu ndo shida?!!!
3. Unayajua majukumu ya jk ya sasa binafsi na yale ya kitaasisi?!!!! Kule ufaransa hapa juzi kati alihudhuria kikao gani na km nani? Baada ya kutoka huko hakuwa miongoni mwa wazee wazungumzaji mkutano wa CCM taifa na nyie wachawi wake, kama kawaida yenu, mkamuwekea maneno na tafsiri zenu kibao zenye lengo la kumfitinisha na watu?!! Katika hali km hiyo, akiamua kujiendea zake serengeti kumaliza siku za mwisho za mwaka vibaya kutumika neno 'kupumzika'?!!!!
4. Vp km mtoa mada hafahamu shughuli zake nyingine kwa sasa zaidi ya uliokuwa uraisi na hivyo anamrefer kwa nafasi hiyo?!!!!! Kuna tatizo?
Enyi wachawi; jk habari zake zinafika kama hivyo kwa sababu ni star........wapo wengi tu walioenda kupumzika (mnaweza kuwapost hao mkitaka km huyu jamaa anawakera sana)
Kabisa !Kuna comment moja niliona mahali
Jamaa aliwaza sana akaishia kusema
Jiwe juu ya jiwe
Huyu mwamba tutammis sana
He has a role to play
Kwa mtindo huu sanduku la kura bado litaheshimiwa?... pensheni ya rais mstaafu ni 80% ya mshahara wa rais aliyeko madarakani among other attractive packages and benefits to the end of his life. So, ni haki yake.