Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
VC wa sasa muda wake unaisha tarehe 31/12/2017 na hawezi kuongezewa muda kisheria.
Hilo linajulikana na ndiyo utaratibu.
Hakuna VC anayeteuliwa bila consent ya Rais. Senate na council ni sehemu tu ya mchakato wa lazima ili kumpata VC lakini hawezi pata hiyo position bila consent ya Rais aliyepo madarakani.
VC aliyepo aliteuliwa wakati wa Kikwete
Ndo process, anaanza kujikamua mwenyewe.Hivi rwekaza hajatumbuliwa tu??
Binafsi mimi mtu akinisifia hata kama naona wazi nakosea huwa namdharau sana.. Huwa namuona asiyefaa!Du bana Nana anatia huruma
Kaitetea sana CCm
ina wezekana ndio njia ya kuja kukaa maala pa rwekaza....Duh Mfinanga kaikosa hiyo nafasi.. Yule Prof Mfinanga si mtu wa mchezo mchezo.
Ipo wapi ?Naona CV ya Prof. Anangisye imeshiba
Haya ngoja tusibili jembe jingine litakalo ziba nafasi ya Prof. Florens D.A.M. Luoga ya Deputy Vice chancellor Academic (DVCA)
....unakosea na unajua unakosea !? Duuh wewe kiumbe wa ajabu sana !Binafsi mimi mtu akinisifia hata kama naona wazi nakosea huwa namdharau sana.. Huwa namuona asiyefaa!
Hiyo barua hapo juu umeisoma ?Ipo wapi ?
Jk mjanja sana ! Kamteuwa huyu ndaga pijo ili amsaidiye wa kukaye mwakalinga wa tba kuziba ule UFA kwenye media utaona joint force na watz wote tutaonekana akili kama Jeni muroNdagha phijo
Ha ha ha labda best yake Jakaya (Chancellor) anaweza kumtafutia kacheo kakubwa kubwabana atakufa njaa jamani wampe hata udiwani
Ngoja niirudie....Hiyo barua hapo juu umeisoma ?
JK ndiyo hawezi kabisa ccm wanamjua vizuri ni kigeugeu, wanamjua kwa sababu wengi wao ni wanafunzi wake na pia ni mropokajiHa ha ha labda best yake Jakaya (Chancellor) anaweza kumtafutia kacheo kakubwa kubwa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nimecheka kwa herufi kubwa!! Kweli kila mtu ana mawazo yakeJk mjanja sana ! Kamteuwa huyu ndaga pijo ili amsaidiye wa kukaye mwakalinga wa tba kuziba ule UFA kwenye media utaona joint force na watz wote tutaonekana akili kama Jeni muro
Mkuu kwa prof kuwa ameandika articles 30 haitoshi ni kawaida sana, niliona Prof Yunis Mgaya alikuwa na publications zaidi ya 90Hiyo barua hapo juu umeisoma ?
Sawa mkuu ila afadhali yake ana articles 30 tuna Ma Dkt wa kubangua korosho ambao sijui wana publish wapi articles zaoMkuu kwa prof kuwa ameandika articles 30 haitoshi ni kawaida sana, niliona Prof Yunis Mgaya alikuwa na publications zaidi ya 90
VC wa sasa muda wake unaisha tarehe 31/12/2017 na hawezi kuongezewa muda kisheria.
Hilo linajulikana na ndiyo utaratibu.
Hakuna VC anayeteuliwa bila consent ya Rais. Senate na council ni sehemu tu ya mchakato wa lazima ili kumpata VC lakini hawezi pata hiyo position bila consent ya Rais aliyepo madarakani.
VC aliyepo aliteuliwa wakati wa Kikwete
Mkuu mwenzio mpk sasa hajaonekana [emoji16][emoji16][emoji16]Sawa mkuu ila afadhali yake ana articles 30 tuna Ma Dkt wa kubangua korosho ambao sijui wana publish wapi articles zao
Michango yangu yote humu jukwaani ni kwaajili ya watu wenye uelewa mpana uliotukuka kama anavyosemaga mkuu GENTAMYCINE....unakosea na unajua unakosea !? Duuh wewe kiumbe wa ajabu sana !