mazagazagatza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 208
- 224
Kwani vituo vya hivi vituo vya mafuta vimejengwa kwa pesa za umma na serikali? Au ni vituo vya watu binafsi?Chato ni Jamhuri ya Kongo sio Tanzania? Ila kujenga vituo vya mafuta kila baada ya mita 300 kwa umbali wa kilomita 50 kutoka Ruvu hadi Chalinze ndio sahihi?
Wakati mwingine unapojenga hoja kuwa na mantiki!