Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Wangesifia mpaka ushuzi wakeAngalikuwa hai leo sijui wangemtajeje. Walijifanya kumpenda kumbe wanafiqueeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangesifia mpaka ushuzi wakeAngalikuwa hai leo sijui wangemtajeje. Walijifanya kumpenda kumbe wanafiqueeee
Na aligawiwa tausi hapohapo tukishuhudiaMheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
uzuri upi? weupe wa rangi? Jumba limekaa kama magofu ya waarabu kilwaRais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.
Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
AMESEMA SERIKALI YA AWAMU YA TANO ILIWEKA MKAZO MKUBWAKATIKA KUJENGA IKULU , KUTAJA SERIKALI KESHATAJA KIONGOZI WA JUU WE UNACHOWAZA SIO WATU WOTE TUTAWAZA KAMA WEWE , HATA AKITAJA ANAKUONGEZEA NN AU UNAPUNGUKIWA NA NNRais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.
Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Acha uongo ,ametoa credit, Kikwete hajawahi kuwa roho mbayaRais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.
Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Mtaendelea kuweweseka nyie Kenge wa KIJANI KIBICHI.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Magufuli bado anawabutua hata baada ya kufa mbwa nyie
Ngoja tuone kama wataishi au kukaa hapo ikulu, wanaondoka soon hao wazuri vita inaendelea .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakisoma hii comment yako watakuwa wanacheka huku wanalia.jembe aliwanyoosha sana. wamebaki kuzindua miradi yake
Kujenga hiyo ikulu nijuhudi za mtu binafsi mwenye uthubutu na msimamo usioyumba.Kuna kakikundi mtandaoni linapokuja suala la JPM kanataka kutengeneza attention isiyo na ulazima.
Kwani JK aliposema zilianza na awamu ya tano alimaanisha nn?
Zimaridi!!Sukuma Gang ni waabudu mizimu
Wanajua Huyo ndio mchawi wake!!Kujenga hiyo ikulu nijuhudi za mtu binafsi mwenye uthubutu na msimamo usioyumba.
Alitakiwa kumtaja tu,hataivyo wananchi wanajua jembe ndio chanzo cha mafanikio yote hayo ya mpango wa serikali kuhamia Dodoma.
Usipo mtaja watu wanakushangaatu.
Acheni ibada za wafu, ni dhambiJohn Pombe Joseph Magufuli hazuiliki kutajwa
Hazuiliki kuongelea
Hazuiliki kupongezwa
Jina lake litaishi vizazi na vizazi
Rest well Papa John Pombe Joseph Magufuli
Mbona hakusema imekamilika awamu ya sita bila kumtaja Samia? Hizo zote ni fitina zake na chuki dhidi ya Jiwe kwani enzi za Jiwe alikuwa hana issue alikuwa anachunga punda wake kijijini kwao ; siku hizi yuko mjini full time anatawala!!Kuna kakikundi mtandaoni linapokuja suala la JPM kanataka kutengeneza attention isiyo na ulazima.
Kwani JK aliposema zilianza na awamu ya tano alimaanisha nn?
Kipindi chake alijenga ukumbi wa mikutano pale Magogoni na kuharibu mandhari yote ya Ikulu! Huo ndio ulikuwa ukomo wa uwezo wa akili yake.Wapinzani bado wanateswa na mzimu wa jpm, kikweye hajataja marais wowote waliopita, kataja awamu tu bilq kuaema zilifanya nini kwa muda wao, target yake ilikua aelezee kipindi chake alifanya nini.. kaongelea kipindi chake tu na alifanya nini..
Km ambavyo haizuiliki kumtaja Iddi Amini, HitlerJohn Pombe Joseph Magufuli hazuiliki kutajwa
Hazuiliki kuongelea
Hazuiliki kupongezwa
Jina lake litaishi vizazi na vizazi
Rest well Papa John Pombe Joseph Magufuli
Atakosaje na yeye ndio Rais pacha!CHEKIBOBU KIKWETE kumbe alikuwepo?
Yupo mjini kabla ht Magufuli hajaletwa Tz kutoka kwaoMbona hakusema imekamilika awamu ya sita bila kumtaja Samia? Hizo zote ni fitina zake na chuki dhidi ya Jiwe kwani enzi za Jiwe alikuwa hana issue alikuwa anachunga punda wake kijijini kwao ; siku hizi yuko mjini full time anatawala!!