Rais Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya kuofanya haya

Rais Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya kuofanya haya

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.

Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.

Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini

1734540481264.png
1734540573091.png
1734540597179.png
 
Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, jenerali ulimwengu na mzee Butiku pekee. Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!. Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini

View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
Wana CCM wakifika kwenye masuala ya uchaguzi busara huwa zinakwisha kabisa!
 
Kun
Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, jenerali ulimwengu na mzee Butiku pekee. Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!. Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini

View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
Kuna kipindi mzee wa watu alikuwa anaonekana mikutano au kwenye shughuli za kitaifa watu wakaanza maneno siku hizi kaamua atulie bado kelele
 
 
Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.

Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.

Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini

View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
Akibakiza miezi kadhaa ya uhai ataandika kitabu. Mle ataelezea kila kitu.
 
Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.

Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.

Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini

View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734

Hii nchi iko njia panda wa wazee wetu wengi ni wababaishaji sana
 
Kun

Kuna kipindi mzee wa watu alikuwa anaonekana mikutano au kwenye shughuli za kitaifa watu wakaanza maneno siku hizi kaamua atulie bado kelele
Umeona ee?!!! Nikitaka kusema hivyo hivyo, akijitokeza tu hapo na kusema neno basi huyu mleta mada na wenzake watajaa humu kuchambua kwa maneno yao alichokisema.
 
Tangu alipotoa ushauri kwa wanasiasa kutochanganya dini na siasa wakati huo yeye mwenyewe akisemea kwenye mimbari ya Kanisa, kaameadimika sana 🤔
Alikuwa wa kwanza kusema hivyo?!! JK hamumuwezi, tulieni tu nyie kima!
 
Ukweli mtupu sasa ana faida gani kwenye jamii? Kama hakemei maovu angalieni wenzake wastaafu
Wastaafu wangapi wanaongea?!!!
Mnampangia aongelee mabaya tu, vipi akiongelea mazuri ayaonayo?!! Utakuja na Uzi wa kumpongeza au kumshutumu.
 
Mke wake yuko bungeni kwa hisani
Mtoto wake ni mbunge na Waziri kwa hisani

Uyu ni mchumia tumbo tu kama wengine hana lolote
 
Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.

Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.

Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini

View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
Hivi yupo? Kikwete mnampa mambo serious hawezi. Hayo mambo mazito sana. Mwacheni ale maisha.
 
Back
Top Bottom