Rais Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya kuofanya haya

Rais Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya kuofanya haya

Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.

Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.

Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini

View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
Kula Bata 😳
Mtu hujikuna mahali anapopafikia !
 
Mbona babako ni mstaafu ila hasemi kitu? Acheni mzee wa watu aishi maisha yake. Huo upumbavu fanyeni nyie na kina Lissu.
 
Unategemea nini kwa muhuni aliyezeeka?
 
Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.

Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.

Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini

View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
Huyó anapaswa awe jela mda huu . Sema ni TZ tu
 
Mnazidi bwana, mkimchukia mtu basi hamumpumzishi, muda wote kelele tu.
Basi iwe ndio sababu ya kumyanyapaa asiye afikiana nawe?

Vipi ingekuwa kwenye mdahalo wa wazi ungerusha mitusi tu kuonyesha hisia zako? 🤔
 
Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.

Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.

Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini

View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
Huyu alipaswa awe gerezani kwa uhujumu uchumi sema nchi yetu ina mahakama za kipuuzi sn
 
Basi iwe ndio sababu ya kumyanyapaa asiye afikiana nawe?

Vipi ingekuwa kwenye mdahalo wa wazi ungerusha mitusi tu kuonyesha hisia zako? 🤔
Wasemeni watu kwa usawa na haki, si kwa sababu kwa vile hamuwapendi.
 
Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.

Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.

Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini

View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
[/QUOTEKikwete ndio mstaafu mashuhuri ndani na nje ya Tz.Busara na ustaarabu wake vinambeba.Hana chki na mtu Wala fitina ndio MAANA Mungu anazidi kumpa wajihi.Chuki ni Simu ya mwili.
 
Wasemeni watu kwa usawa na haki, si kwa sababu kwa vile hamuwapendi.
Kumbe umepewa jukumu la kusimamia na kuhakikisha watu wanamsema vizuri mtu wako? Wasiofuata huo utaratibu wewe una mamlaka ya kuwaita majina ya wanyama?
 
Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.

Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.

Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini

View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
Huyo ni kielelezo cha WAPUMBAVU
 
Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.
Ukiongeza na mama Tibaijuka hawa ndio wazee waliobakia Tanzania na ambao Taifa linajivunia.
Long life wazee wetu
 
Back
Top Bottom