Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Kikwete hawez mkemea samia sababu yeye mwenyewe anamakando kando mengi sanaHii nchi iko njia panda wa wazee wetu wengi ni wababaishaji sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikwete hawez mkemea samia sababu yeye mwenyewe anamakando kando mengi sanaHii nchi iko njia panda wa wazee wetu wengi ni wababaishaji sana
Kula Bata 😳Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.
Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.
Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini
View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
Sio size yake ??!Hivi yupo? Kikwete mnampa mambo serious hawezi. Hayo mambo mazito sana. Mwacheni ale maisha.
😳🙄Mke wake yuko bungeni kwa hisani
Mtoto wake ni mbunge na Waziri kwa hisani
Uyu ni mchumia tumbo tu kama wengine hana lolote
Wale ambao sio wababaishaji walishapigwa pini tangu Enzi za huyo huyo Wa mujini !Hii nchi iko njia panda wa wazee wetu wengi ni wababaishaji sana
Heeeeeh.....mkewe umekuja🤣 linda mumeo mama.Mbona babako ni mstaafu ila hasemi kitu? Acheni mzee wa watu aishi maisha yake. Huo upumbavu fanyeni nyie na kina Lissu.
Acha tu binadamu sisiUmeona ee?!!! Nikitaka kusema hivyo hivyo, akijitokeza tu hapo na kusema neno basi huyu mleta mada na wenzake watajaa humu kuchambua kwa maneno yao alichokisema.
Yaani unafikia hatua ya kuita wengine majina ya wanyama kweli? Kisa mtu kutoa maoni yake? 😳😟Alikuwa wa kwanza kusema hivyo?!! JK hamumuwezi, tulieni tu nyie kima!
Huyó anapaswa awe jela mda huu . Sema ni TZ tuRaisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.
Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.
Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini
View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
Mnazidi bwana, mkimchukia mtu basi hamumpumzishi, muda wote kelele tu.Yaani unafikia hatua ya kuita wengine majina ya wanyama kweli? Kisa mtu kutoa maoni yake? 😳😟
Basi iwe ndio sababu ya kumyanyapaa asiye afikiana nawe?Mnazidi bwana, mkimchukia mtu basi hamumpumzishi, muda wote kelele tu.
Huyu alipaswa awe gerezani kwa uhujumu uchumi sema nchi yetu ina mahakama za kipuuzi snRaisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.
Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.
Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini
View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
Ni tapeli tu hata hana loloteHivi yupo? Kikwete mnampa mambo serious hawezi. Hayo mambo mazito sana. Mwacheni ale maisha.
Wasemeni watu kwa usawa na haki, si kwa sababu kwa vile hamuwapendi.Basi iwe ndio sababu ya kumyanyapaa asiye afikiana nawe?
Vipi ingekuwa kwenye mdahalo wa wazi ungerusha mitusi tu kuonyesha hisia zako? 🤔
Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.
Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.
Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini
View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
[/QUOTEKikwete ndio mstaafu mashuhuri ndani na nje ya Tz.Busara na ustaarabu wake vinambeba.Hana chki na mtu Wala fitina ndio MAANA Mungu anazidi kumpa wajihi.Chuki ni Simu ya mwili.
Kumbe umepewa jukumu la kusimamia na kuhakikisha watu wanamsema vizuri mtu wako? Wasiofuata huo utaratibu wewe una mamlaka ya kuwaita majina ya wanyama?Wasemeni watu kwa usawa na haki, si kwa sababu kwa vile hamuwapendi.
Huyo ni kielelezo cha WAPUMBAVURaisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.
Kikwete angesaidia sana hii nchi badala yake amesahaulika na haja tumia kabisa nguvu yake zaidi ya kujibinafishisha. Utaendaje kwa mambo ya kimataifa wakati una nchi hata serikali za mitaa wagombea na utaratibu ni fake!.
Swagga nyingi lakini mzee tutakusahau mapema sana. Yaani nchi mpaka sasa imebaki kutegemea wakina Lissu na Mbowe wewe Mzee Kikwete unafanya nini
View attachment 3179731View attachment 3179732View attachment 3179734
Ukiongeza na mama Tibaijuka hawa ndio wazee waliobakia Tanzania na ambao Taifa linajivunia.Raisi Mstaafu Kikwete kapoteza sana umashuhuri sababu ya ubinafsi. Yeye ndiyo angetakiwa kuwa wa kwanza kukemea chaguzi mbovu badala yake yeye anajali Ikulu aliyo jengewa, mke wake mbunge na mtoto. Yaani tumebaki na Warioba, Jenerali Ulimwengu na Mzee Butiku pekee.