Pre GE2025 Rais mteue January Makamba awe Balozi huko nchi ya mbali kabisa

Pre GE2025 Rais mteue January Makamba awe Balozi huko nchi ya mbali kabisa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.

Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na ana ushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.

Usisahau huyu amewahi kuwa mshindi wa tatu huku nyuma, katika kura za maoni hivyo kisiasa ana nguvu. Hivyo ukimteua kuwa Balozi labda huko Mexico, au Canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.

NB: Ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CCM, ndio mwisho wako. Kwanini, kwa sababu wewe huna watu, ndani ya CCM, hao wanaokuzunguka ni wanafiki.

Lakini pia bila shaka 2030, utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, hawa vijana watukusumbua sana.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Hivi kwani mbunge wa kuchaguliwa anaweza kuwa balozi? Mbona wanaogopa sana wakisikia jina la January, huyu jamaa anawapa stress kwakweli.
Ndio mkuu,raisi katiba inaruhusu, jamaa amejiandaa kama lowasa
 
Umeona ilivyo ngumu Kujiajiri??! Ndugu January hata hujamaliza mwaka Benchi umesha anza kutuma funza na chawa mitandaoni wakuombee ajira urudishwe serikalini??!!! Huwa mkiwa huko bungeni mnaropoka hovyo hovyo vijana wajiajiri, mkitumbuliwa mnaanza kutia huruma. Bogus.
 
Back
Top Bottom