Kasikani hawakuwa kweny uwaziri lakini kuongoza taasis na vitengo.muhimu walikiwepo kwa sbb usinhewatoa wakati sio watrule wa RaisKaskazini walitupiliwa mbali acha uongo.wakawa hawahemi hawapumui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasikani hawakuwa kweny uwaziri lakini kuongoza taasis na vitengo.muhimu walikiwepo kwa sbb usinhewatoa wakati sio watrule wa RaisKaskazini walitupiliwa mbali acha uongo.wakawa hawahemi hawapumui.
Wewe shida yako ni ipi ktk utendaji wa derikali kufanya majukumu yake?Ajabu
Waziri wa utumishi kuagiza ukaguzi kwenye wizara nyingine!
Yaani mkwe wa Rais, anaagiza ukaguzi wizara ya madini ili wahalalishe kumtumbua Dotto ambae ni team Magufuli ili waweke mtu wao!
Sasa mtumbueni huyo kijana tuendelee na mambo mengine haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania lakini hapana shaka mipango inajulikana ilikoanzia ionekane Dotto ana makosa ili aondokewe maana baada ya kuapishwa ulitamka kitalu C cha serikali na mkwe wako karudia kule kule hivo hakuna shaka twende kazi.
Maisha ndiyo yalivyo nao muda wao ukifika watapotea tu,kwa nini unahagaika sisi ni maiti wa keshoMkuu umeandika kwa uchungu sana, bila paragraph na bila nukta isipokuwa moja tu mwishoni mwa bandiko lako 😁😁.
Kwamba?
" ... haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania ...."
Umewasahau Sabaya na Kondakta walivyo kuwa wakitisha na kuamuru wote across the board? Mwulize Majaliwa kukupa mrejesho.
Yule aliyekuwa Iringa si alikuwa anawakoromea hadi kina JK?
Ama kweli mu wepesi kusahau. Si mhamie Umoja party huko, ili mkadumishe kauli mbiu yenu ya "Huko Kazi Tu?"
Hiiiiii bagosha!
Ni kwelii si sifa kutumbuliwaAjabu
Waziri wa utumishi kuagiza ukaguzi kwenye wizara nyingine!
Yaani mkwe wa Rais, anaagiza ukaguzi wizara ya madini ili wahalalishe kumtumbua Dotto ambae ni team Magufuli ili waweke mtu wao!
Sasa mtumbueni huyo kijana tuendelee na mambo mengine haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania lakini hapana shaka mipango inajulikana ilikoanzia ionekane Dotto ana makosa ili aondokewe maana baada ya kuapishwa ulitamka kitalu C cha serikali na mkwe wako karudia kule kule hivo hakuna shaka twende kazi.
Na walikua wakishangilia sana na wabunge wa kanda ile walikua wanaulamba uwaziri tena Idara nyeti tupu. Na bdo atakuja kichaa mwingine atakua kama M7 mke waziri mtoto kitengo familia nzima zaidi ya nchi za kifalme yote haya yameletwa na yule mlikua mnamshangilia kwa kuvunja taratibu na sheria.Nadhani haya ni marudio /mwendelezo tu. Bila shaka ulikuwepo wakati mkuu wa mkoa fulani alikuwa na nguvu sawa/zaidi ya makamu wa rais /waziri mkuu
Umewasahau Sabaya, Makonda na yule bwana alikuwa wa Iringa? Kumbuka hata uwaziri hawakuwa nao.
Hao ni mawazir walio kuwa wana koronewaMkuu umeandika kwa uchungu sana, bila paragraph na bila nukta isipokuwa moja tu mwishoni mwa bandiko lako 😁😁.
Kwamba?
" ... haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania ...."
Umewasahau Sabaya na Kondakta walivyo kuwa wakitisha na kuamuru wote across the board? Mwulize Majaliwa kukupa mrejesho.
Yule aliyekuwa Iringa si alikuwa anawakoromea hadi kina JK?
Ama kweli mu wepesi kusahau. Si mhamie Umoja party huko, ili mkadumishe kauli mbiu yenu ya "Huko Kazi Tu?"
Hiiiiii bagosha!
Makonda na Sabaya walikuwa nawaziri ?
Mkuu kwa hiyo kosa moja linahalalisha makosa mengine? Au hii ndiyo style ya huyo mama kuponya nchi mnakosema?Nadhani haya ni marudio /mwendelezo tu. Bila shaka ulikuwepo wakati mkuu wa mkoa fulani alikuwa na nguvu sawa/zaidi ya makamu wa rais /waziri mkuu
Kazi ya mkuu wa mkoa ni kuvamia shilawadu mkuuYapi mbona hautaki kuyasema?Kwanza unajua kazi ya mkuu wa mkoa na kazi ya Waziri au mnaharalisha upumbavu.
Kwa hiyo kule kusikaguliwe?Ajabu
Waziri wa utumishi kuagiza ukaguzi kwenye wizara nyingine!
Yaani mkwe wa Rais, anaagiza ukaguzi wizara ya madini ili wahalalishe kumtumbua Dotto ambae ni team Magufuli ili waweke mtu wao!
Sasa mtumbueni huyo kijana tuendelee na mambo mengine haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania lakini hapana shaka mipango inajulikana ilikoanzia ionekane Dotto ana makosa ili aondokewe maana baada ya kuapishwa ulitamka kitalu C cha serikali na mkwe wako karudia kule kule hivo hakuna shaka twende kazi.
Wajumlishwe kwenye abandoned "Top post " mwiko kama wachagga,wahaya,wanyakyusa.ila wasukuma mna ukabila sana hamtaki watu wa kabila lenu wawajibishwe mnajidai watakatifu, Kuna hatua kama wa Tanzania tunatakiwa tuzichukue za kitokuwarudisha wasukuma madarakan maana wizara zote nyeti&majeshi zilijaa watu wa kanda ya ziwa
Na bado akiguswa mtu wa kanda yenu mnakasirika
Kwanza kabisa mimi sipo kwenye hilo kundi uliloniweka.Mkuu kwa hiyo kosa moja linahalalisha makosa mengine? Au hii ndiyo style ya huyo mama kuponya nchi mnakosema?
Kumbukeni anachofanya ni kudondoshea tindikali kwenye vidonda. Kuna waliobaguliwa wakati uliopita, bado na sasa wanaendelea kubaguliwa na kunyanyasika kwenye awamu hii.
Mnaaminini wanaoumia ni wabaya wenu, to the contrary wanaoumia ni completely innocent souls. Fikiria kuhusu mustakabali wa nchi nzima katika kunufaika na keki ya taifa badala ya kuangalia genge dogo la wanaotoana jasho kwenye madaraka