Rais Mtoe Dotto Biteko ili lengo lenu litimie

Rais Mtoe Dotto Biteko ili lengo lenu litimie

Kaskazini walitupiliwa mbali acha uongo.wakawa hawahemi hawapumui.
Kasikani hawakuwa kweny uwaziri lakini kuongoza taasis na vitengo.muhimu walikiwepo kwa sbb usinhewatoa wakati sio watrule wa Rais
 
Hamna kazi za kufanya ninyi kila siku kutamani kizingumza lugha za makundi makundi tu? Nchi imetulia kisawasawa Kanyaga mama yetu mpendwa Mh. Samia suluhu Hassan kanyaga mama
 
Ajabu
Waziri wa utumishi kuagiza ukaguzi kwenye wizara nyingine!

Yaani mkwe wa Rais, anaagiza ukaguzi wizara ya madini ili wahalalishe kumtumbua Dotto ambae ni team Magufuli ili waweke mtu wao!

Sasa mtumbueni huyo kijana tuendelee na mambo mengine haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania lakini hapana shaka mipango inajulikana ilikoanzia ionekane Dotto ana makosa ili aondokewe maana baada ya kuapishwa ulitamka kitalu C cha serikali na mkwe wako karudia kule kule hivo hakuna shaka twende kazi.
Wewe shida yako ni ipi ktk utendaji wa derikali kufanya majukumu yake?

Wewe uliyeandika makala hii ndiye mchinganishi,mkabila na unayo maslahi binafsi kwa huyo Dotto

hapa unatuonesha na kutudhihirishia kwamba huyo Dotto ni mtu wa magufuli na kumbe basi anafahamu kwamba ni maslahi yapi binafsi aliyokuwa akiyapata Magufuli kupitia huyo Dotto na kama ndiyo hivyo basi ni vizuri aondolewe ili awekwe mwingine mbadala na ambaye atakuwepo kwa maslahi ya umma wa watanzani

ama basi tuseme na kukubaliana kwamba alikuwa ni mtu wa magufuli na sasa magufuli hayupo tena hivyo naye huyu anapaswa kukaa pembeni apishe mwingine kwa maslahi ya mwingine

na kama ulifikiri kwamba ndo unamkinga ama kumkingia kifua fahamu kabisa kwamba ndo umemharibia mazima.
 
ila wasukuma mna ukabila sana hamtaki watu wa kabila lenu wawajibishwe mnajidai watakatifu, Kuna hatua kama wa Tanzania tunatakiwa tuzichukue za kitokuwarudisha wasukuma madarakan maana wizara zote nyeti&majeshi zilijaa watu wa kanda ya ziwa
Na bado akiguswa mtu wa kanda yenu mnakasirika
 
Mkuu umeandika kwa uchungu sana, bila paragraph na bila nukta isipokuwa moja tu mwishoni mwa bandiko lako 😁😁.

Kwamba?

" ... haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania ...."

Umewasahau Sabaya na Kondakta walivyo kuwa wakitisha na kuamuru wote across the board? Mwulize Majaliwa kukupa mrejesho.

Yule aliyekuwa Iringa si alikuwa anawakoromea hadi kina JK?

Ama kweli mu wepesi kusahau. Si mhamie Umoja party huko, ili mkadumishe kauli mbiu yenu ya "Huko Kazi Tu?"

Hiiiiii bagosha!
Maisha ndiyo yalivyo nao muda wao ukifika watapotea tu,kwa nini unahagaika sisi ni maiti wa kesho
 
Ajabu
Waziri wa utumishi kuagiza ukaguzi kwenye wizara nyingine!

Yaani mkwe wa Rais, anaagiza ukaguzi wizara ya madini ili wahalalishe kumtumbua Dotto ambae ni team Magufuli ili waweke mtu wao!

Sasa mtumbueni huyo kijana tuendelee na mambo mengine haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania lakini hapana shaka mipango inajulikana ilikoanzia ionekane Dotto ana makosa ili aondokewe maana baada ya kuapishwa ulitamka kitalu C cha serikali na mkwe wako karudia kule kule hivo hakuna shaka twende kazi.
Ni kwelii si sifa kutumbuliwa

Ajiuzuluuu mwenyewe.

Lkn najua katika nchi hii ningumuu
 
Magufuli alianzisha aina hiyo ya utawala.

Samia akaendeleza.

Mnalalamika nini?
 
Nadhani haya ni marudio /mwendelezo tu. Bila shaka ulikuwepo wakati mkuu wa mkoa fulani alikuwa na nguvu sawa/zaidi ya makamu wa rais /waziri mkuu
Na walikua wakishangilia sana na wabunge wa kanda ile walikua wanaulamba uwaziri tena Idara nyeti tupu. Na bdo atakuja kichaa mwingine atakua kama M7 mke waziri mtoto kitengo familia nzima zaidi ya nchi za kifalme yote haya yameletwa na yule mlikua mnamshangilia kwa kuvunja taratibu na sheria.
 
enzi za mwenda zake kulikua na mkuu wa wakuu wa mikoa, yaan akienda mkoa mwingine yeye ndio anakua boss, kulikua na mkuu wa wilaya yeye akienda mkoa mwingine anafanya atakacho... mliongea???
 
Utabiri wa Mwalimu Nyerere karibu utatimia. Kwamba upinzani wa kweli utatoka CCM !
 
Mkuu umeandika kwa uchungu sana, bila paragraph na bila nukta isipokuwa moja tu mwishoni mwa bandiko lako 😁😁.

Kwamba?

" ... haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania ...."

Umewasahau Sabaya na Kondakta walivyo kuwa wakitisha na kuamuru wote across the board? Mwulize Majaliwa kukupa mrejesho.

Yule aliyekuwa Iringa si alikuwa anawakoromea hadi kina JK?

Ama kweli mu wepesi kusahau. Si mhamie Umoja party huko, ili mkadumishe kauli mbiu yenu ya "Huko Kazi Tu?"

Hiiiiii bagosha!
Hao ni mawazir walio kuwa wana koronewa
 
Makonda na Sabaya walikuwa nawaziri ?

Angalia ulichonukuu na ulichoandika kwanza kujiridhisha umenukuu sawa? Pili kujiridhisha unasema au unauliza?

IMG_20211122_062308_328.jpg

Elimu! Ninakazia tena Elimu!

Hiiiiii bagosha!
 
Nadhani haya ni marudio /mwendelezo tu. Bila shaka ulikuwepo wakati mkuu wa mkoa fulani alikuwa na nguvu sawa/zaidi ya makamu wa rais /waziri mkuu
Mkuu kwa hiyo kosa moja linahalalisha makosa mengine? Au hii ndiyo style ya huyo mama kuponya nchi mnakosema?
Kumbukeni anachofanya ni kudondoshea tindikali kwenye vidonda. Kuna waliobaguliwa wakati uliopita, bado na sasa wanaendelea kubaguliwa na kunyanyasika kwenye awamu hii.
Mnaaminini wanaoumia ni wabaya wenu, to the contrary wanaoumia ni completely innocent souls. Fikiria kuhusu mustakabali wa nchi nzima katika kunufaika na keki ya taifa badala ya kuangalia genge dogo la wanaotoana jasho kwenye madaraka
 
Ajabu
Waziri wa utumishi kuagiza ukaguzi kwenye wizara nyingine!

Yaani mkwe wa Rais, anaagiza ukaguzi wizara ya madini ili wahalalishe kumtumbua Dotto ambae ni team Magufuli ili waweke mtu wao!

Sasa mtumbueni huyo kijana tuendelee na mambo mengine haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania lakini hapana shaka mipango inajulikana ilikoanzia ionekane Dotto ana makosa ili aondokewe maana baada ya kuapishwa ulitamka kitalu C cha serikali na mkwe wako karudia kule kule hivo hakuna shaka twende kazi.
Kwa hiyo kule kusikaguliwe?
 
Wa
ila wasukuma mna ukabila sana hamtaki watu wa kabila lenu wawajibishwe mnajidai watakatifu, Kuna hatua kama wa Tanzania tunatakiwa tuzichukue za kitokuwarudisha wasukuma madarakan maana wizara zote nyeti&majeshi zilijaa watu wa kanda ya ziwa
Na bado akiguswa mtu wa kanda yenu mnakasirika
Wajumlishwe kwenye abandoned "Top post " mwiko kama wachagga,wahaya,wanyakyusa.
Ila jamii za kanda nawavulia kofia, yaani unafanya mambo bila haya hata kidogo!,unajaza ndugu ndugu ndugu tu,its terrible indeeds.
 
Kama magufuri aliwapa vyeo ndugu zake akina musa magufuri...na Daudi mayeji wakapata nafasi za kupiga serikalini ...basi hata na mama samia wacha awatoe ndugu zake tena ilitakiwa wazanzibari wajae kila sehemu kwenye ofisi za umma😊😊
 
Mkuu kwa hiyo kosa moja linahalalisha makosa mengine? Au hii ndiyo style ya huyo mama kuponya nchi mnakosema?
Kumbukeni anachofanya ni kudondoshea tindikali kwenye vidonda. Kuna waliobaguliwa wakati uliopita, bado na sasa wanaendelea kubaguliwa na kunyanyasika kwenye awamu hii.
Mnaaminini wanaoumia ni wabaya wenu, to the contrary wanaoumia ni completely innocent souls. Fikiria kuhusu mustakabali wa nchi nzima katika kunufaika na keki ya taifa badala ya kuangalia genge dogo la wanaotoana jasho kwenye madaraka
Kwanza kabisa mimi sipo kwenye hilo kundi uliloniweka.
Pili ,kama ulinisoma vizuri, nilichokusudia ni hiyo " double standard " Kwamba jambo kama hilo hilo halikukemewa wakati ule , sasa hivi limekuwa dhambi kubwa.
Mwisho, kuendelea kubaguana kwa makundi kama hivyo sidhani kama ni suluhisho la matatizo. Tuanze kufikiri / kujadili kwa kuweka TAIFA mbele .
 
Back
Top Bottom