Rais Mtoe Dotto Biteko ili lengo lenu litimie

Rais Mtoe Dotto Biteko ili lengo lenu litimie

Duh hii kampeni inayoendelea dhidi ya mama ni hatari sana aisee
 
Ni sawa waziri kuagiza ukaguzi kwenye wizara nyingine?
Kwa kuwa wote ni level moja .
Mwenye mamlaka kwa mawaziri ni waziri Mkuu pekee kama mtendaji mkuu wa serikali ila kuna mda mwingine hizi wizara zinaingiliana ki majukumu ..
Ila kwa hili nahisi ajaeleweka, Waziri alichomaanisha sio icho kilichoeleweka.
 
Ajabu waziri wa utumishi kuagiza ukaguzi kwenye wizara nyingine!

Yaani mkwe wa Rais, anaagiza ukaguzi wizara ya madini ili wahalalishe kumtumbua Dotto ambae ni team Magufuli ili waweke mtu wao!

Sasa mtumbueni huyo kijana tuendelee na mambo mengine haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania lakini hapana shaka mipango inajulikana ilikoanzia ionekane Dotto ana makosa ili aondokewe maana baada ya kuapishwa ulitamka kitalu C cha serikali na mkwe wako karudia kule kule hivo hakuna shaka twende kazi.
Kwani utawala bora unaangukia kwa nani? Ingawa ni kweli kwenye level moja ya authority, hii ilitakiwa ifanywe na boss sio waziri kama yeye
 
Ila na Ninyi mmezidi gubu aisee kama Mwijaku.
Sukuma GANG, walifikiri hawatakuja kuisoma namba, haaa haaa dunia duara, kutesa kwa zamu, nani alijua Polepole atayazungumza haya akaachia VIETE.

Everyday is Saturday..............................😎
 
Udini
Sometimes jaribuni kidogo kuwa na Akili muwapo hapa JamiiForums na tusianze Kuwadharau sawa?

Ni wapi katika Katiba ya Tanzania iliandikwa kuwa Dotto Biteko atakuwa Waziri wa Milele?

Kwahiyo kama Dotto Biteko na Wizara yake kuna Madudu yasisemwe au yasihojiwe? Is he Untouchable?

Halafu kwani Rais fulani akiingia n kutaka kuweka Safu yake anayoiamini ni Dhambi na Mwiko?

Acheni kutulazimisha tunaoyajua Mabaya ya Dotto Biteko tuyaweke hapa kisha mshangae na mumchukie.

Kwani hawezi Kuchunguzwa na akiwa Msafi akaachwa na akaendelea na Uwaziri wake?

Kuna Watu hapa mnaboa tu kwa Uzuzu.
 
Ajabu waziri wa utumishi kuagiza ukaguzi kwenye wizara nyingine!

Yaani mkwe wa Rais, anaagiza ukaguzi wizara ya madini ili wahalalishe kumtumbua Dotto ambae ni team Magufuli ili waweke mtu wao!

Sasa mtumbueni huyo kijana tuendelee na mambo mengine haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania lakini hapana shaka mipango inajulikana ilikoanzia ionekane Dotto ana makosa ili aondokewe maana baada ya kuapishwa ulitamka kitalu C cha serikali na mkwe wako karudia kule kule hivo hakuna shaka twende kazi.
Wewe ndio ulikuwa opp kabisa
 
Back
Top Bottom