Rais Museveni ampandisha cheo mwanae kuwa Jenerali wa Jeshi

Rais Museveni ampandisha cheo mwanae kuwa Jenerali wa Jeshi

Trab na Trat

Member
Joined
Sep 30, 2022
Posts
34
Reaction score
74
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amempandisha cheo mtoto wake Muhoozi Kainerugaba, kutoka kwenye cheo cha Luteni Jenerali hadi kuwa Jenerali.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Jenerali Kainerugaba, amemshukuru baba yake kwa kumpa nafasi hiyo.

1664894453967.png
 
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amempandisha cheo mtoto wake Muhoozi Kainerugaba, kutoka kwenye cheo cha Luteni Jenerali hadi kuwa Jenerali. Kupitia ukurasa wake wa Twitter Jenerali Kainerugaba, amemshukuru baba yake kwa kumpa nafasi hiyo.
😂😂😂😂natamani baba yangu nae angekuwa msomi kama baba yake kainerugaba
 
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amempandisha cheo mtoto wake Muhoozi Kainerugaba, kutoka kwenye cheo cha Luteni Jenerali hadi kuwa Jenerali. Kupitia ukurasa wake wa Twitter Jenerali Kainerugaba, amemshukuru baba yake kwa kumpa nafasi hiyo.
Bara la Africa tumelogwa
 
Back
Top Bottom