Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uganda inahitaji ukombozi mpyaBangi..
So Tz is out of that equation 🙄
Unachanganya madwsa,baba yake kainerugaba ana degree moja tu,sio msomi kama unavyodhani,tena degree yake aliipatia udsm😂😂😂😂natamani baba yangu nae angekuwa msomi kama baba yake kainerugaba
Pua inapoushukuru mdomo kwa kuipa pumzi [emoji23]Rais wa Uganda Yoweri Museveni amempandisha cheo mtoto wake Muhoozi Kainerugaba, kutoka kwenye cheo cha Luteni Jenerali hadi kuwa Jenerali.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Jenerali Kainerugaba, amemshukuru baba yake kwa kumpa nafasi hiyo.
View attachment 2377125
Nairobi mjiandae kutekwa sasaRais wa Uganda Yoweri Museveni amempandisha cheo mtoto wake Muhoozi Kainerugaba, kutoka kwenye cheo cha Luteni Jenerali hadi kuwa Jenerali.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Jenerali Kainerugaba, amemshukuru baba yake kwa kumpa nafasi hiyo.
View attachment 2377125
Unachanganya madwsa,baba yake kainerugaba ana degree moja tu,sio msomi kama unavyodhani,tena degree yake aliipatia udsm
Typical Banana republicRais wa Uganda Yoweri Museveni amempandisha cheo mtoto wake Muhoozi Kainerugaba, kutoka kwenye cheo cha Luteni Jenerali hadi kuwa Jenerali.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Jenerali Kainerugaba, amemshukuru baba yake kwa kumpa nafasi hiyo.
View attachment 2377125
Wewe unadhani degree ya UDSM ya mwaka 1970 ni mchezo!
Kivipi hakumaliza 1970 pili kuna wajinga wengi tu wako waliosoma enzi hizo hata museveni ji mjinga tu,huwezi kuweka familia nzima iongoze nchi na kutesa wapinzaniWewe unadhani degree ya UDSM ya mwaka 1970 ni mchezo!
AiseeeWaafrica tuna vitu vyetu unique hauvipati kokote kulee duniani
Sasa degree moja sio msomi wee vp mkuu.Unachanganya madwsa,baba yake kainerugaba ana degree moja tu,sio msomi kama unavyodhani,tena degree yake aliipatia udsm
Nimemshangaa huyu jamaa kwani degree moja sio msomiWewe unadhani degree ya UDSM ya mwaka 1970 ni mchezo!
Kwa hiyo humu Jf wote wasomi,humu wote tuna degree,Sasa degree moja sio msomi wee vp mkuu.
Na yule akiwa rais anakua full dikteta ana tabia zote za udikteta anaamin sana kwenye nguvu na sio akiliNinashanga Uganda imeomba radhi Kenya badala ya huyo mpumbavu kuomba radhi
Unaweza ukawa na degree hata PhD ukawa mpumbavu unaweza pata elimu na isikusaidieKwa hiyo humu Jf wote wasomi,humu wote tuna degree,