Rais Museveni ampandisha cheo mwanae kuwa Jenerali wa Jeshi

Kivipi hakumaliza 1970 pili kuna wajinga wengi tu wako waliosoma enzi hizo hata museveni ji mjinga tu,huwezi kuweka familia nzima iongoze nchi na kutesa wapinzani
Mbona hamuongelei family ya kikwete mnaongelea family ya mseveni tu?
 
Huoni EU inapinga bomba la mafuta? Sio bahati mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…