Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Mbona hamuongelei family ya kikwete mnaongelea family ya mseveni tu?Kivipi hakumaliza 1970 pili kuna wajinga wengi tu wako waliosoma enzi hizo hata museveni ji mjinga tu,huwezi kuweka familia nzima iongoze nchi na kutesa wapinzani
Kikwete kafanyaje,Mbona hamuongelei family ya kikwete mnaongelea family ya mseveni tu?
It's too lateInasikitisha Sana ,M7 atakuja kishia kama Mugabe au Yahaya Jamhem.
Huoni EU inapinga bomba la mafuta? Sio bahati mbayaNa yule akiwa rais anakua full dikteta ana tabia zote za udikteta anaamin sana kwenye nguvu na sio akili
Vita vya Ukraine vilipoanza akaiponda marekani wazi wazi kwenye Twitter Sasa nikasema hivi huyu anaakili kweli kila mtu anajua marekani anakosea lakin kumponda wazi wazi hakuna ulazima wa yeye kufanya hivyo sasa nikajiulza akiwa rais itakuaje sababu Hana staha wala
Daah aiseeMaajabu ya africa
Baba Rais
Mama waziri
Mtoto General wa jeshi
It's too late
Namkubali huyu dogo sna acha alambe asali Hadi mwisho
Ndiooo kanyaga twende bhana hata bush Bab ake alikuwa rais wa marekani so tatizo acha kenerubaga awe cdf wa East Africa federationMaajabu ya africa
Baba Rais
Mama waziri
Mtoto General wa jeshi