kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Qur'an 3:103...Mwenyezi Mungu anakubainishieni Ishara zake ili mpate kuongoka. 103
104. Na uwe kutokana na nyinyi umma unao lingania kheri na unao amrisha mema na unakataza maovu. Na hao ndio walio fanikiwa. 104
105. Wala msiwe kama wale walio farikiana na kukhitalifiana baada ya kuwafikia hoja zilizo wazi. Na hao ndio watakao kuwa na adhabu kubwa. 105
Papa Sio kanisa Yale ni mawazo yake.Wapi kanisa limeunga mkono,nadhani wewe sio mkristo.
Fanyeni kazi acheni kuupa promo
Sababu ya asili ya maadili Yao huko zamani wanawake walitunza bikira zao hadi siku ya ndoa so Kama huna bikira siku ya harusi adhabu yako ni kukatwa kichwa mke na mme.Mimi tangu nazaliwa hadi nakuwa mzee nimekuwa nikisikia Ulawiti na ushoga hufanywa na Waarabu na watu wa Pwani kama Zanzibar na Mombasa
Ndo anayo yajua yeye hayo tyuuh.Huyo mufti mwenyewe salama? Yaani hajasikia habari zooote za maendeleo Africa, uzuri wa Zanzibar, vita vya Sudan nk nk. Lakini habari za kufiranaa kapata haraka hivi? Huyu vipi? Nina wasiwasi na huyu babu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa Mu7 ana lipi jipya kumchanganyaa Biden?? Mnaotaa nyie.Museveni anampa sana wakati mgumu rais wa yuesi kumkatalia tusipandane wenyewe hadi Biden juzi kaanguka kisa Museveni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajionaa umetoa point mwenyeweee?? Unachekeshaa kweliii.Wazungu wanatumiaa ushoga Kama njia ya kupunguza idadi ya watu baada ya Kila njia wanayobuni Africa kufeli mfano uzazi wa mpango pamojaa na mavidonge na sindano zao kwa Africa wameshindwa watu wanazaa na wapo happy tu mapori yamejaa maisha simple watu hawana time ya kuja mjini Wala kuwaza shule.
Wametumia vita, kemikali kwenye vyakula,corona, ugaidi nk ili kupunguza idadi ya watu still wamefeli Kama watakavyofeli na hili la ushoga.
Sio kwamba kuwa mzungu means una akili kuliko nature.
Kamgomea kubadili sheria ya mashoga ,we uoni hadi Biden anabwabwaja tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa Mu7 ana lipi jipya kumchanganyaa Biden?? Mnaotaa nyie.
Mimi tangu nazaliwa hadi nakuwa mzee nimekuwa nikisikia Ulawiti na ushoga hufanywa na Waarabu na watu wa Pwani kama Zanzibar na Mombasa
Na Mufti Mkuu wa Tanzania yeye anasemaje!!??
Yaani ni akili ya kawaida,lakini eti Mtu anasubiri hadi aambiwe na Mufti ndiyo atende mema ya kumpendeza Mungu! Sisi wa Africa sijui nani katuloga!!??Hapo vijukuu vya Mudi wanashindwa kumsifu Mu7 wanajaribu kumuuattach na Mufti
Sasa nakushauri jaribu kutumia akili zako ulizojaliwa na Mungu kuliko kusubiri kuambiwa na kina Mufti maana utachelewa sana!!Sijamsikia akisema lolote.
Ndio kwano uongo?na bado unaamini hivo?