Rais Mwinyi awakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319

Rais Mwinyi awakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319

T
Kwa Tanzania yeye ni makamu wa kwanza wa Rais, yuko juu ya makamu wa Rais kiitifaki. Pia ni miongoni mwa wajumbe wa baraza la mawaziri, na anafanya kazi yoyote alivyoagizwa na Rais wa Tanzania nzima.
Kimamlaka anaanza Rais, anakuja Rais wa Znz halafu ndio makamu wa Rais
Tumia akili yako VIZURI, ingekuwa hivyo angemrithi magufuli.
 
Wazenji watu wa hovyo sana wamepanga kuharibu na kuiba Tanganyika muda sana na sasa wanafanya ujambazi huku Tanganyika, wazenji wote akili matope

Be honest, kati ya sisi wabongo wengi kwa idadi, na wao wazenji wachache wanaotupelekesha kwenye muungano miaka kadhaa, na sasa wameanza kututawala na kuuza rasilimali zetu, nani akili matope?
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema nchi imeandika historia mpya kwa kuwakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319 ambao wameishi nchini kwa zaidi ya miaka 50 wakiwa na asili ya mataifa jirani ya Burundi, Comoro, Msumbiji na Rwanda.

Rais Dk.Mwinyi amesema hayo leo tarehe 05 Septemba 2023 katika hafla ya kukabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania kundi la Wahamiaji wasiohamishika Ikulu, Zanzibar.

Aidha, Rais Dk.Mwinyi amefurahishwa kutekelezwa ahadi yake aliyoitoa baada ya kuingia madarakani mwaka 2020 kwa kumalizika zoezi hilo na kuwafanya watambulike kuwa Raia wa Tanzania badala ya Wahamiaji wasiohamishika.

Vilevile, Rais Dk.Mwinyi ametoa wito kwa Idara ya Uhamiaji nchini kuziimarisha sheria zilizopo hususani sheria ya uraia wa Tanzania kwa kuwa sheria hii haijafanyiwa mapitio kwa kipindi kirefu kwa madhumuni ya kuiwezesha kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowahusu wananchi na wageni wanaofika nchini.

View attachment 2739721
Rais wa Zanzibar anapata wapi mamlaka ya kugawa uraia wa Tanzania kwa watu? Au umekosea ni kuwa rais wa Zanzibar.
Wataalamu kama kweli amefanya hayo haijavunja katiba yetu?
 
Kwa Tanzania yeye ni makamu wa kwanza wa Rais, yuko juu ya makamu wa Rais kiitifaki. Pia ni miongoni mwa wajumbe wa baraza la mawaziri, na anafanya kazi yoyote alivyoagizwa na Rais wa Tanzania nzima.
Kimamlaka anaanza Rais, anakuja Rais wa Znz halafu ndio makamu wa Rais
Alikuwa wapi asiapishwe kuwa rais wa JMT alipofariki Shujaa?
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema nchi imeandika historia mpya kwa kuwakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319 ambao wameishi nchini kwa zaidi ya miaka 50 wakiwa na asili ya mataifa jirani ya Burundi, Comoro, Msumbiji na Rwanda.

Rais Dk.Mwinyi amesema hayo leo tarehe 05 Septemba 2023 katika hafla ya kukabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania kundi la Wahamiaji wasiohamishika Ikulu, Zanzibar.

Aidha, Rais Dk.Mwinyi amefurahishwa kutekelezwa ahadi yake aliyoitoa baada ya kuingia madarakani mwaka 2020 kwa kumalizika zoezi hilo na kuwafanya watambulike kuwa Raia wa Tanzania badala ya Wahamiaji wasiohamishika.

Vilevile, Rais Dk.Mwinyi ametoa wito kwa Idara ya Uhamiaji nchini kuziimarisha sheria zilizopo hususani sheria ya uraia wa Tanzania kwa kuwa sheria hii haijafanyiwa mapitio kwa kipindi kirefu kwa madhumuni ya kuiwezesha kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowahusu wananchi na wageni wanaofika nchini.

View attachment 2739721
Wahamiaji wasiohamishika je hao watu ni nyumba, miti, mito au majabali ardhini?Kisiju mpaka mjini magharibi
 
Wazenji watu wa hovyo sana wamepanga kuharibu na kuiba Tanganyika muda sana na sasa wanafanya ujambazi huku Tanganyika, wazenji wote akili matope
Sasa hapo wa hovyo na akili matope ni yupi Anaekubali kuongonzwa na mtu wa ovyo na Akili matope yeye ni wa hovyo na Akili matope zaidi pole sana
 
Rais wa Zanzibar anapata wapi mamlaka ya kugawa uraia wa Tanzania kwa watu? Au umekosea ni kuwa rais wa Zanzibar.
Wataalamu kama kweli amefanya hayo haijavunja katiba yetu?
Rais wa Zanzibar hajachaguliwa na watanzania Bali wazanzibar. Tanzania ni muungano wa tanganyika na Zanzibar hivyo Hana mamlaka ya kutoa uraia wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom