imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kwahiyo Kinana anahusika?Hapo wanalenga kuwabeba waarabu na wasomali wanahamia kiharamia TANGANYIKA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Kinana anahusika?Hapo wanalenga kuwabeba waarabu na wasomali wanahamia kiharamia TANGANYIKA
Huyo kawapa uraia wa Zanzibar sio Tanzania ifahamike hivyo, hao mbuzi muda si mrefu wanahamishiwa huku Tanganyika
Tumia akili yako VIZURI, ingekuwa hivyo angemrithi magufuli.Kwa Tanzania yeye ni makamu wa kwanza wa Rais, yuko juu ya makamu wa Rais kiitifaki. Pia ni miongoni mwa wajumbe wa baraza la mawaziri, na anafanya kazi yoyote alivyoagizwa na Rais wa Tanzania nzima.
Kimamlaka anaanza Rais, anakuja Rais wa Znz halafu ndio makamu wa Rais
Amefanya kosa la jinai. Hivi hana washauri wanasheria?uzanzibari au uraia wa Tanzania, kwanini asiwe Samia ndio wa kutoa vyeti hivyo? yeye ana mamlaka gani kwa Tanzania?
"MBUZI" ?Huyo kawapa uraia wa Zanzibar sio Tanzania ifahamike hivyo, hao mbuzi muda si mrefu wanahamishiwa huku Tanganyika
NdiooooooooooJapo siipendi CCM, lakini nawaonea wivu sana wazanzibari kwa huyu kiongozi waliyenae.
Wenzao huku tuna debe tupu kabisa.
Kwani wazambirab no watamganyikaHapo wanalenga kuwabeba waarabu na wasomali wanahamia kiharamia TANGANYIKA
MushkaJapo siipendi CCM, lakini nawaonea wivu sana wazanzibari kwa huyu kiongozi waliyenae.
Wenzao huku tuna debe tupu kabisa.
Wazenji watu wa hovyo sana wamepanga kuharibu na kuiba Tanganyika muda sana na sasa wanafanya ujambazi huku Tanganyika, wazenji wote akili matope
Rais wa Zanzibar anapata wapi mamlaka ya kugawa uraia wa Tanzania kwa watu? Au umekosea ni kuwa rais wa Zanzibar.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema nchi imeandika historia mpya kwa kuwakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319 ambao wameishi nchini kwa zaidi ya miaka 50 wakiwa na asili ya mataifa jirani ya Burundi, Comoro, Msumbiji na Rwanda.
Rais Dk.Mwinyi amesema hayo leo tarehe 05 Septemba 2023 katika hafla ya kukabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania kundi la Wahamiaji wasiohamishika Ikulu, Zanzibar.
Aidha, Rais Dk.Mwinyi amefurahishwa kutekelezwa ahadi yake aliyoitoa baada ya kuingia madarakani mwaka 2020 kwa kumalizika zoezi hilo na kuwafanya watambulike kuwa Raia wa Tanzania badala ya Wahamiaji wasiohamishika.
Vilevile, Rais Dk.Mwinyi ametoa wito kwa Idara ya Uhamiaji nchini kuziimarisha sheria zilizopo hususani sheria ya uraia wa Tanzania kwa kuwa sheria hii haijafanyiwa mapitio kwa kipindi kirefu kwa madhumuni ya kuiwezesha kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowahusu wananchi na wageni wanaofika nchini.
View attachment 2739721
Subiria panya ana mwisho sakafuni huyo Bibi hamna kitu hapoBe honest, kati ya sisi wabongo wengi kwa idadi, na wao wazenji wachache wanaotupelekesha kwenye muungano miaka kadhaa, na sasa wameanza kututawala na kuuza rasilimali zetu, nani akili matope?
😃😅😄😀😁😂😆😆Japo siipendi CCM, lakini nawaonea wivu sana wazanzibari kwa huyu kiongozi waliyenae.
Wenzao huku tuna debe tupu kabisa.
Alikuwa wapi asiapishwe kuwa rais wa JMT alipofariki Shujaa?Kwa Tanzania yeye ni makamu wa kwanza wa Rais, yuko juu ya makamu wa Rais kiitifaki. Pia ni miongoni mwa wajumbe wa baraza la mawaziri, na anafanya kazi yoyote alivyoagizwa na Rais wa Tanzania nzima.
Kimamlaka anaanza Rais, anakuja Rais wa Znz halafu ndio makamu wa Rais
Wahamiaji wasiohamishika je hao watu ni nyumba, miti, mito au majabali ardhini?Kisiju mpaka mjini magharibiRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema nchi imeandika historia mpya kwa kuwakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319 ambao wameishi nchini kwa zaidi ya miaka 50 wakiwa na asili ya mataifa jirani ya Burundi, Comoro, Msumbiji na Rwanda.
Rais Dk.Mwinyi amesema hayo leo tarehe 05 Septemba 2023 katika hafla ya kukabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania kundi la Wahamiaji wasiohamishika Ikulu, Zanzibar.
Aidha, Rais Dk.Mwinyi amefurahishwa kutekelezwa ahadi yake aliyoitoa baada ya kuingia madarakani mwaka 2020 kwa kumalizika zoezi hilo na kuwafanya watambulike kuwa Raia wa Tanzania badala ya Wahamiaji wasiohamishika.
Vilevile, Rais Dk.Mwinyi ametoa wito kwa Idara ya Uhamiaji nchini kuziimarisha sheria zilizopo hususani sheria ya uraia wa Tanzania kwa kuwa sheria hii haijafanyiwa mapitio kwa kipindi kirefu kwa madhumuni ya kuiwezesha kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowahusu wananchi na wageni wanaofika nchini.
View attachment 2739721
Sasa hapo wa hovyo na akili matope ni yupi Anaekubali kuongonzwa na mtu wa ovyo na Akili matope yeye ni wa hovyo na Akili matope zaidi pole sanaWazenji watu wa hovyo sana wamepanga kuharibu na kuiba Tanganyika muda sana na sasa wanafanya ujambazi huku Tanganyika, wazenji wote akili matope
Rais wa Zanzibar hajachaguliwa na watanzania Bali wazanzibar. Tanzania ni muungano wa tanganyika na Zanzibar hivyo Hana mamlaka ya kutoa uraia wa Tanzania.Rais wa Zanzibar anapata wapi mamlaka ya kugawa uraia wa Tanzania kwa watu? Au umekosea ni kuwa rais wa Zanzibar.
Wataalamu kama kweli amefanya hayo haijavunja katiba yetu?