Rais Mwinyi awakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319

Rais Mwinyi awakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema nchi imeandika historia mpya kwa kuwakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319 ambao wameishi nchini kwa zaidi ya miaka 50 wakiwa na asili ya mataifa jirani ya Burundi, Comoro, Msumbiji na Rwanda.

Rais Dk.Mwinyi amesema hayo leo tarehe 05 Septemba 2023 katika hafla ya kukabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania kundi la Wahamiaji wasiohamishika Ikulu, Zanzibar.
Naamini hapa alichofanya ni kuwalabidhi tuu, lakini uraia wa JMT unatolewa na rais wa JMT. Uwezo wa Mwinyi ni kutoa tuu ukaazi wa Zanzibar na sio uraia wa JMT.
P
 
Hahaha mi nasema mijitu ya bara ni washamba na wezi,wanajifanya wazalendo kisa kazaliwa porini huko na kukulia kwenye shida. Watu wa bara ukiachana na wapwani wengi hawana exposure hata asome vipi. Watu washamba sana Tanzania ila tatizo ni elimu walinyimwa toka zamani.
Wewe una elimu gani pumbavu?Zanzibar kuna majiji magapi kama mmesoma?Kuna Vyuo vikuu vingapi pumbavu?Kuna makabila mangapi pumbavu?Zanzibar inazidiwa hata na Mkoa wa Mara ndiyo maana ubaguzi umeshamiri sana huko.
 
Hahaha mi nasema mijitu ya bara ni washamba na wezi,wanajifanya wazalendo kisa kazaliwa porini huko na kukulia kwenye shida. Watu wa bara ukiachana na wapwani wengi hawana exposure hata asome vipi. Watu washamba sana Tanzania ila tatizo ni elimu walinyimwa toka zamani.
We choko wa zenji ndo umesoma madrasa
 
Hahaha mi nasema mijitu ya bara ni washamba na wezi,wanajifanya wazalendo kisa kazaliwa porini huko na kukulia kwenye shida. Watu wa bara ukiachana na wapwani wengi hawana exposure hata asome vipi. Watu washamba sana Tanzania ila tatizo ni elimu walinyimwa toka zamani.
Acha ubaguzi ndugu.
 
Tatizo ni waandishi, Zanzibar sio nchi hivyo hakuna raia wa Zanzibar, na kwenye set up ya muungano, Rais wa Zanzibar is nobody hivyo hawezi kutoa uraia kwa yeyote!.
P
Kuna mawasiliano Ikulu mbona haikufanya masahihisho?

Ikiwa habari zitaachwa lose kama ilivyo huoni ni jambo la hatari sana. Hivi mwandishi angeandika '' Rais Mwinyi adai kuvunja Muungano'' je inheachwa tu kama ilivyo.
 
Kuna mawasiliano Ikulu mbona haikufanya masahihisho?

Ikiwa habari zitaachwa lose kama ilivyo huoni ni jambo la hatari sana. Hivi mwandishi angeandika '' Rais Mwinyi adai kuvunja Muungano'' je inheachwa tu kama ilivyo.
Stori imeripotiwa vizuri tuu, rais Mwinyi amekabidhi hati za uraia, kwa niaba ya rais wa JMT, au ni amekabidhi hati za ukaazi wa Zanzibar.
P
 
Stori imeripotiwa vizuri tuu, rais Mwinyi amekabidhi hati za uraia, kwa niaba ya rais wa JMT, au ni amekabidhi hati za ukaazi wa Zanzibar.
P
Pascal please! Hakuna mahali imesemwa kwa niaba ya Rais wa JMT wala hakuna mahali imeandikwa kitambulisho cha Ukaazi. Kilichoandikwa kipo Bandiko #1 pale juu
 
Back
Top Bottom