Mwinyi ni Mzanzibara harafwu hao warundi wa burundi na rwanda ni jamaa zenu ,hilo kwenu jipya ila Zanzibar wapo mpaka wachina ambao ni raia wa Tanzania visiwani,tena Pemba mjini Mkowani na wapo wanaishi na wenyeji vizuri tu,uzanzibari au uraia wa Tanzania, kwanini asiwe Samia ndio wa kutoa vyeti hivyo? yeye ana mamlaka gani kwa Tanzania?
Unguja wapo wachina ukisikia wachina Tambi wapo tokea enzi za ukombozhi.
Ndio waZhanzhibari wakadai moja ya madai yao Raisi wa Zanzibar awe makamo wa kwanza wa Raisi,ila mmepangua kwa sababu mnazozitaka nyinyi na waZanzibari nao sasa wamekuja na kali zaidi,
Chaguweni Raisi wa Tanzania kila uchaguzi kutoka Tanganyika, (sawa sawa) by Tundu Lisu.
Wazenji wakifanya ya kufanya Raisi wenu kutoka Tanganyika hamalizi miaka mitatu wazenji wanarithi Uraisi.
Endeleeni na ubaya wenu wa kutompa nafasi Mzanzibari kugombea nafasi ya Uraisi wa Tanzania ,mjue mtakaemchagua anakalia kuti kavu.