imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Halafu hapohapo wanasema kuwa wametoka Burundi Comoro na Rwanda....Maana yake hawana pa kwenda
Je wanakuwa stateless kivipi? kwakweli mimi sina nia mbaya yoyote ninapenda Mwafrika aishi popote Afrika.