Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Nimesikitishwa na kauli za Rais wa Zanzibar juu ya mkandarasi aliyekuwa akijenga jengo la serikali huko Zanzibar.
Mwinyi naona kaingiza siasa kwenye kazi za kitaalam isivyo.
Kwa muonekano tu Mkandarasi na Consultant wanatoka Bara.
Sababu za kuwafuta hiyo contract haziko wazi, lakini tokana na maelezo ya Rais, ni mkadarasi kuomba kuongezewa muda kwa miezi sita!
Na Consulant eti alitakiwa kuongea kile Rais anapenda kusikia!
Ajabu sana hii. Nani asiyejua Zanzibar hakuna kokoto wala cement , wala mchanga, VYOTE VINATOKA BARA.
Kwa msimamo kama huu kwa nini makandarasi wa SGR na wale wa Bwawa la Umeme JNHP-Stieglers wasisimamshwe?
Tunaona kuna element ya siasa za Uzanzbari katika hili.
Mwinyi naona kaingiza siasa kwenye kazi za kitaalam isivyo.
Kwa muonekano tu Mkandarasi na Consultant wanatoka Bara.
Sababu za kuwafuta hiyo contract haziko wazi, lakini tokana na maelezo ya Rais, ni mkadarasi kuomba kuongezewa muda kwa miezi sita!
Na Consulant eti alitakiwa kuongea kile Rais anapenda kusikia!
Ajabu sana hii. Nani asiyejua Zanzibar hakuna kokoto wala cement , wala mchanga, VYOTE VINATOKA BARA.
Kwa msimamo kama huu kwa nini makandarasi wa SGR na wale wa Bwawa la Umeme JNHP-Stieglers wasisimamshwe?
Tunaona kuna element ya siasa za Uzanzbari katika hili.