Rais Mwinyi hapa umekosea sana, ‘contractors bashing’ unaifanya sehemu ya siasa

Rais Mwinyi hapa umekosea sana, ‘contractors bashing’ unaifanya sehemu ya siasa

Hii nchi ndomana haiendelei kwakutetea uzembe kama huu, mkandarasi kashachukua pesa lakini kazi hafanyi kama walivokubaliana mnataka bado achekewe tu? wakandarasi kama hawa ndomana miradi mingi inakufa watuwanaishia kupiga hela tu, Hongera rais Mwinyi kazia hapohapo ili iwe funzo kwawengine.
Unauhakika na kiasi alichochukua au na wewe unataka Watu wakuone umeandika Rais mwenyewe hakuwa na uhakika kama mkandarasi kalipwa au hakulipwa. Nadhani hakuna mwenye Data zozote mpaka sasa.
 
Mimi si shabikiwa mwendazake.Ila jiulize hivi viti
  • Je mkandarasi ana mkataba?
  • Mkataba unasemaje, kama mkandarasi amechelewesha kukabidhi mradi?
  • Msimamizi wa mradi yupo?
  • Ripoti zake msimamizi zimepitiwa?
  • Matatizo anapopitia mmkandarasi, je mwenye jengo( serikali) anayajua?
Kitendo cha Rais kutozingatia hata namna ya kumsimamisha mkandarasi, hii inatia hofu kuwa Rais analeta siasa kwenye proffessional jobs, alimradi ana madaraka ya kufukuza.
Inaelekea kuna minong’ono kwa mkandarasi kaletwa na Rais, kama alivyo kiri.Kwa hiyo Rais kaamua kumfukuza mkandarasi kwa madaraka aliyonayo, ili kuwafurahisha wananchi wake.

Nigamshangaa mkandarasi atakayechukja kazi za serikali ha Zanzibar akitoka huku bara kwa misingi hiyo.
Mkuu kwa kweli Uongozi wowote usipokuwa proffessional, mambo kama haya ya Rais Mwinyi ndiyo tutayaona mengi.

SGR na hata Bwawa la umeme Stiglaz wote wako nyuma ya muda kukamilisha miradi yao, hatuoni wanasiasa wakinyanyua midomo Na kuwafukuza Kazi.
Tunaloliona Zbar ni aibu.
 
Unatumia nguvu kubwa sana kutetea ujinga kenge wewe
Bro..!! Hata mwizi ana haki zake..!! Hao wakandarasi wana bodi zao ambazo zinawaangalia. ALichotakiwa kufanya Mwinyi, ni kuziagiza bodi hizo ziwakague hao wakandarasi na ikitokea wana kasoro, bodi ndo itoe adhabu..!!! Hapo wala hajatenda kitu inaitwa NATURAL JUSTICE.. mkandarasi hajapewa haki yake ya kusikilizwa
 
Hii nchi ndomana haiendelei kwakutetea uzembe kama huu, mkandarasi kashachukua pesa lakini kazi hafanyi kama walivokubaliana mnataka bado achekewe tu? wakandarasi kama hawa ndomana miradi mingi inakufa watuwanaishia kupiga hela tu, Hongera rais Mwinyi kazia hapohapo ili iwe funzo kwawengine.
Anatakiwa aadhibiwe na controller wake, siyo rais
 
Nimesikitishwa na kauli za Rais wa Zanzibar juu ya mkandarasi aliyekuwa akijenga jengo la serikali huko Zanzibar.

Mwinyi naona kaingiza siasa kwenye kazi za kitaalam isivyo.

Kwa muonekano tu Mkandarasi na Consultant wanatoka Bara.

Sababu za kuwafuta hiyo contract haziko wazi, lakini tokana na maelezo ya Rais, ni mkadarasi kuomba kuongezewa muda kwa miezi sita!

Na Consulant eti alitakiwa kuongea kile Rais anapenda kusikia!

Ajabu sana hii. Nani asiyejua Zanzibar hakuna kokoto wala cement , wala mchanga, VYOTE VINATOKA BARA.

Kwa msimamo kama huu kwa nini makandarasi wa SGR na wale wa Bwawa la Umeme JNHP-Stieglers wasisimamshwe?

Tunaona kuna element ya siasa za Uzanzbari katika hili.

View attachment 2294254
Huyu nae huwa hajiamini na mkurupukaji,eti anamuiga Jiwe 🤣🤣
 
True, when you come ti think of it, huyu hata katika awamu zote alizodumu, impact yake ni minimal.
Ni kama alikuwa kawekwa wekwa tu kwa infkuence ya Mzee Mwinyi.

Sasa yuko mwenyewe ndio tunaona vioja.
Anashindwa hata kumuiga dada yake ambae licha ya maneno meeengi na kutukanwa amesimamia msimamo wake na kile anachokiamini na mambo yanaenda..

Huyu angekuwa huku Bara kwa jinsi anavyokosa balance ya hisia si angekuwa anaendeshwa tuu hovyo na hisia..

Huyu Rais ni WA hivyo kashindwa ku define aina ya uongozi wake amekalia maigizo ya Mwendazake.
 
Rais yupo sahihi,toka lini Mwafrika anafuata sheria!!.Hakuna haki bila wajibu,ile ni kazi, serikali imetoa tenda na pesa na Mkandarasi lazima atimize.Hawa wakandarasi mnawatetea,si ndiyo awa wanatujengea Madaraja ya kuni kwa milioni 74.9(refer Rolya).
Rais pale anazo data zote,mule Kuna vibarua wa Eagle House wazee wa Kaunda suti wanakimbiza karai za zege.
 
KWENYE hili naona mwinyi amekosea na anaanza kulewa sifa na madaraka unamzuia mtu asifanye kazi visiwani wakati wewe umeishi bara miaka yote ? Baba mzazi ana ardhi dakawa morogoro nawewe una ardhi kingolwira morogoro nadhani nasisi tutaifishe hizi huku bara
 
Rais yupo sahihi,toka lini Mwafrika anafuata sheria!!.Hakuna haki bila wajibu,ile ni kazi, serikali imetoa tenda na pesa na Mkandarasi lazima atimize.Hawa wakandarasi mnawatetea,si ndiyo awa wanatujengea Madaraja ya kuni kwa milioni 74.9(refer Rolya).
Rais pale anazo data zote,mule Kuna vibarua wa Eagle House wazee wa Kaunda suti wanakimbiza karai za zege.
Wanasiasa wenye akili kama yako ni shida, ndio maana nchi haiendelei.
Unaajiri msimamizi na mshauri wako wa ujenzi halafu humsikilizi, mkandarasi humlipi kwa wakati, halafu unategemea mkandarasi afanye wonders.

Una akili za kukutosha kweli?
 
Nimesikitishwa na kauli za Rais wa Zanzibar juu ya mkandarasi aliyekuwa akijenga jengo la serikali huko Zanzibar.

Mwinyi naona kaingiza siasa kwenye kazi za kitaalam isivyo.

Kwa muonekano tu Mkandarasi na Consultant wanatoka Bara.

Sababu za kuwafuta hiyo contract haziko wazi, lakini tokana na maelezo ya Rais, ni mkadarasi kuomba kuongezewa muda kwa miezi sita!

Na Consulant eti alitakiwa kuongea kile Rais anapenda kusikia!

Ajabu sana hii. Nani asiyejua Zanzibar hakuna kokoto wala cement , wala mchanga, VYOTE VINATOKA BARA.

Kwa msimamo kama huu kwa nini makandarasi wa SGR na wale wa Bwawa la Umeme JNHP-Stieglers wasisimamshwe?

Tunaona kuna element ya siasa za Uzanzbari katika hili.

View attachment 2294254

Ni kawaida yetu Wabongo kufanya ubabaishaji, anywhere anytime! Tufike mahali tutambue kwamba kuna consequences za kushindwa kutimiza wajibu wetu.

Mwinyi ashikilie hapohapo, kwasababu punda haendi ila kwa mjeledi.
 
Ni kawaida yetu Wabongo kufanya ubabaishaji, anywhere anytime! Tufike mahali tutambue kwamba kuna consequences za kushindwa kutimiza wajibu wetu.

Mwinyi ashikilie hapohapo, kwasababu punda haendi ila kwa mjeledi.
Ninyi mataahira msiojua ndio mmezoea kuwaita waandishi wa habari ili kupata promo kwa kumfokea mkandarasi ilihali msimamizi yupo na mkataba upo.
Tumia mkataba kufukuza mkandarasi.

Sasa wewe mjinga kuna punda mkubwa zaidi SGR na Bwawa la umeme-Stiglaz.
Sijaona mwanasiasa kwenda kubweka pale na kumfukuza mkandarasi ilhali miradi yote imechelewa kukamilika.
 
Ninyi mataahira msiojua ndio mmezoea kuwaita waandishi wa habari ili kupata promo kwa kumfokea mkandarasi ilihali msimamizi yupo na mkataba upo.
Tumia mkataba kufukuza mkandarasi.

Sasa wewe mjinga kuna punda mkubwa zaidi SGR na Bwawa la umeme-Stiglaz.
Sijaona mwanasiasa kwenda kubweka pale na kumfukuza mkandarasi ilhali miradi yote imechelewa kukamilika.

Ni kawaida ya taahira kuwaona wenye akili timamu kuwa mataahira!

Kama hakufukuzwa kwa mujibu wa mkataba, aende mahakamani.

SGR na JNHPP zinaingiaje kwenye maswala ya Zanzibar? Unataka Mwinyi aje bara kushughulikia issues za projects za bara?
 
Ni kawaida ya taahira kuwaona wenye akili timamu kuwa mataahira!

Kama hakufukuzwa kwa mujibu wa mkataba, aende mahakamani.

SGR na JNHPP zinaingiaje kwenye maswala ya Zanzibar? Unataka Mwinyi aje bara kushughulikia issues za projects za bara?
Mikataba ya ujenzi serikali zote (Muungano na Zenj) ni kwa kutumia Standard Conditions of Contract.
Kama hilo somo hulijui au huelewi, elewa sasa.

Halafu ninyi mnaoshabikia wanasiasa kubweka badala ya kutumia akili na mikataba, ulizieni jinsi Serikali ilivyolizwa ka kufuta mikataba kinyemela.
 
Back
Top Bottom