Rais Mwinyi hapa umekosea sana, ‘contractors bashing’ unaifanya sehemu ya siasa

Rais Mwinyi hapa umekosea sana, ‘contractors bashing’ unaifanya sehemu ya siasa

Mikataba ya ujenzi serikali zote (Muungano na Zenj) ni kwa kutumia Standard Conditions of Contract.
Kama hilo somo hulijui au huelewe, elewa sasa.

Halafu ninyi mnaoshabikia wanasiasa kubweka badala ya kutumia akili na mikataba, ulizieni jinsi Serikali ilivyolizwa ka kufuta mikataba kinyemela.
Tatizo kubwa ni kwamba viongozi wengi hawana uelewa wa mikataba na sheria zake.
Huwa wanafikiri mradi wana madaraka makubwa wanaweza kufanya lolote.
Serikali ya Magufuli imeingia hasara kubwa kuwalipa makandarasi baada ya kuonekana walivunja mikataba bila kuzingatia sheria.
 
Mimi naona Mkandarasi anaejenga chini ya kiwango huyo ndio afukuzwe kwenye ukaguzi hawa wa muda kuzidi kidogo waongezewe kidogo ili wakamilishe na pia naona Serikali kwenye hizi kesi za kufukuzana wakienda huko kwenye mahakama zao tunashindwa sisi...mambo kama hayo wawepo wataalamu watoe ushauri kabla ya maamuzi..
 
Mikataba ya ujenzi serikali zote (Muungano na Zenj) ni kwa kutumia Standard Conditions of Contract.
Kama hilo somo hulijui au huelewe, elewa sasa.

Halafu ninyi mnaoshabikia wanasiasa kubweka badala ya kutumia akili na mikataba, ulizieni jinsi Serikali ilivyolizwa ka kufuta mikataba kinyemela.
Pana wale kajima sijui kesi ilitushinda huko USA inatakiwa tuwalipe ndege zetu haziwezi kwenda SA na kwingineko kwa sababu wahuni wakiamsha na kesi zao wamezishika ni vile Watanzania tunsahau haraka sana..
 
Tatizo kubwa ni kwamba viongozi wengi hawana uelewa wa mikataba na sheria zake.
Huwa wanafikiri mradi wana madaraka makubwa wanaweza kufanya lolote.
Serikali ya Magufuli imeingia hasara kubwa kuwalipa makandarasi baada ya kuonekana walivunja mikataba bila kuzingatia sheria.
Pimbi
 
So far, pamoja na matusi, fani unayoijua zaidi, umeonyesha just how inept you are.
Hujaonyesha mchango wowote wa maana katika mjadala.

Wanasaikolojia wanasema mtu mhusika na tukio baya anajitetea kwa aina hiyo ya kwako.
 
Pana wale kajima sijui kesi ilitushinda huko USA inatakiwa tuwalipe ndege zetu haziwezi kwenda SA na kwingineko kwa sababu wahuni wakiamsha na kesi zao wamezishika ni vile Watanzania tunsahau haraka sana..
Kuna vilaza wanafikiri unaweza kuamka asubuhi na kuliamsha tu kwa mkandarasi bila consequences.
Hata Fredericci , kampuni iliyofukuzwa na Magufuli walikwenda mahakamani na kushinda kesi.
Walilipwa kimya kimya.
 
Sijui ni kwa nini watu walio wengi hupenda kushabikia mtu akiumizwa!! Rais anao wasaidizi wengi tu, vipi arukie moja kwa moja kumfukuza mkandarasi? Nini kazi ya waziri,makatibu na wengine wengi tu. Hawa wakandarasi wamekuwa wahanga kwa makosa ya watendaji wengi serikalini, ni vile hawapewi nafasi ya kujieleza. Hutokea mkandarasi kukwamishwa na ukiritimba usio na maana na mwisho huonekana yeye ndiye tatizo.
 
Sijui ni kwa nini watu walio wengi hupenda kushabikia mtu akiumizwa!! Rais anao wasaidizi wengi tu, vipi arukie moja kwa moja kumfukuza mkandarasi? Nini kazi ya waziri,makatibu na wengine wengi tu. Hawa wakandarasi wamekuwa wahanga kwa makosa ya watendaji wengi serikalini, ni vile hawapewi nafasi ya kujieleza. Hutokea mkandarasi kukwamishwa na ukiritimba usio na maana na mwisho huonekana yeye ndiye tatizo.
Mkuu umeeleza kila kitu.
Linalo nikwaza ni Rais kuingia mtego wa cheap popularity at the expence of proffessioalism.
Kama alikuwa na nia ya kumtoa mkandarasi na consultant ,ili kuwafurahisha wapiga kura, bado upo utaratibu.
 
Mimi naona Mkandarasi anaejenga chini ya kiwango huyo ndio afukuzwe kwenye ukaguzi hawa wa muda kuzidi kidogo waongezewe kidogo ili wakamilishe na pia naona Serikali kwenye hizi kesi za kufukuzana wakienda huko kwenye mahakama zao tunashindwa sisi...mambo kama hayo wawepo wataalamu watoe ushauri kabla ya maamuzi..
Umenena vyema.
Hakuna anayetaka kazi mbovu na iliyo chini ya viwango.
Viwango hivyo vinakaguliwa na Consultant kwa niaba ya mwenye jengo au mradi.
Sasa mwenye mradi kaingia kukagua mwenyewe na sijui ripoti atatoa kwa nani wa chini yake, maana hata msimamizi katimuliwa!
 
Kwahiyo wewe ukiwa mkinga ukizaa mtoto uchagani mtoto anakuwa mchaga?
Anafuata wazazi wake, ndio maana na Yeye ni Mtanganyika kama Baba yake.

Na kwa kuwa analitambua hilo, which is very naturally, ndio maana alianza siasa kwa kugombea ubunge Mkuranga.
 
Back
Top Bottom