stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Ati kudai kodi za nyuma!
Ujinga TRA hauishi.
Wanavyofanya ndio njia ya wazi kukimbiza biashara, na sasa wameanzisha mtindo wa kublock na kuchukua-kupora fadha benki.
Hapo nani atawekeza?
Sheria za Kodi-TRA hata wao wenyewe hazielewi.
Kiufupi biashara zinafilisiwa mchana kweupe kwa kisingizio cha kodi cha nyuma.
kwahio ulitaka ubembelezwe kulipa kodi?