Rais Mwinyi ziarani China, Rais Samia ziarani Cuba

Rais Mwinyi ziarani China, Rais Samia ziarani Cuba

Terrible Teen

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2017
Posts
1,009
Reaction score
2,934
Rais Mwinyi ameondoka kulekea China kwenye ziara ya maonesho ya bidhaa mbalimbali, ikumbukwe last week alikuwa Doha Qatar kwenye kongamano la familia. Mhe. Rais Samia alikuwa Marekani kwenye kongamano la Kilimo, kwa sasa yupo Barbados visiwani akisubiri kwenda Cuba kwenye Kongamano la Kiswahili.

Mzee wangu Dr.Mpango yeye yupo kwake Mayamaya Dodoma.

Hivi kweli dhima ya hizo Ziara mnazielewa?
 
Rais Mwinyi ameondoka kulekea China kwenye ziara ya maonesho ya bidhaa mbalimbali, ikumbukwe last week alikuwa Doha Qatar kwenye kongamano la familia. Mhe. Rais Samia alikuwa Marekani kwenye kongamano la Kilimo, kwa sasa yupo Barbados visiwani akisubiri kwenda Cuba kwenye Kongamano la Kiswahili.

Mzee wangu Dr.Mpango yeye yupo kwake Mayamaya Dodoma.

Hivi kweli dhima ya hizo Ziara mnazielewa?
 

Attachments

  • Screenshot 2024-11-03 at 19.23.15.png
    Screenshot 2024-11-03 at 19.23.15.png
    2.3 MB · Views: 5
  • Screenshot 2024-11-03 at 19.23.03.png
    Screenshot 2024-11-03 at 19.23.03.png
    2.2 MB · Views: 5
Rais Mwinyi ameondoka kulekea China kwenye ziara ya maonesho ya bidhaa mbalimbali, ikumbukwe last week alikuwa Doha Qatar kwenye kongamano la familia. Mhe. Rais Samia alikuwa Marekani kwenye kongamano la Kilimo, kwa sasa yupo Barbados visiwani akisubiri kwenda Cuba kwenye Kongamano la Kiswahili.

Mzee wangu Dr.Mpango yeye yupo kwake Mayamaya Dodoma.

Hivi kweli dhima ya hizo Ziara mnazielewa?
Nyumba umeachiwa wewe. Wewe ziarani Bar ?
 
  • Thanks
Reactions: Gef
Rais Mwinyi ameondoka kulekea China kwenye ziara ya maonesho ya bidhaa mbalimbali, ikumbukwe last week alikuwa Doha Qatar kwenye kongamano la familia. Mhe. Rais Samia alikuwa Marekani kwenye kongamano la Kilimo, kwa sasa yupo Barbados visiwani akisubiri kwenda Cuba kwenye Kongamano la Kiswahili.

Mzee wangu Dr.Mpango yeye yupo kwake Mayamaya Dodoma.

Hivi kweli dhima ya hizo Ziara mnazielewa?
Wakiondoka wote unataka nchi iachiwe na nani? Mpango lazima awe standby kama kuna hafla ya uzinduzi au kua mgeni rasmi kwenye sherehe atamuakilisha raisi, hivi kassimu majaliwa yeye iko wapi?
 
Cuba hii ya sasa? Ujamaa ulishakufa zamani
 
Rais Mwinyi ameondoka kulekea China kwenye ziara ya maonesho ya bidhaa mbalimbali, ikumbukwe last week alikuwa Doha Qatar kwenye kongamano la familia. Mhe. Rais Samia alikuwa Marekani kwenye kongamano la Kilimo, kwa sasa yupo Barbados visiwani akisubiri kwenda Cuba kwenye Kongamano la Kiswahili.

Mzee wangu Dr.Mpango yeye yupo kwake Mayamaya Dodoma.

Hivi kweli dhima ya hizo Ziara mnazielewa?
Hahqhwh mayamayama ndio wapi tena ? Ziara ni nzuri sema zinahitaji assessment kujua return yake kabla ya kuchoma hela and also follow up za kutosha kuhakikisha malengo yanafikiwa...Ziara ni kama Sales & Markerting tu .... Usipofuatilia hakuna mtu atakuletea mlangoni..
 
Rais Mwinyi ameondoka kulekea China kwenye ziara ya maonesho ya bidhaa mbalimbali, ikumbukwe last week alikuwa Doha Qatar kwenye kongamano la familia. Mhe. Rais Samia alikuwa Marekani kwenye kongamano la Kilimo, kwa sasa yupo Barbados visiwani akisubiri kwenda Cuba kwenye Kongamano la Kiswahili.

Mzee wangu Dr.Mpango yeye yupo kwake Mayamaya Dodoma.

Hivi kweli dhima ya hizo Ziara mnazielewa?
Saa100 apande Ethiopian, ningeshukuru sana.
 
Rais Mwinyi ameondoka kulekea China kwenye ziara ya maonesho ya bidhaa mbalimbali, ikumbukwe last week alikuwa Doha Qatar kwenye kongamano la familia. Mhe. Rais Samia alikuwa Marekani kwenye kongamano la Kilimo, kwa sasa yupo Barbados visiwani akisubiri kwenda Cuba kwenye Kongamano la Kiswahili.

Mzee wangu Dr.Mpango yeye yupo kwake Mayamaya Dodoma.

Hivi kweli dhima ya hizo Ziara mnazielewa?
Matumizi mabaya ya mali za umma
 
Back
Top Bottom