brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
Safari 7 za sindbad.Rais Mwinyi ameondoka kulekea China kwenye ziara ya maonesho ya bidhaa mbalimbali, ikumbukwe last week alikuwa Doha Qatar kwenye kongamano la familia. Mhe. Rais Samia alikuwa Marekani kwenye kongamano la Kilimo, kwa sasa yupo Barbados visiwani akisubiri kwenda Cuba kwenye Kongamano la Kiswahili.
Mzee wangu Dr.Mpango yeye yupo kwake Mayamaya Dodoma.
Hivi kweli dhima ya hizo Ziara mnazielewa?
Mamaee...tutaita mma...Rais Mwinyi ameondoka kulekea China kwenye ziara ya maonesho ya bidhaa mbalimbali, ikumbukwe last week alikuwa Doha Qatar kwenye kongamano la familia. Mhe. Rais Samia alikuwa Marekani kwenye kongamano la Kilimo, kwa sasa yupo Barbados visiwani akisubiri kwenda Cuba kwenye Kongamano la Kiswahili.
Mzee wangu Dr.Mpango yeye yupo kwake Mayamaya Dodoma.
Hivi kweli dhima ya hizo Ziara mnazielewa?
Naunga mkono hoja, Zanzibar iwe na free port kama Dubai Zanzibar Kama Dubai, Hazina Sovereignty, - No Capacity to International Treaty, Kama Tumeingia Mkataba na Dubai, Kwanini Zanzibar Izuiwe Kujinga OIC?!Lazima Zanzibar iwe kama Dubai.
Swali ni wapi? Then kwamba anafanya nini ama kuchapa kazi gani huko, litafuatia."Yupo anachapa kazi"
Team 'Waswahili. Kama Taifa tumeliwa....'Rais Mwinyi ameondoka kulekea China kwenye ziara ya maonesho ya bidhaa mbalimbali, ikumbukwe last week alikuwa Doha Qatar kwenye kongamano la familia. Mhe. Rais Samia alikuwa Marekani kwenye kongamano la Kilimo, kwa sasa yupo Barbados visiwani akisubiri kwenda Cuba kwenye Kongamano la Kiswahili.
Mzee wangu Dr.Mpango yeye yupo kwake Mayamaya Dodoma.
Hivi kweli dhima ya hizo Ziara mnazielewa?