Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Wakuu wa Majeshi/Vyombo vya Usalama hawapo kwenye huu mlolongo! Soma post No. 17Waziri Mkuu
Asipokuepo yeye pia Naibu wake asipokuepo na yeye anaebakia kusimamia ni Spika wa Bunge akiwa hayupo na yeye Naibu wake akiwa hayupo na yeye Mkuu wa Majeshi ndio anachukua nafasi km yeye hayupo pia anachukua anaemfuatia mwenye nyota 3
Uliza swali lingine