Hapana, ikiwa Rais na Makamu hawapo nchi itaongozwa na spika wa bunge na kama HAYUPO nchi itaongozwa na judge mkuu.,... Waziri mkuu hajatajwa kwenye katiba...hiyo nilisomaga zamani kwenye SoMo la siasa darasa la nne ama la tatuMbona Katiba ipo wazi!
Rais
Makamu wa Rais
Waziri Mkuu
Naibu Waziri Mkuu (Kwasasa)
Spika wa Bunge
Mwanasheria Mkuu wa Serikali