Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mimi niliomba vocha ya kilimo nikalime nyama.Inatosha.Endelea kugombea na kule kwenye Vocha pia unagombea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi niliomba vocha ya kilimo nikalime nyama.Inatosha.Endelea kugombea na kule kwenye Vocha pia unagombea
😟😒Rais wa nchi ya watu wa Zanzibar.
Kasome Katiba ya Nchi yakoShida hawa vijana wanachanganywa na Mamlaka ya umma. Mamlaka ya umma hata mtoto aliemaliza Form IV akijiingiza kwenye Siasa anaweza kuteuliwa kushika uongozi wa kichama au kitaifa kama vile mkuu wa wilaya na kuendelea ni tofauti na vyeo vya majeshi.
Hujaeleweka ulichokiongelea/uliemuongelea!Kasome Katiba ya Nchi yako
Halafu unataka katiba mpyaTutakumbukaje mambo ya miaka zaidi ya 40 iliyopita?
Kwa Bantu Lady au ?Mimi niliomba vocha ya kilimo nikalime nyama.Inatosha.
Yatajiseti hapohapo jua likitoroka.Kwa Bantu Lady au ?
Au alikupa Vincenzo Jr ?Yatajiseti hapohapo jua likitoroka.
Hapana.Ngoja tuone.Au alikupa Vincenzo Jr ?
Sasa ndio nimekwambia tafuta hotuba ya Mobeyo umsikilize upya, halafu naona ananisumbua tu hapa kuna kitu huelewi unabidi uelekezwe na BakoraHujaeleweka ulichokiongelea/uliemuongelea!
Kwa taarifa yako tu, nazijua chapters zote 10 za Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Iweke hapa hiyo video, maana wewe ndio una hoja. Unaweza kusikilizwa.Sasa ndio nimekwambia tafuta hotuba ya Mobeyo umsikilize upya, halafu naona ananisumbua tu hapa kuna kitu huelewi unabidi uelekezwe na Bakora
Bila shaka,ni Bantu Leide!
Wewe inabidi uelekezwe na fimbo za mianzi hivi hivi hauwezi kuelewa nenda kule juu kasome tena nilichoandika mpaka nilipofika kwa Mkuu wa Majeshi alafu soma tena maana naweza nikawa nabishana na mtu ana D1Iweke hapa hiyo video, maana wewe ndio una hoja. Unaweza kusikilizwa.
Ndio alikupa Vocha ya kilimo cha Matikiti?Bila shaka,ni Bantu Leide!
Katiba ipi ?Spika kikatiba
WM kimajukumu
Swaadaktaaa.Nchi ya ujamaa wa kutumia vya wote na kujitegemea kupalilia mashamba ya njegere.Ndio alikupa Vocha ya kilimo cha Matikiti?
Kama hayupo mwenye nyota 1 anafuatia asiye na nyota.Waziri Mkuu
Asipokuepo yeye pia Naibu wake asipokuepo na yeye anaebakia kusimamia ni Spika wa Bunge akiwa hayupo na yeye Naibu wake akiwa hayupo na yeye Mkuu wa Majeshi ndio anachukua nafasi km yeye hayupo pia anachukua anaemfuatia mwenye nyota 3 km na yeye hayupo anachukua anaemfuatia mwenye nyota 2 km na yeye hayupo anachukua anaemfuatia mwenye nyota 1
Uliza swali lingine
Spika kikatiba
WM kimajukumu