stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Na kuiweka kwenye Usalama maana ikitokea Wote hao hawapo basi Nchi haipo Salama hahaha hujaelewa nini rudi kasome upya utanielewa Ila uwe na B2Atapindua nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuiweka kwenye Usalama maana ikitokea Wote hao hawapo basi Nchi haipo Salama hahaha hujaelewa nini rudi kasome upya utanielewa Ila uwe na B2Atapindua nchi
Mim najua ulichokiandika.Mtu mwingine ukimuandika tu nyota 1,2,3...atajua ni luteni usu,luteni,kepteni au asstnt inspector,inspector na ASP nk.Sijui umenipata?Nyota 4
Nyota 3
Nyota 2
Nyota 1
Unataka kujifunza nini?
Makinda alishakaimu hiyo nafasi mara kadhaa enzi za Profesa1. Naomba kujuzwa utaratibu wa kikatiba unasemaje endapo Rais na Makamu wa Rais wanapokua nje ya nchi Kwa wakati mmoja. Ni Nani Anakaimu nafasi ya Rais Kwa Katiba ya Sasa?
3. Jibu Kwa kutaja kifungu cha Katiba iliyopo, usijibu kama upo vilingeni.
Zee la mapigo "taff" (tough)ya bakora za vichwa?😂Nduga
Yaan ni hivi :Mim najua ulichokiandika.Mtu mwingine ukimuandika tu nyota 1,2,3...atajua ni luteni usu,luteni,kepteni nk.Sijui umenipata?
Haiwezekani hao wote wasiwepo to that extentNa kuiweka kwenye Usalama maana ikitokea Wote hao hawapo basi Nchi haipo Salama hahaha hujaelewa nini rudi kasome upya utanielewa Ila uwe na B2
Ndiyo kilichotakiwa.Yaan ni hivi :
1. Nyota 4 >> Generali
2. Nyota 3 >> Luteni Generali
3. Nyota 2 >> Meja Generali
4. Nyota 1 >> Brigadia Generali
Ndio maana nikasema soma tena utanielewa na ikitokea hivyo basi Nchi haipo Salama Mkuu wa Majeshi lazima lazima lazima eeh au basiHaiwezekani hao wote wasiwepo to that extent
Asipokaa mtu kwa umakini zitapigwa ile ngumu.😎Taratibu Sasa msigombane 🤔
Hapo kwa Jaji Mkuu umekula bonge la Mkasi anafuata Naibu Spika akiwa hayupo maana yake Nchi haipo Salama Mkuu wa Majeshi anachukua NchiHapana ....
1. Raisi
2. Makamu wa Raisi
3. Waziri Mkuu
4. Naibu Waziri Mkuu
5. Spika wa Bunge
6. Jaji Mkuu
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Watoto wa siku hizi mu-wavivu sana kujitafutia materials.1. Naomba kujuzwa utaratibu wa kikatiba unasemaje endapo Rais na Makamu wa Rais wanapokua nje ya nchi Kwa wakati mmoja. Ni Nani Anakaimu nafasi ya Rais Kwa Katiba ya Sasa?
3. Jibu Kwa kutaja kifungu cha Katiba iliyopo, usijibu kama upo vilingeni.
Kuna mtu namuona kwenye Kona ameshika jiwe, kusubiri atakae jichanganyaAsipokaa mtu kwa umakini zitapigwa ile ngumu.😎
Spika... Ndo maana Mzee wa Kongwa akaingia Tamaa baada ya Shujaa kukata moto1. Naomba kujuzwa utaratibu wa kikatiba unasemaje endapo Rais na Makamu wa Rais wanapokua nje ya nchi Kwa wakati mmoja. Ni Nani Anakaimu nafasi ya Rais Kwa Katiba ya Sasa?
3. Jibu Kwa kutaja kifungu cha Katiba iliyopo, usijibu kama upo vilingeni.
Andaa machela au mbeleko.Maana ni shida sana.Kuna mtu namuona kwenye Kona ameshika jiwe, kusubiri atakae jichanganya
Rais wa nchi ya watu wa Zanzibar.
😃😃 Hapa tax bega inatoshaAndaa machela au mbeleko.Maana ni shida sana.
Kwa nini uite ngumbaru.Au huamini kama SSH ni rais?Chekecha upya.Au haukusikia alipokua anatangaza kifo kule Tanga?Ona akili za Ngumbaru huyu. Aibu yako