Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nikasema kwa Tanzania hata rais akiwa nje ya nchi hakuna anayeachiwa nchi japo ilitakiwa iwe hivyo kikatiba ila haifanyiki !Hii siyo ya Tanzania ?
37. Lakini kumbe nilikuwa nasoma ya mwaka 2000 ambayo kuna baadhi ya vifungu vya 1992 & 94 vimefanyiwa marekebisho. Dah!!Chimfungu cha ngapi cha katiba
Ni kweli mbaya zaidi baadhi ya Taasisi za umma zimeweka kwenye tovuti zao Katiba toleo la 1995 badala ya latest edition ya 2010.Nilikuwa nasoma Katiba ya 2000, sikuangalia vizuri kumbe ndani yake kuna vifungu vya 1992 & 94 vilivyofanyiwa marekebisho.
Hizo taasisi ndio zimetufikisha hapa tulipo. Pole sanaNi kweli mbaya zaidi baadhi ya Taasisi za umma zimeweka kwenye tovuti zao Katiba toleo la 1995 badala ya latest edition ya 2010.
Mfano wa Taasisi zilizoweka katiba toleo la zamani.
1. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
2. Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Baadhi ya Tovuti hazina kabisa katiba kwenye machapisho yake.
Katiba iko wazi ambacho hakiwekwi wazi ni hiyo taarifa kuwa majukumu ya Rais yatakuwa chini ya nani.Ndio maana nikasema kwa Tanzania hata rais akiwa nje ya nchi hakuna anayeachiwa nchi japo ilitakiwa iwe hivyo kikatiba ila haifanyiki !
Ndio maana nikaweka hiyo picha kwa hao wenzetu unaona kabisa ipo kimaandishi majukumu ya rais yatatekelezwa na makamu wake ambaye.
Hivi kwann tunapenda kuficha ficha mambo ya kawaida kama hayo?Katiba iko wazi ambacho hakiwekwi wazi ni hiyo taarifa kuwa majukumu ya Rais yatakuwa chini ya nani.
Taasisi zetu nyingi ni haziweki taarifa sahihi kwenye Tovuti zake.Hizo taasisi ndio zimetufikisha hapa tulipo. Pole sana
Watanzania wengi hawapendi kufuata taratibuHivi kwann tunapenda kuficha ficha mambo ya kawaida kama hayo?
Katiba bado inasema ni spika, ndio maana nikasema kikatiba ni spika lakini uhasilia na kimajukumu ni WM(waziri mkuu)..utaratibu wa Spika kukaimu uliondolewa wakati wa Rais Mkapa.
..walikuja kupitisha sheria ya Waziri Mkuu kukaimu ikiwa Rais, na Makamu, hawapo.
Una mwanasheria?Ataachiwa Abdul 😹
Ndio watu walikuwa na plan zao.Leo ndio nimeelewa kosa la bashiru ni nini?
Jamaa alipaswa kuwa jela. Kosa lake lilikua waziNdio watu walikuwa na plan zao.
Ndio mtu wa kwanza kabisa kutenguliwa na mama Abdul.
Ni spika wa bunge mkuu1. Naomba kujuzwa utaratibu wa kikatiba unasemaje endapo Rais na Makamu wa Rais wanapokua nje ya nchi Kwa wakati mmoja. Ni Nani Anakaimu nafasi ya Rais Kwa Katiba ya Sasa?
3. Jibu Kwa kutaja kifungu cha Katiba iliyopo, usijibu kama upo vilingeni.