Rais na Makamu wasipokuwepo nchini Nani Anakaimu?

Rais na Makamu wasipokuwepo nchini Nani Anakaimu?

Katiba iko wazi ambacho hakiwekwi wazi ni hiyo taarifa kuwa majukumu ya Rais yatakuwa chini ya nani.
Na kwa kutokuwekwa wazi ndio lile ombwe alilosema liliwapata ex- CDF, IGP, DGTISS baada ya kuwa Magufuli amefariki hawakujua waanzie wapi kila mmoja ana jibu lake.

Je kama katiba ingekuwa inafuatwa Samia asingeenda Tanga na updates angezipata mapema kabla ya Majaliwa aliyekuwa anapewa updates kabla ya Samia.

Hivyo kama si busara za Mabeyo Tanzania ingekuwa ni military state kwa sasa.
 
1. Naomba kujuzwa utaratibu wa kikatiba unasemaje endapo Rais na Makamu wa Rais wanapokua nje ya nchi Kwa wakati mmoja. Ni Nani Anakaimu nafasi ya Rais Kwa Katiba ya Sasa?

3. Jibu Kwa kutaja kifungu cha Katiba iliyopo, usijibu kama upo vilingeni.
Ni spika wa bunge but kifungu mpaka nikarejee katiba kama unakumbuka way back jiwe katutoka moja ya mtu alikua anakinyemelea alikua kimbunga jobo
 
Jamaa alipaswa kuwa jela. Kosa lake lilikua wazi
Mtu akiwa katibu mkuu kiongozi ni almost kafika level za juu kiutumishi hivyo hupewa kofia "ubalozi" kama Kinga hii ndio pengine ilileta ugumu akaishia kushushwa hadi mbunge wa kuteuliwa bila kupangiwa ubalozi pengine mbeleni atatolewa ikiwa ni strategy ya kumuweka mbali na nchi kama alivyofanyiwa Polepole ili kupunguzwa makali.
 
Yeah nimeipata article no 37
 

Attachments

  • Screenshot_20240817-211610_WPS Office.jpg
    Screenshot_20240817-211610_WPS Office.jpg
    108.3 KB · Views: 3
Katiba hii unayotumia ni ya nchi gani ?
Tanzania, hata kile kifungu kilichofanyiwa marekebisho cha (3) 2 b na c bado kinamtambua km spika ndiye anayekaimu Ila shughuli za kiuongozi za serikali zitakuwa chini y’a Waziri mkuu..
 
Ukimsikiliza ex - CDF Mabeyo kwenye ile interview akizungumza kuhusu siku za mwisho mwisho za Magufuli katika uongozi hadi kifo utagundua yafuatayo.

Nchi itaachwa kuongozwa na rais aliyepo iwe ndani au nje ya nchi siku akifariki wakati yupo madarakani, kwa tafsiri nyepesi ni kuwa nchi kuanzia March 6 hadi 17 [ hii ni kwa walichoambiwa raia wa kawaida ] nchi haikuwa na rais maana haikuwa na rais kikatiba ila sababu hakuwa timamu kutekeleza majukumu yake sababu ya ugonjwa bali nchi alikuwa anaongoza mtu mwingine kabisa asiyekuwepo katika chain of command [ ndio hao ulioambiwa walitaka kupindua meza] ili aliyetakiwa kuwa anapewa updates na kupaswa kuwa karibu badala yake akapangiwa ziara mkoani!

Nimejibu kwa kifupi tu ila swali lako linakosa validity kwa sababu ya hilo jibu nililokupa kupitia ile interview.
Sasa alie mpangia ziara ni nani mkuu??? Wakati magu alikuwa tayari keshafariki!! Au swala la chain of command halipo kabisa?? Kama vice president unawezaje pangiwa majukumu na katibu mkuu kiongozi??
 
1. Naomba kujuzwa utaratibu wa kikatiba unasemaje endapo Rais na Makamu wa Rais wanapokua nje ya nchi Kwa wakati mmoja. Ni Nani Anakaimu nafasi ya Rais Kwa Katiba ya Sasa?

3. Jibu Kwa kutaja kifungu cha Katiba iliyopo, usijibu kama upo vilingeni.
Kwa mujibu wa katiba sura ya 3 i ibara 4(b) makonda nda anaachiwa nchi
 
Asante Mkuu. Swali ni kwa nn Mabeyo na Bashiru walijipenyeza kwenye maamuzi na hawajatajwa kikatiba?
Mkuu apo ni ignorance sasa. Japo pia tunaweza sema contingency approach inawez ikawa ilitumika pia. Japo mm najiuliza pia kuhusu la swala chain of command.

Ni nani alitoa majukumu kwa vice president aende ziara wakati mwenye dhamana hwyupo?? Kafa
 
Back
Top Bottom