Wakuu wa Majeshi/Vyombo vya Usalama hawapo kwenye huu mlolongo! Soma post No. 17Waziri Mkuu
Asipokuepo yeye pia Naibu wake asipokuepo na yeye anaebakia kusimamia ni Spika wa Bunge akiwa hayupo na yeye Naibu wake akiwa hayupo na yeye Mkuu wa Majeshi ndio anachukua nafasi km yeye hayupo pia anachukua anaemfuatia mwenye nyota 3
Uliza swali lingine
Lete kifungu tusomeWaziri Mkuu
Asipokuepo yeye pia Naibu wake asipokuepo na yeye anaebakia kusimamia ni Spika wa Bunge akiwa hayupo na yeye Naibu wake akiwa hayupo na yeye Mkuu wa Majeshi ndio anachukua nafasi km yeye hayupo pia anachukua anaemfuatia mwenye nyota 3 km na yeye hayupo anachukua anaemfuatia mwenye nyota 2 km na yeye hayupo anachukua anaemfuatia mwenye nyota 1
Uliza swali lingine
Ni kweli hiyo orodha hufuatwa kwa uuwiano wa aliyepo?Au Mabeyo hakueleweka vema?Mbona Katiba ipo wazi!
Rais
Makamu wa Rais
Waziri Mkuu
Naibu Waziri Mkuu (Kwasasa)
Spika wa Bunge
Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Katiba inafuatwa.Ni kweli hiyo orodha hufuatwa kwa uuwiano wa aliyepo?Au Mabeyo hakueleweka vema?
Hahaha Nchi inaongizwa kijeshi kasome Katiba tena upya ibara zote mwanzo mpaka Mwisho unafikiri anaitwa Amri Jeshi mkuu na anapewa nyota 5 kwanini? Jiulize mara 7Wakuu wa Majeshi/Vyombo vya Usalama hawapo kwenye huu mlolongo!
😅Hahahahaha, mie sina jibu zaidi ya uzembe wangu
Mkuu wa majeshi muondoe hapo,weka rais wa zanzibar,mkuu wa najeshi akikalia kike kiti hatokiWaziri Mkuu
Asipokuepo yeye pia Naibu wake asipokuepo na yeye anaebakia kusimamia ni Spika wa Bunge akiwa hayupo na yeye Naibu wake akiwa hayupo na yeye Mkuu wa Majeshi ndio anachukua nafasi km yeye hayupo pia anachukua anaemfuatia mwenye nyota 3 km na yeye hayupo anachukua anaemfuatia mwenye nyota 2 km na yeye hayupo anachukua anaemfuatia mwenye nyota 1
Uliza swali lingine
Mwanasheria hayupo hapo muondoe anafuata ni Naibu SpikaMbona Katiba ipo wazi!
Rais
Makamu wa Rais
Waziri Mkuu
Naibu Waziri Mkuu (Kwasasa)
Spika wa Bunge
Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Hahaha hautoki kivipi tena Mkuu?Mkuu wa majeshi muondoe hapo,weka rais wa zanzibar,mkuu wa najeshi akikalia kike kiti hatoki
Anaitwa Amiri Jeshi mkuu kwasababu yeye ndie mwenye uwezo wa mambo yafuatayo:Hahaha Nchi inaongizwa kijeshi kasome Katiba tena upya ibara zote mwanzo mpaka Mwisho unafikiri anaitwa Amri Jeshi mkuu na anapewa nyota 5 kwanini? Jiulize mara 7
Hapo kwenye "nyota" elezea vizuri. Kuna vijana watajua hata "afande muombeshaji maji" anaweza kuwa na hiyo nafasi.Haya ni maandishi na kuna wakumbushwao na wajifunzao.Waziri Mkuu
Asipokuepo yeye pia Naibu wake asipokuepo na yeye anaebakia kusimamia ni Spika wa Bunge akiwa hayupo na yeye Naibu wake akiwa hayupo na yeye Mkuu wa Majeshi ndio anachukua nafasi km yeye hayupo pia anachukua anaemfuatia mwenye nyota 3 km na yeye hayupo anachukua anaemfuatia mwenye nyota 2 km na yeye hayupo anachukua anaemfuatia mwenye nyota 1
Uliza swali lingine
Hahahahaha lkn Umejifunza nn krk uzi huu ukisoma maoni ya wadau
KIKUBWA UHAIHahahahaha lkn Umejifunza nn krk uzi huu ukisoma maoni ya wadau
Kwa hio unataka kusemaje hakagui gwaride na kupigiwa salute za heshima na mizinga?Anaitwa Amiri Jeshi mkuu kwasababu yeye ndie mwenye uwezo wa mambo yafuatayo:
1.Kutangaza endapo nchi itakuwa vitani
2.Kutangaza hali ya hatari
3. Any state of emergency
Huzioni gani Mkuu?Ni uzuni
Nyota 4Hapo kwenye "nyota" elezea vizuri. Kuna vijana watajua hata "afande muombeshaji maji" anaweza kuwa na hiyo nafasi.Haya ni maandishi na kuna wakumbushwao na wajifunzao.
Hahahahaha, nadhani umegundua kituKIKUBWA UHAI
Atapindua nchiHahaha hautoki kivipi tena Mkuu?