Rais na Mwenyekiti wangu, usisubiri mpaka uharibifu wa Spika Ndugai ukuchafue

Hivi Rais anaweza akatumia mbinu au sheria ipi kumtoa huyo mgogo ndugai, kwakweli Ni msaliti
 
2025 tutashuhudia mengi. Naona Samia nae kaonyesha misuli yake. Kasema ataendelea kukopa. Ila sasa kama wanakopa hizi tozo zetu zinafanya kazi gani ?Au ndo zinawalipa allowances za safari zao.
Mrudi shule nyie sukuma Gang, kwaiyo hizo zetu ndio zitatosha kukamilisha hiyo miradi yote au, mbona msukuma mwenzenu dikteta kwa miaka yake mitano amekopa trillion 30, hamkuwa mkipiga kelele wapuuzi nyie
 
Serikali yenye akili husisitiza uzalishaji wa ndani ili iweze kuuza nje na kupata fedha za kigeni. Wanaompotosha mama kwa kopa kopaa kopaaaa kopaaaaaa kopaaaa@aaaaaaaq, sijui wana maana gani.
Tukope kwa tahadhari na kwa viwango.
Sasa haya maneno mngemwambia msukuma mwenzenu kipindi kile,maana yeye ndio amevunja rekodi ya kukopa, kwa miaka 5 tu kakopa trillion 30
 
Hakuna spinning inayo deteriorate image ya mtu na kutishia uhai wa cheo chake.Stop overthinking.
 
Ni kweli japo nampinga ndugai kwa unafiki wake lkn matokeo ya madeni huwa ni mabaya.
Haya ni matokeo ya uharamu wa utawala wa ccm
 
Kwa hiyo samia naye anajibu bila kujua nn anajibu???
... kwendraaaa zako
Hakuna spinning inayo deteriorate image ya mtu na kutishia uhai wa cheo chake.Stop overthinking.
 
Hivi Rais anaweza akatumia mbinu au sheria ipi kumtoa huyo mgogo ndugai, kwakweli Ni msaliti
Mbona ni rahisi tu,Kamati ya maadili kumnyang'anya uanachama.anakuwa amekosa sifa zote,tena wasichelewe kumvua.
Ushauri kwa Mama.
Piga chini ndugai,
Naibu asipewe uspika,
Simamia katiba mpya kabla 2025.
Usijaribu 2025 kuchukua fomu 2025.
Utabaki na heshima kubwa yenye historia kizazi na kizazi.
 
Kwani mwenye nguvu za kumwondoa mwenzake ni nani? hebu wajuvi njooni mdadavue hapa......
 
Deni la taifa kwa Sasa ni trillion 82, chukua hiyo
 
Lakini mikopo ni hatari. Serikali inayosisitiza kukopa sio serikali ya kuishabikia hata kidogo. Sera zako za kiuchumi zitavurigika sana kama utategemea uchumi. Itafika mahali sera za kiuchumi utapangiwa ili uwezw kuserve debt.
bongo bwana utafikiri tumejichagua kukaa pamoja.wabunge wasipo kosoa mnasema wanapiga makofi tu.wakikosoa mnasema hawaitakii mema taifa.sasa tusimamie wapi
 
Yake ya Marehem Sita Lowasa yameanza. Ndugai(sita) lazima genge lileee linahusika
 
Mrudi shule nyie sukuma Gang, kwaiyo hizo zetu ndio zitatosha kukamilisha hiyo miradi yote au, mbona msukuma mwenzenu dikteta kwa miaka yake mitano amekopa trillion 30, hamkuwa mkipiga kelele wapuuzi nyie
Ila hakitusumbua tozo. Huyu anakopa still katuanzishia tozo. Si bora aliekuwa anakopa bila kutunyonya tena sisi.
 
Mikopo ikifanyia hizi shughuli nakuwa sina tatizo nayo! Ila kuniambia mikopo inajenga madarasa halafu tozo nazo pia zinajenga madarasa ni wizi wa mchana kweupe!

Hamnaga kitu kama hicho...Ufisadi utakuwa wa kutisha sana
Tozo za kujenga madarasa haiongelewi tena sijui imekuaje...
 
Naunga mkono hoja, ni gilba zao tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…